Hadi wewe leo hii unamkubari Lissu!!! uenda Samia akawa Rais hadi 2040.Lissu haihitaji hiyo shahada feki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi wewe leo hii unamkubari Lissu!!! uenda Samia akawa Rais hadi 2040.Lissu haihitaji hiyo shahada feki.
Kumbuka kuna msemo usemao wajinga ndio waliwao😁Kama ungesikiliza ungemwelewa Lissu alichozungumza maana kaweka strength na weakness yani kasimamia msimamo wake uleule JKN hakuwa malaika na ni binadamu kama ile speech uli quote kwenye bunge la katiba kaendeleza alipoishia sasa ile watu walisema kamtukana JKN na hii pia isikilize halafu uje u comment tena.
That’s a fool’s gold. Hata akipewa sidhani kama atajiita (au atataka watu wengine wamuite) Dr. Lissu kama wafanyavyo vilaza wa taifa hili. Self-assured people don’t need that behind their names. Nyerere, Mwinyi na Mkapa nao walitunukiwa hizo degrees za heshima, lakini hawakujihangaisha nazo!Watu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Makamba ni kilaza sana. Hakuna kitu paleNadhani kidogo Prof Kabudi Palamagamba, January Makamba na Humphrey Polepole...
Hawa jamaa watatu wako vizuri kichwani.
Ni kwa sababu tu wako ndani ya mfumo corrupt wa CCM ndio maana wanaonekana wajinga...
Tukubali tu kuwa, CCM ni mfumo ambao unaharibu akili na ufahamu wa vijana wengi kwa faida ya vitu vya mwilini zikiwemo pesa....
Lakini kuna fisadi wa elimu mmoja, mwizi wa mitihani na mnunua vyeti vya watu wengine aitwaye Paul Christian Makonda a.k.a Albert Bashite Malyangili hujaribu kujilinganisha na Tundu Lissu na siku moja eti akaropoka tu kuwa ndiye aliyemfundisha siasa Tundu Lissu
Haa haa 🤣🤣🤣, Makonda kituko kwelikweli...
Jaa yuko vizuriWatu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Inaelekea huelewi kinachozungumzwaKumbuka kuna msemo usemao wajinga ndio waliwao😁
Naunga mkono hoja.Amemtendea haki.Hata alipompopoa kuhusiana na kumfanya mtakatifu nimekubaliana naye.Kwani ameeleza kuwa hata Nyerere mwenyewe angekuwepo angekili kuwa alikuwa binadamu wa kawaida.Mimi naamini Nyerere mwenyewe angepinga vikali kufanywa kuwa mtakatifu.Watu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
kuna watu tz, ukwel huwa unaitwa kashfa mkuu, waelewe tu.we kichaa tuambie lissu alimkashifuje mwl zaid ya kuusema ukweli khs muungano wa kpumbavu aliotuingza mwl, zaid kusema katiba ya kpumbavu aliyotuachia mwl na haya yote lissu aliyasema wkt wa bunge la katiba ya warioba clip youtube zpo mbuzi wewe sjui matakataka ya maccm mna akili gn aisee hv kichwa kama lissu kuna wa kumlinganisha naye huko ccm kama yupo mtajeni
Kuna kipindi aliliponda jeshi la Uganda hadi nikaona kimemo kinapelekwa kule mbele kwake
Sasa hivi, steve mengele atapewa yakeKuna PHD za Machawa. Mtu waziri full time anasoma PHD!!!! kumbe wanaandikiwa mpaka PHD ndiyo maana ni vilaza
Achana Na Dogo Huyo Ana Magonjwa Mtambuka Utatesa Na Kuchosha Fikra Zako Bure Kubishana Na Mjukuu Wa WassiraInaelekea huelewi kinachozungumzwa
Na wewe huelewi unachozungumza.Inaelekea huelewi kinachozungumzwa
Naweza kuwa mkubwa kuliko baba yako.Achana Na Dogo Huyo...
Gabeji in Gabeji outWatu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Ficha ujinga wako.Alisema au hakusema?
Hatutoagi kitu kumpa yeyote anayetukosoa zaidi ya kumpa madhila !Watu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Mbona wewe huufichi?Ficha ujinga wako.