Eti Dr Simia😀Lissu haihitaji hiyo shahada feki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Dr Simia😀Lissu haihitaji hiyo shahada feki.
Ndio. Lissu mtu smart sana, kwenye kuelezea uzuri wako atausema lakini ukigeuzwa upande wako wa pili wa hovyo atakuchapa.Lakini alishawahi kumkashifu
cc; kipara kipya nipe maoni yako mkuu!Hili jamaa aisee daaah. Aliyepiga hili pande Mungu ambariki sana
Naona hao uliowataja hata kutumia hiyo taito wanashindwa km Tale, na msukumaHizo PhD zimeshusha hadhi hadi wanapewa kina SSH, Babu Tale, Msukuma
Ulimsikiliza na kumuelewa au nyie ndio walewale?Sasa ndio anajifanya anamuheshimu Nyerere wakati alishasema Mwalimu alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu? Sitoshangaa siku akianza kumsifia Magufuli ha ha ha😎
Mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwa sikia lakini pia Chema chajiuza na Kibaya chajitembeza!Watu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Sasa huyo Hangaya ametokea wapi?...Ayasemayo yote kuhusu Hangaya hakuna analodanganya.
UTAWALA WA KIIMLA! NOT KIIMRA! SAMAHANI.On the other hand, Jamaa kumuelezea Nyerere namna alivyoiharinu Demokrasia na kuzalisha Kizazi Cha Utawala wa Kiimra.
Huyu LISSU aachwe tu awe Lissu
Wapumbavu Huzeeka PiaNaweza kuwa mkubwa kuliko baba yako.
Na wewe utazeeka lini?Wapumbavu Huzeeka Pia
Kwani uongo?"mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi" ni sehemu ya nukuu ya bwana Fulani kuhusu Mwalimu
Kweli wewe ni magonjwa mtambuka mpaka afya ya akili.Mbona wewe huufichi?
Ona huyu anataka sisi tutafute kitu kisichokuwepo. Wewe unayesema alimtukana ndio utafute hizo clips kama ushahidi wa maelezo yako. Lissu ni mkweliZitafute hotuba alizokuwa anatoa kwenye Bunge la Katiba kumhusu Nyerere na alivyokuwa akimtuna na kumdhalilisha ndio utajua kwamba Lisu dishi limeyumba na hajui anasimamia wapi. Kwa ufupi ni kigeugeu na mfuata upepo.
Hansad za bunge zipo. Lisu ni ndumilakuwili flani anaebadilika kulingana na fursa.Ona huyu anataka sisi tutafute kitu kisichokuwepo. Wewe unayesema alimtukana ndio utafute hizo clips kama ushahidi wa maelezo yako. Lissu ni mkweli
udogo wa ubongo, sio umri au mwiliNaweza kuwa mkubwa kuliko baba yako.
Watu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.
Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!
Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.