Jamani mpeni Tundu Lissu PHD ya heshima jinsi alivyomwelezea vizuri Mwalimu Nyerere huko Uganda

Jamani mpeni Tundu Lissu PHD ya heshima jinsi alivyomwelezea vizuri Mwalimu Nyerere huko Uganda

Wote hao hamna anayemfikia Lissu.

Kabudi angekuwa anasimamia ukweli at least ila hao Makamba na Polepole ni watu wanaojua kupiga mdomo tu. Hawana smartness yeyote ile.
Uwezi mfananisha makamba na Polepole...mmoja ni mwizi wa mali za Uma na mtihani wa kidato cha nne...nwingine ni mzalendo kweli kweli
 
Uwezi mfananisha makamba na Polepole...mmoja ni mwizi wa mali za Uma na mtihani wa kidato cha nne...nwingine ni mzalendo kweli kweli
Wote walewale tu! Kupenda sifa na kujiona wanajua ila hawanaga cha maana
 
Huwa nashangaa wanaompigia chapuo January Makamba kuwa Rais, huwa naukiza wapi wamewahi kumsikia akitoa hotuba yoyote kuhusu chochote kinachohusu jamii? Bashe, Mpina ni bora zaidi kwa upande wa CCM.
 
Watu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.

Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!

Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Nchi hii ya machawa???
 
Hata leo nimemsikiliza, naweza (mimi) kusema katika speech yake, 60% amemchana Nyerere na 40% ndio amemsifia. Ametaja mambo mazito hadi nikawaza sijui m7 atamuachia tu kidiplomasia au ataamua ampe msukosuko. Kuna kipindi aliliponda jeshi la Uganda hadi nikaona kimemo kinapelekwa kule mbele kwake
Hebu nisaidie link mkuu
 
Huwa nashangaa wanaompigia chapuo January Makamba kuwa Rais, huwa naukiza wapi wamewahi kumsikia akitoa hotuba yoyote kuhusu chochote kinachohusu jamii? Bashe, Mpina ni bora zaidi kwa upande wa CCM.
Makamba ni hovyo sana na ni fisadi mkubwa!
 
Nadhani kidogo Prof Kabudi Palamagamba, January Makamba na Humphrey Polepole..
Hapo kwa Makamba ni UONGO, lini na wapi ushawahi sikia hotuba yake ukilinganisha na hao wawili hapo. Unaweza share hapa tumsikilize.
 
Watu kama Tundu Lisu, wangekuwa nchi ambazo hazina uchawa angepewa phd ya heshima, huyu ni tunu ya Taifa, kichwani yupo vzr, lugha yupo vzr sana, speaking skills yupo vzr sana huyu ni hazina ya taifa letu pendwa la Tanzania.

Leo kamchambua Mwl NYERERE katika harakati za kuleta ukombozi kusini mwa jangwa la sahara, wazungu na wasomi mbalimbali katika chuo kikuu cha Makerere wamebaki wanatikisa kichwa tu!

Mungu mbariki Tundu antipas Lisu aishi miaka Mingi by mwinjilist wenu Gabeji.
Kisa kaongea kingereza au
 
Zitafute hotuba alizokuwa anatoa kwenye Bunge la Katiba kumhusu Nyerere na alivyokuwa akimtuna na kumdhalilisha ndio utajua kwamba Lisu dishi limeyumba na hajui anasimamia wapi. Kwa ufupi ni kigeugeu na mfuata upepo.
Dish linaweza kuwa limeyumba kutokana tu na upepo mkali uliopo nje kwa sababu huwa halikai ndani, ila kwa upande mwingine, ndani ya nyumba signal za TV zinakamata vizuri tu na watu wanaendelea na burudani zao kwa raha mstarehe ndani ya nyumba yao; au nakosea?
 
Back
Top Bottom