Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,762
- 3,362
Uwezi mfananisha makamba na Polepole...mmoja ni mwizi wa mali za Uma na mtihani wa kidato cha nne...nwingine ni mzalendo kweli kweliWote hao hamna anayemfikia Lissu.
Kabudi angekuwa anasimamia ukweli at least ila hao Makamba na Polepole ni watu wanaojua kupiga mdomo tu. Hawana smartness yeyote ile.