Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #61
Nilikuwa nakuheshimu sana kumbe na ww una fikra potofu kiasi hikiDah! Basi nikutakie tu maisha mema katika hayo maisha yako mapya uliyo jichagulia mwenyewe.
Jitahidi pia uwasiliane na huyu binti cocastic, ambaye ni mtetezi wenu humu jukwaani, ili akupe mwongozo wa namna bora ya kupambana dhidi ya unyanyapaa.
Anadata!Sasa nimegundua siri ya kwa nini ulikuwa unawachukia sana walimu!! Madhara waliyokusababishia wakati ulipokuwa mwanafunzi ndiyo haya sasa!! Yameanza kuonekana hadharani.
Eti nawapenda wadada wote mnaonipenda..., kumbebili jamaa shogaYani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
kwani wewe huwa ni -ke?Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Mm naona Sawa tu kwani hata ww unapenda boyz wachafu? Hilo ni funzo kwa boyz wenye tabia kutokua wasafi binafsi hata mm sivutiwi na mdada mchafu.Unaipoteza heshima uliyoijenga humu, tumezoea kukuona ukizozana na Waalimu na bata zako za 3 stars ila huko unapoenda sasa siko, muachie cocastic mamaa mwenye tashtiti zake mjini JF.
Hata mimi mwenyewe umenikatisha kabisa tamaa! Nilitegemea u gekuwa mtetezi bora kabisa wa walimu! Kwa bahati mbaya umeamua kuigeukia njia nyingine kabisa!Nilikuwa nakuheshimu sana kumbe na ww una fikra potofu kiasi hiki
Acha tu. Evac needed ASAP and replacement.One man down
Nadhani tatizo ametumia mwandiko wa kike.Mm naona Sawa tu kwani hata ww unapenda boyz wachafu? Hilo ni funzo kwa boyz wenye tabia kutokua wasafi binafsi hata mm sivutiwi na mdada mchafu.
Dah...!!Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Ukipendwa na wadada ko nishoga [emoji23][emoji23][emoji23], wanaume Kuna mda tunajifanya ukauzu wa kisenge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti nawapenda wadada wote mnaonipenda..., kumbebili jamaa shoga
Yaani nashangaa sana sijui ni Wapi sijaelewekaMm naona Sawa tu kwani hata ww unapenda boyz wachafu? Hilo ni funzo kwa boyz wenye tabia kutokua wasafi binafsi hata mm sivutiwi na mdada mchafu.
Kivipi??? Wapi hapo Kuna lugha ya mwanamkeNadhani tatizo ametumia mwandiko wa kike.
maisha yanaanzia kwenye fikraMmmh!! Mbona kama uandishi wa kike!!!
Au yungu ndio umeamua kuanza kupractice kile ulichokuwa unatamani?