Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

Dah! Basi nikutakie tu maisha mema katika hayo maisha yako mapya uliyo jichagulia mwenyewe.

Jitahidi pia uwasiliane na huyu binti cocastic, ambaye ni mtetezi wenu humu jukwaani, ili akupe mwongozo wa namna bora ya kupambana dhidi ya unyanyapaa.
Nilikuwa nakuheshimu sana kumbe na ww una fikra potofu kiasi hiki
 
Eti nawapenda wadada wote mnaonipenda..., kumbebili jamaa shoga
 
kwani wewe huwa ni -ke?


JESUS SAVES!
 
Unaipoteza heshima uliyoijenga humu, tumezoea kukuona ukizozana na Waalimu na bata zako za 3 stars ila huko unapoenda sasa siko, muachie cocastic mamaa mwenye tashtiti zake mjini JF.
Mm naona Sawa tu kwani hata ww unapenda boyz wachafu? Hilo ni funzo kwa boyz wenye tabia kutokua wasafi binafsi hata mm sivutiwi na mdada mchafu.
 
Nilikuwa nakuheshimu sana kumbe na ww una fikra potofu kiasi hiki
Hata mimi mwenyewe umenikatisha kabisa tamaa! Nilitegemea u gekuwa mtetezi bora kabisa wa walimu! Kwa bahati mbaya umeamua kuigeukia njia nyingine kabisa!

Imagine kuna wakati eti unatamani kuwa mwanamke!! Mara huwapendi wanaume wanaonuka jasho!! Mambo gani haya!! Yaani wanaume wenzako kutwa tuko juani kutafuta, halafu unataka tuonekane smart na kunukia pafyumu!!! Umeniangusha sana mdogo wangu Mpwayungu.
 
Dah...!!
Haya bana...Isije ikawa ni ule msemo wa Greatest Of All Time usemao "Manula katoka"
 
Mm naona Sawa tu kwani hata ww unapenda boyz wachafu? Hilo ni funzo kwa boyz wenye tabia kutokua wasafi binafsi hata mm sivutiwi na mdada mchafu.
Yaani nashangaa sana sijui ni Wapi sijaeleweka
 
Huu uzi ungeletwa na mwanamke ingekuwa bonge la Uzi, una point ila tu vile wewe Ni mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…