Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
- Thread starter
-
- #101
Ni kweli boss. Lakini chugga now mambo ya Daslm yapoWanawake wa mikoani hawafugi mikucha asee na huku atujazoea miscrub arifu . Na saluni zetu mwisho buku tu bei yake. We ni mwanaume wa dar mzee baba ila unajficha tumekustukia
Wewe unae interprete pia unatakiwa ujaribu ku evaluate unachosoma katika angles tofauti tofauti.
May be hukuupata ujumbe niliokusudia kuutoa so sikulaumu. Ninachotaka kukazia ni kuwa sisi wanaume siku hizi tumekuwa walalamishi sana kuliko siku za nyuma.
Zile tabia za kulia lia za dada zetu na mama zetu za miaka ya nyuma za kutaka haki sawa mara 50/50 siku hizi kama vile tume zi adopt sisi.
Kwanini tusipambane na hali zetu kiume jamani.
Halafu kila mada mwanamke kafanya hiki mara kafanya vile yaan[emoji15] [emoji15] ....halafu vyote vibaya sasa!Ila jamani wanaume wa siku hizi tunalalamika sana. Kila ukiperuzi majukwaa ni wanaume tu wanalalamika.
Khaa mpaka imekuwa kero sasa. Wanaume tukomae jamani tupambane na hali halisi mbona tunalia lia kila uchwao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka mda mwingine unahisi ni story za copy and paste.Halafu kila mada mwanamke kafanya hiki mara kafanya vile yaan[emoji15] [emoji15] ....halafu vyote vibaya sasa!
Mi nyuzi zinazohusu wanawake sijui wamefanya nini siingii, full kuboa!
Haaahaaaa....my Numbisa in da house[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji91] [emoji91]Unatabia za kijames delicious sana Full kujisifia na kuja na nyuzi za kusimanga wanawake. Hope sio mtoto wa chupa wewe.
Kateni kucha naweni mikonoTufanyeje sasa
Mpaka mda mwingine unahisi ni story za copy and paste.
Zimekuwa nyingi sana
Halafu kila mada mwanamke kafanya hiki mara kafanya vile yaan[emoji15] [emoji15] ....halafu vyote vibaya sasa!
Mi nyuzi zinazohusu wanawake sijui wamefanya nini siingii, full kuboa!
Huenda kuna transformation kubwa inatokea kama ile ya nyani kuwa mtuIla jamani wanaume wa siku hizi tunalalamika sana. Kila ukiperuzi majukwaa ni wanaume tu wanalalamika.
Khaa mpaka imekuwa kero sasa. Wanaume tukomae jamani tupambane na hali halisi mbona tunalia lia kila uchwao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa. Inaonesha ulikuwa pembeni yanguKwanza unafanya scrub,pili una aibu umeshindwa kumuambia ukweli,hii obvious itakuwa ni Dar...
Sio kweli mkuu degree haina mahusiano na kufuga makuchaNyie mnao penda kuoa wenye degree wao kila kitu ni rahisi tu..!
Haha wanaitwa Evolution wenyeweHuenda kuna transformation kubwa inatokea kama ile ya nyani kuwa mtu
Haaahaaaa....my Numbisa in da house[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji91] [emoji91]
Mpe mpe usimuruke[emoji23] [emoji23]
Ntakuja Dm kama nilivo ahidi [emoji8][emoji8][emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anachosha huyu jamaa,kutwa kusimanga wanawake na kujisifia pesa
Numbisa MamaNtakuja Dm kama nilivo ahidi [emoji8][emoji8][emoji8]