masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
My Miss Tanzania!!
Hayo ni ya yule mbunge wa Nyang'wale Nassor Amar![emoji23][emoji23][emoji23]mbona picha za uko back hatuzioni ,mwambie nyuma geuka
Dogo utatinduliwa acha ujinga wakoHayo ni ya yule mbunge wa Nyang'wale Nassor Amar!
Hatutaki kumsikia, ila namshukuru kwa kumuibua.
We ndio Mzee wa Nyang'wale au?Tulia kimya
Chakula ya wazee
Mkuu nilifikiri ni mimi tu!
Huyu inaonekana ni wale wanawake ambao hata ukikosea anajishusha na kukuomba msamaha. Ni wale wanawake ambao siyo kisirani na watetea 50 kwa 50 kama wale kule twiter.
Tabasamu lake sasa ni balaa tupu.
Mimi nilimzimia toka jana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazuri eeeh etiiii,My Miss Tanzania!!
My beuty!
Ahahaa,wangari maathai og nilikuwa namkubaligi sana huyu mazeri,Ila dah hakunaga mkate mgumu mbele ya chai.Ila kweli anaonekana mstaarabu..Wangari mimi navyojijua nisingetoka nje! Never! Na angenishika mkono mtu ningemuuma😒!
Umasikini unitese na wengine wanitese? How
Hata mm nampendaga....hahahaaAhahaa,wangari maathai og nilikuwa namkubaligi sana huyu mazeri,Ila dah hakunaga mkate mgumu mbele ya chai.
Alimkuta....! Mm ningegomaYule mzee alikuwa na lake, haiezekani jinsi alivokuwa amevaa mzee akamuona yeye tu
Katika afrika huyu alikuwa mmoja wapo ya waliozaliwa na akili kubwa, ni jamii ya kina Anna Tibaijuka.Hata mm nampendaga....hahahaa
Nikikamata hela nataka zuru kaburi lakeKatika afrika huyu alikuwa mmoja wapo ya waliozaliwa na akili kubwa,ni jamii ya kina Anna Tibaijuka.
Nime blow!Kazuri eeeh etiiii,
Sasa naelewa kwanini yule Mzee alihamanika.Mkuu nilifikiri ni mimi tu!
Huyu inaonekana ni wale wanawake ambao hata ukikosea anajishusha na kukuomba msamaha. Ni wale wanawake ambao siyo kisirani na watetea 50 kwa 50 kama wale kule twiter.
Tabasamu lake sasa ni balaa tupu.
Mimi nilimzimia toka jana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]