Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
1622636730822.png

Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.

Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.

Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
 
Mkuu nilifikiri ni mimi tu!

Huyu inaonekana ni wale wanawake ambao hata ukikosea anajishusha na kukuomba msamaha. Ni wale wanawake ambao siyo kisirani na watetea 50 kwa 50 kama wale kule twiter.

Tabasamu lake sasa ni balaa tupu.

Mimi nilimzimia toka jana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu nilifikiri ni mimi tu!

Huyu inaonekana ni wale wanawake ambao hata ukikosea anajishusha na kukuomba msamaha. Ni wale wanawake ambao siyo kisirani na watetea 50 kwa 50 kama wale kule twiter.

Tabasamu lake sasa ni balaa tupu.

Mimi nilimzimia toka jana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila kweli anaonekana mstaarabu..Wangari mimi navyojijua nisingetoka nje! Never! Na angenishika mkono mtu ningemuuma😒!
Umasikini unitese na wengine wanitese? How
 
Ila kweli anaonekana mstaarabu..Wangari mimi navyojijua nisingetoka nje! Never! Na angenishika mkono mtu ningemuuma😒!
Umasikini unitese na wengine wanitese? How
Ahahaa,wangari maathai og nilikuwa namkubaligi sana huyu mazeri,Ila dah hakunaga mkate mgumu mbele ya chai.
 
Mkuu nilifikiri ni mimi tu!

Huyu inaonekana ni wale wanawake ambao hata ukikosea anajishusha na kukuomba msamaha. Ni wale wanawake ambao siyo kisirani na watetea 50 kwa 50 kama wale kule twiter.

Tabasamu lake sasa ni balaa tupu.

Mimi nilimzimia toka jana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa naelewa kwanini yule Mzee alihamanika.
 
Back
Top Bottom