Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

Nikikamata hela nataka zuru kaburi lake
Hanaga kaburi alichomwa,alikuwa anapenda miti kuliko kitu ingine nadhani atakuwa alichomwa na mafuta ili wasiharibu mazingira,kutokana na wosia wake aliona akitengenezewa jeneza wataaribu Mbao.
Ila aliyetuita wanaume wote ni mbwa hakukosea aisee.
 
Hanaga kaburi alichomwa,alikuwa anapenda miti kuliko kitu ingine nadhani atakuwa alichomwa na mafuta ili wasiharibu mazingira,kutokana na wosia wake aliona akitengenezewa jeneza wataaribu Mbao.
Ila aliyetuita wanaume wote ni mbwa hakukosea aisee.
Bas hilo lilinipita..yes alikua anapenda mazingira mno mno!..yes wanaume wote ni mbwa kasoro babangu
 
yuko vizuri na anaonyesha anaheshima
 
Duh kumbe tuko wengi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…