CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Hanaga kaburi alichomwa,alikuwa anapenda miti kuliko kitu ingine nadhani atakuwa alichomwa na mafuta ili wasiharibu mazingira,kutokana na wosia wake aliona akitengenezewa jeneza wataaribu Mbao.Nikikamata hela nataka zuru kaburi lake
Bas hilo lilinipita..yes alikua anapenda mazingira mno mno!..yes wanaume wote ni mbwa kasoro babanguHanaga kaburi alichomwa,alikuwa anapenda miti kuliko kitu ingine nadhani atakuwa alichomwa na mafuta ili wasiharibu mazingira,kutokana na wosia wake aliona akitengenezewa jeneza wataaribu Mbao.
Ila aliyetuita wanaume wote ni mbwa hakukosea aisee.
yuko vizuri na anaonyesha anaheshimaView attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.
Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.
Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
Ila kaburi litakuwepo nisikuvunje haja ya moyo wako maana majivu yalizikwa,alikuwa na prize ya Nobel ya mambo ya mazingira.Bas hilo lilinipita..yes alikua anapenda mazingira mno mno!..yes wanaume wote nu mbwa kasoro babangu
I knw ..i know...!namfahamu kitambo i think toka 2008Ila kaburi litakuwepo nisikuvunje haja ya moyo wako maana majivu yalizikwa,alikuwa na prize ya Nobel ya mambo ya mazingira.
Nyuma unatafuta nini??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona picha za uko back hatuzioni ,mwambie nyuma geuka
Wewe utakuwa mjaruo.Ila kweli anaonekana mstaarabu..Wangari mimi navyojijua nisingetoka nje! Never! Na angenishika mkono mtu ningemuuma[emoji19]!
Umasikini unitese na wengine wanitese? How
Atakuwa aliomba mbususu akanyimwa.Yule mzee alikuwa na lake, haiezekani jinsi alivokuwa amevaa mzee akamuona yeye tu
Aku...mimi sipendi kuonewa kbs!Wewe utakuwa mjaruo.
Na watakuwa walikutana hotel vyumba jirani hahahaaa mzee akajua atajilia dada wa watu akakazaAtakuwa aliomba mbususu akanyimwa.
Mazee ya hivyo hayajuagi sex..sana sana litakusumbua usk mzima litaftiwe limao lipikiwe chai ya limao😏Na watakuwa walikutana hotel vyumba jirani hahahaaa mzee akajua atajilia dada wa watu akakaza
We mwehu kweli . Au we ni Kasu au Ndugai ?!Wewe utakuwa mjaruo.
🤣Ila kweli anaonekana mstaarabu..Wangari mimi navyojijua nisingetoka nje! Never! Na angenishika mkono mtu ningemuuma😒!
Umasikini unitese na wengine wanitese? How
Kuna wazee wa busara wenye roho mbaya wakiona kitu kuzuri kimetulia, wanapenda kukiangamiza.Sasa naelewa kwanini yule Mzee alihamanika.
Duh kumbe tuko wengiMkuu nilifikiri ni mimi tu!
Huyu inaonekana ni wale wanawake ambao hata ukikosea anajishusha na kukuomba msamaha. Ni wale wanawake ambao siyo kisirani na watetea 50 kwa 50 kama wale kule twiter.
Tabasamu lake sasa ni balaa tupu.
Mimi nilimzimia toka jana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tabia zenu mijitu ya Nyang'wale!Dogo utatinduliwa acha ujinga wako
Hizo tamaa zitakuponza
Hahahahhaa alafu nyang'hwale pabayaaaTabia zenu mijitu ya Nyang'wale!
Mizee ya nyeti yenye roho mbaya !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DahMazee ya hivyo hayajuagi sex..sana sana litakusumbua usk mzima litaftiwe limao lipikiwe chai ya limao[emoji57]
Haya madawa haya ya kujichubua! Mungu anayaona
🤭🤭! Leo kidogo nimechangamka mamy..am sorry[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah