Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

Naona wengi humu wamempenda huyu mbunge, basi nawaongezea mwingine Huo, cjui mnasemaje?

 
Yule mzee alikuwa na lake, haiwezekani jinsi alivokuwa amevaa mzee akamuona yeye tu

Yule Mzee na rafiki yake Ndugai wote wakware!!! Miaka yote huyo mgogo ndio zake hizo ; enzi ya Mwendazake alipokuwa anamshirikisha kuteua manaibu waziri siku moja moja alikuwa anachomeka michepuko yake!!! Mgogo huyo anapenda "UMZINZI"
 
Best tafuta picha yake amevaa sketi ndefu baada ya kurudi Bungeni yaani ndio amekuwa Mcharo zaidi. Nakuombea ufanikiwe uoe kabisa
Ha ha !
Nitaenda ingalau Dodoma nimuone kwa kuibia!
Wasi wasiwangu ataniona nina masikio oversize!
 
Acha izo Mambo. Hata akikukabidhi tu kucha uhudumie utaweza?😅
 
Ha ha !
Nitaenda ingalau Dodoma nimuone kwa kuibia!
Wasi wasiwangu ataniona nina masikio oversize!
Hujajiumba hivyo tulizana. Mapenzi hayana kanuni ndio maana unamuona maskini kaolewa na tajiri na kinyume chake.
 
Nimezisaka namba zake nimezikosa! Hapa najipanga niende kwa wazazi wake kabisaa akitoka bungeni wazazi wake wamjulishe nishapeleka posa! I'm serious! Asante kwa aliyemuibua tena nilikuwa na angalia live tbc!!
 
Utampendaje binti wa watu bure bure.. Yeye mama yake mzazi tu hakumzaa bure.

[emoji23][emoji1787]
 
Nimezisaka namba zake nimezikosa! Hapa najipanga niende kwa wazazi wake kabisaa akitoka bungeni wazazi wake wamjulishe nishapeleka posa! I'm serious! Asante kwa aliyemuibua tena nilikuwa na angalia live tbc!!
Haloo tutapelekana mbali!
Mi nimewahi kutia nia hapo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…