Jamani sisi wadada na magari tupunguze

😁😁😁 af vinakuja kutaka sifa et mi hunigongi kisa gari! Nashukuru mungu bby wangu hababaikagi na hizo mambo maana ningepata tabu sana na huu wivu!
Wewe usidanganyike na maneno...angalia vitendo....yaani kuna tofauti kubwa sana ukiwa na gari unawavua chupi utakavyo hadi raha jamani. Dah waendelee tuu kuyapenda magari ili tuwagegede vizuri na mjini bila mkoko hupati mrembo mzuri.
 
Wewe usidanganyike na maneno...angalia vitendo....yaani kuna tofauti kubwa sana ukiwa na gari unawavua chupi utakavyo hadi raha jamani. Dah waendelee tuu kuyapenda magari ili tuwagegede vizuri na mjini bila mkoko hupati mrembo mzuri.
Hahah kwangu mie naona kwa vitendo, binti yupo exposed na amejaliwa neema ila hana mikato hio.

Angekuwa hivyo ndinga zingekuwa zinapishana mtaa balaa. Maana watoa lift hawakaukagi na anaenda job daily.
 
Tehtehteh......

Uje nikupe lift mgongoni basi mpendwa kama za gari na ndege huzipendi.
 
We kuna uzi uliandika unaishi Mwanza au umejichanganya leo?
 
[emoji23] Gari ni status symbol wewe ndio maana wenye IST,Passo,Vits, Swift wanakandiwa ila wenye Kluger, Harrier na gari zingine za juu af ukute wana vimwili vya kibosile basi ni kama wana Visa za kuvulia chupi mjini. Na munawasifiaga kabisa humu.
Yaani mimi ningesema nitafute wanaume wenye magari basi hata hao wenye Kluger na Harrier bado ningewadharau maana kwangu mimi naona hizo gari hata wenye pesa za kawaida wanaweza kuzimiliki achilia mbali wenye Vits na Passo hao ndo kabisa hata salamu zao nisingekuwa najibu mimi ningewatafuta wale wenye Range Rover na Land Cruiser tena new models siyo old models sema basi tu ni vile kwangu mapenzi siyo magari
 
Af we unajifanyaga hupendi hela eti ila in disguise kwenye hela unarojeka kama biskuti kwenye chai
Nilikuwaga sipendi zamani ila baada ya kupata mwanaume mmoja masikini halafu mshenzi ndipo nikajua kumbe wanaume wote ni wale wale tu sasa bora na mimi nitafute wenye pesa ili hata wakinipotezea muda wangu na mimi nimewapotezea pesa zao japo mimi siwezi kumuomba mwanaume pesa sijui kwanini
 
Wee upewe lift ya ndege mbona ukikaa tuu kwenye kitu kyupi tayari imelowana hahahaha
Kama simpendi nitapanda ndege yake na bado mzigo simpi na akiniomba mzigo ndo atajua kwanini ndege haina reverse
 
Watawachaje kuwasifia wakati gari ndio kisu cha warembo....yaani kuna comfort gake bwana ukiwa na gari mwanamke anafeel comfortable....full kipupwe nini
Anafeel comfortable pia kama anapanda hiyo gari akiwa hana stress zozote za kusalitiwa wala kunyanyaswa
 
[emoji16][emoji16][emoji16] af vinakuja kutaka sifa et mi hunigongi kisa gari! Nashukuru mungu bby wangu hababaikagi na hizo mambo maana ningepata tabu sana na huu wivu!
Kwahiyo unahisi ni baby wako tu ndo mwanamke pekee duniani ambaye hababaikagi na hizo mambo?
 
Tehtehteh......

Uje nikupe lift mgongoni basi mpendwa kama za gari na ndege huzipendi.
Sijasema sizipendi ila nimesema hizo lift siyo sababu ya mimi kutoa mzigo kwa aliyenipa lift
 
Wanawake mnafanana kila kitu mnatofautiana mda tu wa kukubal

Hata ww tukikuamulia hpa hpa jukwaan unaingia kweny mstar na tunakutumia[emoji16][emoji16]
 
Anafeel comfortable pia kama anapanda hiyo gari akiwa hana stress zozote za kusalitiwa wala kunyanyaswa
hamnaga mgegedo wako peke yako kama vile hamanaga papuchi yako peke yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…