Jamani sisi wadada na magari tupunguze

Naomba nikuoee
 
Mwanamke ataki kujua umiliki wa gari wala nn ye anataka gari zuri basi kadi ina jina la nani watajua wenyewe
 
Wanawake mnafanana kila kitu mnatofautiana mda tu wa kukubal

Hata ww tukikuamulia hpa hpa jukwaan unaingia kweny mstar na tunakutumia[emoji16][emoji16]
Try me!
 
In what context?
Wewe binti,
Mimi ni mtu ninaeamini katika uanaume wangu,
Naamini mila na desturi za uanaume tangu uumbaji...
Mwanamke atabaki kuwa mwanamke,
Mwanaume anauwezo zaidi ya mwanamke....

Ushanielewa sasa?
 
Sawa sawa
 
Wewe binti,
Mimi ni mtu ninaeamini katika uanaume wangu,
Naamini mila na desturi za uanaume tangu uumbaji...
Mwanamke atabaki kuwa mwanamke,
Mwanaume anauwezo zaidi ya mwanamke....

Ushanielewa sasa?
Na unaamini kuwa mwanaume akifanya maovu kama vile kumsaliti na kumpiga mke wake anatakiwa asamehewe na avumiliwe ila mwanamke akifanya maovu kama vile kumsaliti na kumdharau mume wake anatakiwa apigwe, asalitiwe, aachwe au aongezewe mke?
 
Na unaamini kuwa mwanaume akifanya maovu kama vile kumsaliti na kumpiga mke wake anatakiwa asamehewe na avumiliwe ila mwanamke akifanya maovu kama vile kumsaliti na kumdharau mume wake anatakiwa apigwe, asalitiwe, aachwe au aongezewe mke?
Hapana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…