Laana hii....Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Hata kama ndio hivyo ila kuua mtoto wa miezi minne ni zaidi ya unyama.Huyo atakuwa alihisi hata huyo mtoto sio wake.
Natafuta kimoyomoyoπ
Sema usikike usaidiwe! πππ
Kuna mmoja kule Morogoro alisema "...hivi vikundi vya kusaidiana havina faida, kila siku tunachangia wenzetu tu, haikupita wiki mwanaye akiwa na bodaboda akagongwa na lori"Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Watu wa mara wajengewe uzio hilo ni taifa tofauti ndani ya taifa!Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Matukio kama haya ni uthibitisho tosha kwamba Mungu huyo hayupo.Eee Mwenyezi Mungu tuhurumie sisi wakosefuππ
Huyo aliyempangia kifo cha namna hii ni muovu na mkatili sana na hana hata chembe ya huruma...Dogo alipangiwa kufa hivyo Pindi tu alipozaliwa.
Uyu marwa ni mwalimu?Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
Umejuaje ni tumbo la uzazi na sio la maharage na ugali[emoji16]Toba yarabi sina mtoto ila tumbo la uzazi limenicheza
laiti unayosema yangekua ni kwel ungekuta mashariki ya kati hakuna mtu anae uliwa.uislam ndio suluhisho
Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana pumzi kisha kumtumbukiza kwenye jaba.
Imeelezwa kuwa alifanya hivyo ili achangiwe pesa na kikundi aweze kulipa madeni yake.
kwani la maharage si linajulikana ba la uzazi linajulikana au ulikuaga unasinzia kwenye vipindi vya biosπUmejuaje ni tumbo la uzazi na sio la maharage na ugali[emoji16]
πππkwani la maharage si linajulikana ba la uzazi linajulikana au ulikuaga unasinzia kwenye vipindi vya biosπ