weka picha yako ili tuthibitishe hili.Nimegundua hilo. Maana humu tangia nijiunge sijawahi kuona bandiko la kijana akitafuta mwenza umli chini ya miaka 28.
Mwanaume akitafuta mwenza kigezo umli 28-35
Mwanamke akitafuta mume umli ni 33-40
Kiufupi ni kwamba humu Jf 80% ni wahenga. Vijana wadogo wadogo wapo ila hawatafuti wachumba labda wanakufa na yao moyoni au ndo kuhangaika pm kimya kimya.
Jamani eehh vijana wenzangu age 20-28 humu tutakufa na ugumu bora turudi fb kwa kina mariamu hassani na juma kadala.
Nawasilisha
Dili na umri wako ulingane na ufahamu wako umri wa mtu mwingine haukuhusu !Nimegundua hilo. Maana humu tangia nijiunge sijawahi kuona bandiko la kijana akitafuta mwenza umli chini ya miaka 28.
Mwanaume akitafuta mwenza kigezo umli 28-35
Mwanamke akitafuta mume umli ni 33-40
Kiufupi ni kwamba humu Jf 80% ni wahenga. Vijana wadogo wadogo wapo ila hawatafuti wachumba labda wanakufa na yao moyoni au ndo kuhangaika pm kimya kimya.
Jamani eehh vijana wenzangu age 20-28 humu tutakufa na ugumu bora turudi fb kwa kina mariamu hassani na juma kadala.
Nawasilisha
Ni kweli JF wengi wetu ni wahenga, na huu ujio wenu nyie watoto ndio kumepoteza ile Great thinker iliokuwepo hapo awali. Watoto nendeni Fesibuuku hadi mkifika 40years ndio mrudi JF. Kumekuwa na vipost vingi visivyo kichwa wala miguu kumbe ni nyinyi watoto wa Fesibuuku!!Nimegundua hilo. Maana humu tangia nijiunge sijawahi kuona bandiko la kijana akitafuta mwenza umli chini ya miaka 28.
Mwanaume akitafuta mwenza kigezo umli 28-35
Mwanamke akitafuta mume umli ni 33-40
Kiufupi ni kwamba humu Jf 80% ni wahenga. Vijana wadogo wadogo wapo ila hawatafuti wachumba labda wanakufa na yao moyoni au ndo kuhangaika pm kimya kimya.
Jamani eehh vijana wenzangu age 20-28 humu tutakufa na ugumu bora turudi fb kwa kina mariamu hassani na juma kadala.
Nawasilisha
Ingekuwa hivyo tusingekuwa na matabaka. Lazima tutofautiane deals ili heshima iwepo. Binafsi sina ufahamu mkuubwa kama wakina the bold na Ontario ni wastani tu. Kuhusu dili ni kawaida pia mkuu siyo kihivyoo ingawa maisha yanaenda namshukuru mungu kwa hichi kidogo nilichonacho.Dili na umri wako ulingane na ufahamu wako umri wa mtu mwingine haukuhusu !
happiest mhenga!
Humu ni kwetu sote hatubaguani mkuu. Hata wewe ulianzia fesibuku piaNi kweli JF wengi wetu ni wahenga, na huu ujio wenu nyie watoto ndio kumepoteza ile Great thinker iliokuwepo hapo awali. Watoto nendeni Fesibuuku hadi mkifika 40years ndio mrudi JF. Kumekuwa na vipost vingi visivyo kichwa wala miguu kumbe ni nyinyi watoto wa Fesibuuku!!
man !"deal"is not a context or subject here!i meant you just be concerned with ur age in relation of what ur doing not other people age!Ingekuwa hivyo tusingekuwa na matabaka. Lazima tutofautiane deals ili heshima iwepo. Binafsi sina ufahamu mkuubwa kama wakina the bold na Ontario ni wastani tu. Kuhusu dili ni kawaida pia mkuu siyo kihivyoo ingawa maisha yanaenda namshukuru mungu kwa hichi kidogo nilichonacho.
Haya bana. Notedman !"deal"is not a context or subject here!i meant you just be concerned with ur age in relation of what ur doing not other people age!
u know what kiddo every body comes i this world at his or her own good time and with own plan so dont live nobody life but yours only -enjoy your time while it last dont compare urself with nobody do ur thangs!
Mmojawapo wewe[emoji1][emoji1]Humu wahenga ndo wengi
Ah ah ah ah ah ahKuna thread za kuomba ushauri wa ndoa nyingi sana?
Na vijana wapo piaHumu wahenga ndo wengi
Upo aiseee?Mmojawapo wewe[emoji1][emoji1]
Hahahahaa siyo kwa humu. Maana mijimama haitafutwi inatafutaKwa hiyo ukiona mwanaume anatafuta mke wa miaka 28-35 unadhani ni muhenga?Huhui kuna vijana wadogo wavivu wanaotafuta kulelewa na mijimama?Wengine wame kosa mikopo HESLB ndio maana wanatafuta wanawake Dar!