Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Nimegundua hilo. Maana humu tangia nijiunge sijawahi kuona bandiko la kijana akitafuta mwenza umli chini ya miaka 28.
Mwanaume akitafuta mwenza kigezo umli 28-35

Mwanamke akitafuta mume umli ni 33-40
Kiufupi ni kwamba humu Jf 80% ni wahenga. Vijana wadogo wadogo wapo ila hawatafuti wachumba labda wanakufa na yao moyoni au ndo kuhangaika pm kimya kimya.

Jamani eehh vijana wenzangu age 20-28 humu tutakufa na ugumu bora turudi fb kwa kina mariamu hassani na juma kadala.

Nawasilisha
weka picha yako ili tuthibitishe hili.
 
weka picha yako ili tuthibitishe hili.
Hahaha mkuu ya picha yanatoka wapi. ?? Mimi ni kijana mdogo tu mwenye umbo la kawaida but kasura kazuri. Humu tunaandika privacy ndo maana ni ngumu kwa mtu kujiweka.
 
Nimegundua hilo. Maana humu tangia nijiunge sijawahi kuona bandiko la kijana akitafuta mwenza umli chini ya miaka 28.
Mwanaume akitafuta mwenza kigezo umli 28-35

Mwanamke akitafuta mume umli ni 33-40
Kiufupi ni kwamba humu Jf 80% ni wahenga. Vijana wadogo wadogo wapo ila hawatafuti wachumba labda wanakufa na yao moyoni au ndo kuhangaika pm kimya kimya.

Jamani eehh vijana wenzangu age 20-28 humu tutakufa na ugumu bora turudi fb kwa kina mariamu hassani na juma kadala.

Nawasilisha
Dili na umri wako ulingane na ufahamu wako umri wa mtu mwingine haukuhusu !
happiest mhenga!
 
Nimegundua hilo. Maana humu tangia nijiunge sijawahi kuona bandiko la kijana akitafuta mwenza umli chini ya miaka 28.
Mwanaume akitafuta mwenza kigezo umli 28-35

Mwanamke akitafuta mume umli ni 33-40
Kiufupi ni kwamba humu Jf 80% ni wahenga. Vijana wadogo wadogo wapo ila hawatafuti wachumba labda wanakufa na yao moyoni au ndo kuhangaika pm kimya kimya.

Jamani eehh vijana wenzangu age 20-28 humu tutakufa na ugumu bora turudi fb kwa kina mariamu hassani na juma kadala.

Nawasilisha
Ni kweli JF wengi wetu ni wahenga, na huu ujio wenu nyie watoto ndio kumepoteza ile Great thinker iliokuwepo hapo awali. Watoto nendeni Fesibuuku hadi mkifika 40years ndio mrudi JF. Kumekuwa na vipost vingi visivyo kichwa wala miguu kumbe ni nyinyi watoto wa Fesibuuku!!
 
Dili na umri wako ulingane na ufahamu wako umri wa mtu mwingine haukuhusu !
happiest mhenga!
Ingekuwa hivyo tusingekuwa na matabaka. Lazima tutofautiane deals ili heshima iwepo. Binafsi sina ufahamu mkuubwa kama wakina the bold na Ontario ni wastani tu. Kuhusu dili ni kawaida pia mkuu siyo kihivyoo ingawa maisha yanaenda namshukuru mungu kwa hichi kidogo nilichonacho.
 
Ni kweli JF wengi wetu ni wahenga, na huu ujio wenu nyie watoto ndio kumepoteza ile Great thinker iliokuwepo hapo awali. Watoto nendeni Fesibuuku hadi mkifika 40years ndio mrudi JF. Kumekuwa na vipost vingi visivyo kichwa wala miguu kumbe ni nyinyi watoto wa Fesibuuku!!
Humu ni kwetu sote hatubaguani mkuu. Hata wewe ulianzia fesibuku pia
 
Ingekuwa hivyo tusingekuwa na matabaka. Lazima tutofautiane deals ili heshima iwepo. Binafsi sina ufahamu mkuubwa kama wakina the bold na Ontario ni wastani tu. Kuhusu dili ni kawaida pia mkuu siyo kihivyoo ingawa maisha yanaenda namshukuru mungu kwa hichi kidogo nilichonacho.
man !"deal"is not a context or subject here!i meant you just be concerned with ur age in relation of what ur doing not other people age!
u know what kiddo every body comes i this world at his or her own good time and with own plan so dont live nobody life but yours only -enjoy your time while it last dont compare urself with nobody do ur thangs!
 
man !"deal"is not a context or subject here!i meant you just be concerned with ur age in relation of what ur doing not other people age!
u know what kiddo every body comes i this world at his or her own good time and with own plan so dont live nobody life but yours only -enjoy your time while it last dont compare urself with nobody do ur thangs!
Haya bana. Noted
 
Kwa hiyo ukiona mwanaume anatafuta mke wa miaka 28-35 unadhani ni muhenga?Huhui kuna vijana wadogo wavivu wanaotafuta kulelewa na mijimama?Wengine wame kosa mikopo HESLB ndio maana wanatafuta wanawake Dar!
 
Kwa hiyo ukiona mwanaume anatafuta mke wa miaka 28-35 unadhani ni muhenga?Huhui kuna vijana wadogo wavivu wanaotafuta kulelewa na mijimama?Wengine wame kosa mikopo HESLB ndio maana wanatafuta wanawake Dar!
Hahahahaa siyo kwa humu. Maana mijimama haitafutwi inatafuta
 
Back
Top Bottom