Kidabwenge
Member
- Oct 20, 2019
- 20
- 58
Kumetokea nini kwenye jamii ya Sasa mbona kila sehemu NDOA zimekuwa shubili Yani amani hakuna furaha ya MAHUSIANO hakuna tabu tupu shida ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifumo imeshindwa kutoa majibu ya maswali yanayokikabili kizazi hiki, mifumo ya dini, siasa, elimu, fedha, familia na sayansi na teknolojia! Ukinielewa utakua umejua jambo kubwa sana!Kumetokea nn kwenye jamii ya Sasa mbona kila sehemu NDOA zimekuwa shubili Yani amani hakuna furaha ya MAHUSIANO hakuna tabu tupu shida ni nn?
-hela ime-replace upendoKumetokea nn kwenye jamii ya Sasa mbona kila sehemu NDOA zimekuwa shubili Yani amani hakuna furaha ya MAHUSIANO hakuna tabu tupu shida ni nn?
Mbona jamii za Asia na uarabuni hali sio mbaya kama jamii za maghalibi na Afrika? Wamewezaji kukabiliana na hayo mabadiliko ya mifumo?Mifumo imeshindwa kutoa majibu ya maswali yanayokikabili kizazi hiki, mifumo ya dini, siasa, elimu, fedha, familia na sayansi na teknolojia! Ukinielewa utakua umejua jambo kubwa sana!
Hiyo namba mbili very very halisi na kweli 100% na ndio jibu halisi na kazi ya shetani kafanikiwa sana kuharibu familia na taasisi ya ndoa kupitia hapo.-hela ime-replace upendo
-vulugu za binadamu kupingana na nature mfano feminism, 50/50
Mifumo imelala je anayetakiwa kuisisimua, (amsha ni nani)Mifumo imeshindwa kutoa majibu ya maswali yanayokikabili kizazi hiki, mifumo ya dini, siasa, elimu, fedha, familia na sayansi na teknolojia! Ukinielewa utakua umejua jambo kubwa sana!
Jamii za kiafrika wanaobahatika kuongoza ni wajingaMbona jamii za Asia na uarabuni hali sio mbaya kama jamii za maghalibi na Afrika? Wamewezaji kukabiliana na hayo mabadiliko ya mifumo?
Ni kweliMwanamke akishakuwa bread winner, then system za Kimungu zinakataana
katika Kanuni alizoziweka mungu ukiaribu moja itaathiri na nyingine pia... nimemalizaMwanamke akishakuwa bread winner, then system za Kimungu zinakataana
Inachagizwa na utandawazi (Kila kitu kiko open walimu ni wengi) Kila mtu anafundisha mapenzi🤣mtu akijua tu kuongea basiKumetokea nn kwenye jamii ya Sasa mbona kila sehemu NDOA zimekuwa shubili Yani amani hakuna furaha ya MAHUSIANO hakuna tabu tupu shida ni nn?
Nakupenda piaUko wapi huko ambako hampendani, huku kwetu ni bul bul tunapendana hadi raha......