Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu.ndomaana wanandoa wengi wanadanga sana.Ndoa ni tatizo kubwa sio dogo na tatizo kubwa ni Mwanaume kurudisha mpira kwa kipa hasa akiteteleka kipato Wanawake wengi wa mjini sio wavumilivu wanataka kila siku uwe na pesa na ndio maana unaona sehemu wanazouza vilevi zinajaa sana mtu anaona bora arudi nyumbani mwenza wake akiwa amelala kupunguza zogo.
Poor government sapportSababu ni zile zile!
- Lack of support
- Lack of employment opportunities
- Lack of funds
😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Nchi ngumu hiiYap Mkuu ni for Chosen ones.
😀😄😄😄 Usiende mnaeza uliwa wote.
Ndani kama furaha hakuna hata mzigo inakua ngumu kupata muhuni anaona bora aombe suruhu Umoja wa Mataifa huko Nje.Kabisa mkuu.ndomaana wanandoa wengi wanadanga sana.
Mhh kama Kuna ka ukweli hapaUgumu wa maisha umeenda kutibua sehemu ya ubongo inayoshugurikia UPENDO
Si ndoa na mahusiano tu. Jamii nzima imekosa trust.Kumetokea nini kwenye jamii ya Sasa mbona kila sehemu NDOA zimekuwa shubili Yani amani hakuna furaha ya MAHUSIANO hakuna tabu tupu shida ni nini?