Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Uchovu wa akili huleta njozi kuufariji mwili
 
Unataka kusema nini mkuu?
Sukuma gang hawaamini macho yao, walizoea kuteka na kuuwa watu, Sasa wapo frustrated mama hataki hata kuwasikia, Sasa wamejigeuza wanajimu.

Huyu anajuwa kila kitu kuhusu Ben Saanane, huyu ni wakala wa shetani.
Huyo jamaa anajuwa Ben Saanane alipo dead or alive.
 
Naona blah blah tu! Hilo jambo kubwa litalotokea ni lipi? Litatokea lini na wahusika ni nani na nani?
Usipojibu hayo maswali ulichoandika kitabaki kuwa upuuzi.
 
Kuna mtu alitabiri ajali ya ndege nchini 2022, huenda tumepata manabii humu
 
2023 ni Mwaka wa uamsho.

Sheria zitaingia Kanisani Kutoka Watawala, zitapita nyakati ngumu kiasi.

NURU kuu itokayo juu itamulika na mataifa watakuja NYIKANI wakifurahi.

Mtawala ataisikia sauti yake BWANA pekee, hatauliza hatma kupitia Waganga na wachawi au Ramli, atauliza na kujibiwa na aliye Juu.

Mtawala atatawala na pembeni atasimama MWONAJI, NABII Kutoka Kwa BWANA aliye Juu na atamwelekeza Mfalme namna ya kuchunga watu wake.

Maziwa na Asali vitanyweka hapa NYIKANI. Wana wa Uasi, Wana ghasia watapondwa pondwa VICHWA.

Illuminati wamenyanganywa utawala juu ya Taifa lililochaguliwa Tanzania.

Umebarikiwa Tanzania yangu nzuri.

Aamen.
 
Teacher wewe ni mchokozi sana ndugu yangu
 
Ninae mwamini ni maharage ya ukweni peke yake
Ninachoweza kusema ni kwamba hii nchi kuna watu wako pembeni wanaoisimamia na dua na maombi ndio yanayosaidia mambo kuwa kama yalivyo kwasasa.Lakini kuna kitu kinataka kutokea na kufanyika ila kuna watu nawaona wanasema ''Tusubirini kwanza tusiwe na haraka''
 
Wao wanaota kujaza matumbo yao,sisi tunaota angalau kulamba lamba tu,ee Mungu tusaidie πŸ‘.
 
Watunzi wa nyimbo tutunge wimbo gani?

Parapanda ?
Bwana uliyewaita ?
Tunakushukuru Mungu wetu?
Asante?
 
Kuzimu na majeshi yote wameshajiandaa Kwa vita kuishambulia Dunia, watu wamelala USINGIZI.

2023 na kuendelea tumeshauingia msimu na majira mapya.

Tunaenda kugawanyika makundi makuu mawili,

1. Wanaoamini na kumwabudu Mungu aliyejifunua kupitia Yesu Kristo.

2. Waabudu shetani,wachawi,pagan, masonary nk.

Aamen.
 
Shekhe Yahaya mwaka ile alitabiri kuwa kuna mtu maarufu atakufa, kumbe huyo mtu maarufu akawa ni yeye mwenyewe.
Usisahau pia kuwa alisema anampa ulinzi Mzee wa msoga,

Mlinzi hatunaye ila mlindwaji tunaye Hadi LeoπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…