Namaanisha mbowe aende kulamba miguu ikulu ili abakiziwe walau majibo matano. Wale wote walioenda kulamba wamejihakikishie walau majimbo kadhaa. So kakaako mbowe akiwa jeuri atakula kiburi
Wacha ife lkn sisi wana cdm tupo hai tu
Fungua akili mzee Bado hujamjua huyu ni nan???
Huyu na mzee wa kiraracha ni watu wa endocrine system
Jiongeze mzee hajapokelewa Kwa bahati mbaya hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo inaitwa bwashee kala manka.
Mbatia aliwahi kuwa mbunge wa viti maalumu!
Meku Mbowe imekula kwake.
Hivi ilikuwaje mpaka JK akamteuwa kuwa mbunge wa viti maalum.
Na bado mkamshauri MWENYEKITI wenu muungane nae kuliondoa dubwana CCM?Huyo ni mbunge wa ikulu, mbunge wa kuteuliwa, ni pandikizi lilowekwa na Kikwete
Hahahaaaa......aendelee kupambana na Ole sabaya.Hana shida kama wewe, mbowe ana vyake, mbowe ana wafuasi wa kutosha hivyo hawezi kuramba miguu kama nyinyi kina kajamba nani
In God we Trust
Baada ya oktoba hii ID ya Mmawia itapotea, yaani utakuja kivingine baada ya kupata kipigo kitakatifu.Wacha ife lkn sisi wana cdm tupo hai tu
In God we Trust
Ndio mapambano yanayoendelea kwa sasa, CHADEMA imekuwa tishio kwa serikaliAiseee, kumbe tatizo ni CDM tu!
Na ile ya kuomba maridhiano juzi kule Mwanza nayo imechuja pia?!
Daah!!!!!!! "Mama Tanzania"Jamaa ana historia ndefu. CCM waliwahi kumtumia kule Pemba nadhani enzi za Mkapa, wakapata wabunge kadhaa. Lugha anayoongea sasa ni tofauti kabisa na ile ya 2015 enzi za UKAWA. Kitendo cha kupokelewa na mkuu wa mkoa maana yake huyu sasa siyo mpinzani tena kadiri ya Kamusi ya Magufuli. Mbatia rasmi sasa kawekewa VIRUSI vya KORONA. Hafai. La kushangaza ni kwamba inajulikana kabisa kuwa anayebeba na serikali, wananchi watakataa. Lakini bado akina mbatia wamo tu. Au anatafuta kiinua mgongo astaafu siasa?
Namaanisha mbowe aende kulamba miguu ikulu ili abakiziwe walau majibo matano. Wale wote walioenda kulamba wamejihakikishie walau majimbo kadhaa. So kakaako mbowe akiwa jeuri atakula kiburi
tumemuwekea king'amuzi kichwani , kila atakapogusa tutammulikaDaah!!!!!!! "Mama Tanzania"