James Mbatia afanya ziara mkoani Mbeya, apokelewa na Mkuu wa Mkoa na kuhakikishiwa ulinzi

Na Mungu ambavyo hafhihakiwi anawachomoa mmojammoja ili wananchi watambue rangi zao za asili. Watu ni wanafiki sana, Mungu awalinde wenye kupebda haki daima.
 
Nilisema jana, baada ya kuwaona hawo wameenda kujikomba pale kwa Meko nikajua lazima kuna maneno watakuwa wamelishwa, Magufuli ni nyoka, hawezi kuongea na wewe kama hana maslahi yake, tusubiri, tutayaona mengi sana, baada ya Mbatia watafuata wenzake wale wawili.
 

Mmmmh. Nanusa panya!!!
 
Ndo uone uhovyo wa siasa za Magufuli sasa.
Utashangaa sana, wengine wanzuiwa kufanya mikutano hata kwenye maeneo bunge yao, huyu ameweza kwenda na amepokelewa na RC, Mrema aliuza nccr na huyunaye anaelekea huko huko.
 
Kwa kuwa jana alikuwa ikulu wale wajuzi wa mambo waunganishe doti maisha yaendelee.
 
Hivi bado tunaamini kuna uchaguzi mwaka huu?mkoa bora kielimu wenye middle class wengi waliosoma,wenye uwezo wa to apply their mind kumbe kuna wajinga kama huyu anayejiita kiongozi wa nccr,historia na wakati utakuja kuwakumu na wote hawa watakua eti wanaomba msamaha na blah blah nyingi tu.kwetu huku Lingusenguse hatuna ujinga huu wanachi wake wana misimamo isiyoyumba au yuko chama dola au upande wa pili wa upinzani na sio rahisi to jump the ship au kujikomba kwa chama dola.
 
Huo ni utekekezaji wa maagizo ya Jiwe Pombe
 
Biblia inasema ukiishi na watawala vizur utakuwa na aman,ila ukiipinga we utapata taabu,
I
Biblia hiyo hiyo inasema mpende mwenzako kama unavyo jipenda

In God we Trust
 
Nasikia baada ya kuteremshwa toka jukwaani tayari WB wametoa zile fedha walizo kuwa wamezikatalia
Ndio maana jamaa wenu aliteremshwa toka jukwaan na wapiga kura wake waliomchoka. Mmekaa kishari shari tu.

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…