Equation
Member
- Feb 16, 2018
- 58
- 81
Je, watakao kuwa wabunge wapya wa NCCR Mageuzi Octoba 2020 wameshapewa maelekezo na Mwenye Kiti Mbatia kuhusu namna ya ruzuku Itakavyotumika? Isije tena baadae ikawa hivi au vile kuhusu ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app