Uchaguzi 2020 James Mbatia: Chama chetu cha NCCR Mageuzi kinakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani nchini

Uchaguzi 2020 James Mbatia: Chama chetu cha NCCR Mageuzi kinakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani nchini

Jamani makamanda hata combart hawana, sasa mtu kufukuzwa ikulu kunanukia kifupi kwenye chombo jamaa hana ushawishi. Na wafanyakazi labda wale wasiojielewa ndio watakao mchagua. kajijengea maadui kila kona
 
Wamefanyia kazi mapungufu ya Chadema
Wao hawatukani,hawatumiki na Mabeberu ni Wazalendo nk

Uko sahihi sana, na kwakuwa Magufuli sasa hivi ndio kinara wa kunajisi chaguzi za nchi hii, kamuahidi atamfanya chama kikuu cha upinzani. Uzuri ni kuwa hata akipewa viti vya ubunge na Magufuli, bado nguvu halisi ya chama cha siasa inapatikana kwa wananchi na siyo kupitia rais mwenye kiburi cha madaraka. Hivyo hiyo ni fadhila ya muda mfupi sana.

Mmeshampotezea Lipumba mvuto, saa hii mmemtupa kama mpira wa kiume. Kama ccm yenyewe haina mvuto inategemea vyombo vya dola kufanya siasa, ndio itaipa NCCR mvuto? Wananchi tumeshaamka tunajitambua vizuri, hakuna tume huru ya uchaguzi hatushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi.
 
We a great assist from CCM

Just like John Stockton assist to Karl Malone and still they lost the game to Michael Jordan and the Bulls!

What a loss!
 
Chama tawala CDM, kikuu cha upinzani NCCR duh
 
Usiwasingizie wananchi katika dhambi zenu. Tumeshuhudia uvunjwaji wa makusudi wa Sheria na Katiba ya nchi, uonezi na uminywaji wa haki kwa zaidi ya miaka minne...
Tuombeane wote mkuu, Maana Mimi na wewe hayupo mwenye hati ya kuendelea kuishi milele, na Kwa kawaida ni lazima awepo mmoja wa kutangulia, si Mimi Wala si wewe, Ila Mimi binafsi Kwa moyo mweupe kabisa, sina kinyongo na wewe, nakuombea Kwa Muumba akujalie kila hitaji lako likatimie, uwe na maisha ya Amani na akupe upendo wa kuwapenda watu wote, akupe kuona thamani ya upendo jinsi ulivyo

Samehe na kuwapenda maadui zako, ili Mungu unayemtumikia ajilipize yeye. Barikiwa mkuu
 
Tuombeane wote mkuu, Maana Mimi na wewe hayupo mwenye hati ya kuendelea kuishi milele, na Kwa kawaida ni lazima awepo mmoja wa kutangulia, si Mimi Wala si wewe, Ila Mimi binafsi Kwa moyo mweupe kabisa, sina kinyongo na wewe, nakuombea Kwa Muumba akujalie kila hitaji lako likatimie, uwe na maisha ya Amani na akupe upendo wa kuwapenda watu wote, akupe kuona thamani ya upendo jinsi ulivyo

Samehe na kuwapenda maadui zako, ili Mungu unayemtumikia ajilipize yeye. Barikiwa mkuu
AMEN
 
Usiwasingizie wananchi katika dhambi zenu. Tumeshuhudia uvunjwaji wa makusudi wa Sheria na Katiba ya nchi, uonezi na uminywaji wa haki kwa zaidi ya miaka minne...
Tuombeane wote mkuu, Maana Mimi na wewe hayupo mwenye hati ya kuendelea kuishi milele, na Kwa kawaida ni lazima awepo mmoja wa kutangulia, si Mimi Wala si wewe, Ila Mimi binafsi Kwa moyo mweupe kabisa, sina kinyongo na wewe, nakuombea Kwa Muumba akujalie kila hitaji lako likatimie, uwe na maisha ya Amani na akupe upendo wa kuwapenda watu wote, akupe kuona thamani ya upendo jinsi ulivyo

Samehe na kuwapenda maadui zako, ili Mungu unayemtumikia ajilipize yeye. Barikiwa mkuu
 
Jamani makamanda hata combart hawana, sasa mtu kufukuzwa ikulu kunanukia kifupi kwenye chombo jamaa hana ushawishi. Na wafanyakazi labda wale wasiojielewa ndio watakao mchagua. kajijengea maadui kila kona
 
Uko sahihi sana, na kwakuwa Magufuli sasa hivi ndio kinara wa kunajisi chaguzi za nchi hii, kamuahidi atamfanya chama kikuu cha upinzani. Uzuri ni kuwa hata akipewa viti vya ubunge na Magufuli, bado nguvu halisi ya chama cha siasa inapatikana kwa wananchi na siyo kupitia rais mwenye kiburi cha madaraka. Hivyo hiyo ni fadhila ya muda mfupi sana. Mmeshampotezea Lipumba mvuto, saa hii mmemtupa kama mpira wa kiume. Kama ccm yenyewe haina mvuto inategemea vyombo vya dola kufanya siasa, ndio itaipa NCCR mvuto? Wananchi tumeshaamka tunajitambua vizuri, hakuna tume huru ya uchaguzi hatushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi.
hushiriki uchaguzi wewe na nani mkuu?
 
Ni kweli watu wengi (sijui tuseme asilima ngapi? 99%) wana bei yao. Mbatia kafika bei yake. Amekuwa katuni fulani hivi. Njia ile ile ya Lyatonga Mrema.

What a coincidence! Wanatoka jimbo moja!
 
Huko mara kakusanya wanachama zaidi ya elfu 30 bado tu huamini?
Hatuwashangai, HATA akienda Polepole na mwingine na mwingine tena etc, hapohapo, utasikia nao kila mmoja kakusanya elfu hamsini, wakati kata/wilaya yenyewe in watu wasiozidi elfu mbili mia tano.
 
Mtaalamu wa majanga anaongea uhalisia siyo ndoto za Abunuas kama wale jamaa.

Upinzani sasa hivi vurugu zao zote zitaishia kwenye nani atakuwa chama Kikuu cha upinzani siyo kushika dola.

Na chama hicho kikuu kinaweza kuwa hakina Mbunge wa kuchaguliwa bali kuteuliwa na Rais!
 
Njia ya Kura ndio itakayo amua vijana wa ufipa najua jamiforums mtakua mnatuletea Uzi za udaku tu saisa itakua Sio yenu Tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ningependa aseme ni njia gani itakayotumika kukifanya NCCR kuwa tena chama kikuu cha upinzani nchini.

Kwasababu kama ni mtaji wa watu naamini hana, na yeye mwenyewe analijua hilo, sasa ningependa awe na ujasiri wa kutuambia hiyo sababu nyingine ni ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna tija kubwa kwa wapinzani wa nchi hii kama kususia uchaguzi hadi pale itakapopatikana tume huru. Vyenginevyo ni kilio tu.
 
Back
Top Bottom