Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,387
- 2,245
Ningependa aseme ni njia gani itakayotumika kukifanya NCCR kuwa tena chama kikuu cha upinzani nchini.
Kwasababu kama ni mtaji wa watu naamini hana, na yeye mwenyewe analijua hilo, sasa ningependa awe na ujasiri wa kutuambia hiyo sababu nyingine ni ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaji wake wengi wameuona....CCM