James Mbatia: Kwa sasa Rais Samia hawazi matatizo ya wananchi anawaza uchaguzi wa 2025 tu

James Mbatia: Kwa sasa Rais Samia hawazi matatizo ya wananchi anawaza uchaguzi wa 2025 tu

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?

Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF

“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
 
Huu ndio ukweli mchungu

Yaani hizi pesa za tozo msishangae zinatumika kuhonga wananchi na vibaraka wa upinzani 2025

Ila nawaambia uchaguzi Wa 2025 Ni uchaguzi mgumu Sana kuwai kutokea Tanzania

Mkicheza watu wanaingia barabarani kwa Mara ya Kwanza katika historia ya Tanzania.
 
“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.

5CFF19C7-D61A-4FFF-8D6B-C0FEDDDBEF57.jpeg
 
Huu ndio ukweli mchungu

Yaani hizi pesa za tozo msishangae zinatumika kuhonga wananchi na vibaraka wa upinzani 2025

Ila nawaambia uchaguzi Wa 2025 Ni uchaguzi mgumu Sana kuwai kutokea Tanzania

Mkicheza watu wanaingia barabarani kwa Mara ya Kwanza katika historia ya Tanzania.
Ni mgumu Sana zipo sababu.
1.Siro atakuwa ashastaafu ajae atokubali kutumika kisiasa atataka kufanya Professionalism.
2.Mama auziki mtaani
3.Dhuluma ya machinga na ukosefu wa ajira kwa vijana nchini.
4.Uelewa umeongezeka nchini kwamba nchi sio chama
5.Wanachama wa ccm ambao ni wazee na vikongwe idadi yao imepungua
6.Watz wameona madhara ya ukosefu wa wabunge wa upinzani bungeni.
7.Hadi sasa ccm haina mtu makini na anayeuzika kwa watz kuweza kushindana
8.Ugumu wa maisha
9.Hakuna mtu wa kuwatisha na kuwalazimisha wakurugenzi waibebe ccm.
 
Naona Mbatia kaona kuwa uzi wake hauwezi kupata uungwaji mkono bila kuiingiza chadema kwenye agenda zake. Na pia aliona ni muhimu kuiweka ya kwanza ili bavicha wawahi kuichungulia, japo hivyo vyama vingine kaviweka kama geresha tu ili ionekane anahitaji umoja wa vyama vyote, lkn lengo halikuwa hao. Jamaa hana ujanja kabisa wa kujisimamia mwenyewe.
 
“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?
Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF

“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Tatizo haaminiki tena. Jiwe alimwingiza Chaka hadi akapewa ulinzi kwenye mikutano huko Mbeya.

Lakini zaidi wanasema ni Afisa kipenyo
 
Naona Mbatia kaona kuwa uzi wake hauwezi kupata uungwaji mkono bila kuiingiza chadema kwenye agenda zake. Na pia aliona ni muhimu kuiweka ya kwanza ili bavicha wawahi kuichungulia, japo hivyo vyama vingine kaviweka kama geresha tu ili ionekane anahitaji umoja wa vyama vyote, lkn lengo halikuwa hao. Jamaa hana ujanja kabisa wa kujisimamia mwenyewe.
🤣🤣🤣
 
“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?
Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF

“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Safari hii Mbatia hatatishia kutoa siri tena kama wakati ule alipoahidiwa chama chake kuwa chama kikuu cha upinzani?
 
“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?
Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF

“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Umajua tatizo la mama kuna kundi la watu linamdanganya lakini ukweli ni kuwa watu wengi walitarajia mabadiliko makubwa sana huusani kwenye upande wa biashara na fedha mtaani lakini tokea aingie mambo mi Magumu zaidi!

Lakini kwa vile mama haambiwi ukweli hapo ndo tatizo! Mama angekuwa na mawazo yake binafsi angekomea muhula huu! Kwanza yeye amerithi awamu kutoka kwa mwenzake ambaye walikuwa pamoja! Tofauti na hapo nchi inakuja kumshinda hamtaamini!
 
Naona Mbatia kaona kuwa uzi wake hauwezi kupata uungwaji mkono bila kuiingiza chadema kwenye agenda zake. Na pia aliona ni muhimu kuiweka ya kwanza ili bavicha wawahi kuichungulia, japo hivyo vyama vingine kaviweka kama geresha tu ili ionekane anahitaji umoja wa vyama vyote, lkn lengo halikuwa hao. Jamaa hana ujanja kabisa wa kujisimamia mwenyewe.
Mku yy kwa sasa anaamini ktk umoja na ktk huo hawezi kuitoa Chadema.
Umoja ni nguvu kwa hiyo yuko sahihi
 
Nikweli lakini mbatia angejibu kwanza kabla ya uchaguzi aliitwa ikulu 2020 alivotoka aliaza kuzungumza kinyume na wezake ,leo nguvu hiyo anatoa wapi


Hapo ndipo unakuja ugumu wakushikamana
 
Huu ndio ukweli mchungu

Yaani hizi pesa za tozo msishangae zinatumika kuhonga wananchi na vibaraka wa upinzani 2025

Ila nawaambia uchaguzi Wa 2025 Ni uchaguzi mgumu Sana kuwai kutokea Tanzania

Mkicheza watu wanaingia barabarani kwa Mara ya Kwanza katika historia ya Tanzania.
huyu nae anyamaze.. kimburu kenge...
ana ngozi mbili ya kondoo na chui.
nawaonea huruma wanaomuamini huyo msaliti.
 
Huu ndo ukweli, huku mtaani watu tuna hasira, maisha magumu kweli
1: tozo nyingi kila sehemu
2: gharama za matibabu zimepanda sana
3: gharama za kutumia tu simu zimepanda maradufu, (bundle)
4: nauli zimepanda sana
5: ajali kila kukicha
6: Tozo ya luku ni hatari

Kiujumla Tanzania hatujafika hatua ya kuongozwa na mwanamke,kwanza tu maandiko matakatifu
Mwanzo 3:16
Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

Mama hata akisimama na John heche, heche anachukua nchi mapema Sanaa, mm ninavyopenda ccm itoke madarakani naomba tu mama samia agombee,!!
 
Ni mgumu Sana zipo sababu.
1.Siro atakuwa ashastaafu ajae atokubali kutumika kisiasa atataka kufanya Professionalism.
2.Mama auziki mtaani
3.Dhuluma ya machinga na ukosefu wa ajira kwa vijana nchini.
4.Uelewa umeongezeka nchini kwamba nchi sio chama
5.Wanachama wa ccm ambao ni wazee na vikongwe idadi yao imepungua
6.Watz wameona madhara ya ukosefu wa wabunge wa upinzani bungeni.
7.Hadi sasa ccm haina mtu makini na anayeuzika kwa watz kuweza kushindana
8.Ugumu wa maisha
9.Hakuna mtu wa kuwatisha na kuwalazimisha wakurugenzi waibebe ccm.
Atokubali...ni Hatokubali...
Auziki ni hauziki
 
Back
Top Bottom