Ccm ndio mmekuwa washauri bora wa Chadema tangu lini?Binadamu makini yeyote huwa anajua weakness na strength zake na pia za wenzake/washindani wake. Alichosema ndiyo uhalisia bila vyama vya upinzani kuungana kudai kwa pamoja watakwama...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ndio mmekuwa washauri bora wa Chadema tangu lini?Binadamu makini yeyote huwa anajua weakness na strength zake na pia za wenzake/washindani wake. Alichosema ndiyo uhalisia bila vyama vya upinzani kuungana kudai kwa pamoja watakwama...
Zitto na Mbatia ni wa kwenda nao kwa akili.Chadema haitashirikiana na msaliti yeyote tena kuanzia muda huu , kila mtu ashinde mechi zake
KabisaHuu ndio ukweli mchungu
Yaani hizi pesa za tozo msishangae zinatumika kuhonga wananchi na vibaraka wa upinzani 2025
Ila nawaambia uchaguzi Wa 2025 Ni uchaguzi mgumu Sana kuwai kutokea Tanzania
Mkicheza watu wanaingia barabarani kwa Mara ya Kwanza katika historia ya Tanzania.
Mbatia atapewa ubunge wa viti maalum na atakaa kimya“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?
Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF
“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Cheo, Mrema, Lipumba, Zitto na Mbatia unatakiwa kukaa nao kwa akili snZitto na Mbatia ni wa kwenda nao kwa akili.
Cheyo, Mrema na Lipumba rangi zao tayari zinajulikana tofauti na Zitto na Mbatia ambao wanauma na kupuliza kotekote.Cheo, Mrema, Lipumba, Zitto na Mbatia unatakiwa kukaa nao kwa akili sn
Haka kajarida kalipigwa na kitu kizito kichwani sababu ya habari hiyo
Ehheeee. Wasema kweli shekh. Jipange kumtoa hijab kwa kiti si rahisi“@ChademaTz , @ACTwazalendo , #CUF na sisi @nccrmageuzihq hebu tuondoe viburi vyetu tukae pamoja tuzungumze kuhusu nchi yetu, kwann tukose furaha kwenye nchi yetu?
Tuoneshe mshikamano wetu katika kupigania haki katika nchi yetu”. - M/kiti Taifa Ndugu #JamesMbatia
#KongamanoLaCUF
“Samia Suluhu kwasasa hawazi matatizo ya Watanzania anawaza uchaguzi uchaguzi uchaguzi tu. Ndani ya miezi 6 tukiamua kuungana nina uhakika tunaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kuomba omba kwa @ccm_tanzania na kufika 2025 CCM itaondoka madarakani watake wasitake.” James Mbatia.
Acha bwana we. Hehe huyo huyo aliyeshindo na yuleeeee huko kwao.Huu ndo ukweli, huku mtaani watu tuna hasira, maisha magumu kweli
1: tozo nyingi kila sehemu
2: gharama za matibabu zimepanda sana
3: gharama za kutumia tu simu zimepanda maradufu, (bundle)
4: nauli zimepanda sana
5: ajali kila kukicha
6: Tozo ya luku ni hatari
Kiujumla Tanzania hatujafika hatua ya kuongozwa na mwanamke,kwanza tu maandiko matakatifu
Mwanzo 3:16
Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Mama hata akisimama na John heche, heche anachukua nchi mapema Sanaa, mm ninavyopenda ccm itoke madarakani naomba tu mama samia agombee,!!
SureCheyo, Mrema na Lipumba rangi zao tayari zinajulikana tofauti na Zitto na Mbatia ambao wanauma na kupuliza kotekote.
Anaweza kutolewa hakuna mtu huku bara anamhitajiEhheeee. Wasema kweli shekh. Jipange kumtoa hijab kwa kiti si rahisi
Amesema tuweke viburi vyetu pembeni kwa maana ya tofauti zetu, ila tatizo ni kwamba kila siku Chadema ndio yupo right na wengine ndio pekee huwa wanafki na ndio wenye shida.Naona Mbatia kaona kuwa uzi wake hauwezi kupata uungwaji mkono bila kuiingiza chadema kwenye agenda zake. Na pia aliona ni muhimu kuiweka ya kwanza ili bavicha wawahi kuichungulia, japo hivyo vyama vingine kaviweka kama geresha tu ili ionekane anahitaji umoja wa vyama vyote, lkn lengo halikuwa hao. Jamaa hana ujanja kabisa wa kujisimamia mwenyewe.
Huu ndio ukweli mchungu
Yaani hizi pesa za tozo msishangae zinatumika kuhonga wananchi na vibaraka wa upinzani 2025
Ila nawaambia uchaguzi Wa 2025 Ni uchaguzi mgumu Sana kuwai kutokea Tanzania
Mkicheza watu wanaingia barabarani kwa Mara ya Kwanza katika historia ya Tanzania.
Sabuni jamaa ilikuwa 2000/= sasa ni 2800/=
Hakuna mtz wa kuingia roadHuu ndio ukweli mchungu
Yaani hizi pesa za tozo msishangae zinatumika kuhonga wananchi na vibaraka wa upinzani 2025
Ila nawaambia uchaguzi Wa 2025 Ni uchaguzi mgumu Sana kuwai kutokea Tanzania
Mkicheza watu wanaingia barabarani kwa Mara ya Kwanza katika historia ya Tanzania.
Sirro tutamuongezea muda, gaidi Kingai tutampa kazi maalumu ya kuteka wapinzaniNi mgumu Sana zipo sababu.
1.Siro atakuwa ashastaafu ajae atokubali kutumika kisiasa atataka kufanya Professionalism.
2.Mama auziki mtaani
3.Dhuluma ya machinga na ukosefu wa ajira kwa vijana nchini.
4.Uelewa umeongezeka nchini kwamba nchi sio chama
5.Wanachama wa ccm ambao ni wazee na vikongwe idadi yao imepungua
6.Watz wameona madhara ya ukosefu wa wabunge wa upinzani bungeni.
7.Hadi sasa ccm haina mtu makini na anayeuzika kwa watz kuweza kushindana
8.Ugumu wa maisha
9.Hakuna mtu wa kuwatisha na kuwalazimisha wakurugenzi waibebe ccm.
Mda ushamtuma mkono.Sirro tutamuongezea muda, gaidi Kingai tutampa kazi maalumu ya kuteka wapinzani
Tume ipo huru????Huu ndo ukweli, huku mtaani watu tuna hasira, maisha magumu kweli
1: tozo nyingi kila sehemu
2: gharama za matibabu zimepanda sana
3: gharama za kutumia tu simu zimepanda maradufu, (bundle)
4: nauli zimepanda sana
5: ajali kila kukicha
6: Tozo ya luku ni hatari
Kiujumla Tanzania hatujafika hatua ya kuongozwa na mwanamke,kwanza tu maandiko matakatifu
Mwanzo 3:16
Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Mama hata akisimama na John heche, heche anachukua nchi mapema Sanaa, mm ninavyopenda ccm itoke madarakani naomba tu mama samia agombee,!!