James Mbatia: Kwa sasa Rais Samia hawazi matatizo ya wananchi anawaza uchaguzi wa 2025 tu

Mda ushamtuma mkono.
Wape kingai Kada wao atawapa ushindi.
Kama jiwe alitumia police na akajipitisha kwa mbinde,wao waibe nasi Kazi yetu ni kumuomba Mungu
Magu alitumia bastola na mtutu wa binduki,nchi yote ikageuka kuwa ya kijani kibichi
 
Siasa za kiafrika ni rahisi sana kuufanya uso uwe kama wa mzee wa miaka mia wakati mtu ni kijana wa miaka 25.

Huku la wamachinga halijamalizika kaka Mbatia anae anaanzisha maneno mengine.
 
Binadamu makini yeyote huwa anajua weakness na strength zake na pia za wenzake/washindani wake. Alichosema ndiyo uhalisia bila vyama vya upinzani kuungana kudai kwa pamoja watakwama...
Na kamwe serikali/CCM haitakubali, haitaruhusu jambo hilo. Divide and rule ndio turufu yao.
 
Hoja yako hipi sasa
 
Nikweli lakini mbatia angejibu kwanza kabla ya uchaguzi aliitwa ikulu 2020 alivotoka aliaza kuzungumza kinyume na wezake ,leo nguvu hiyo anatoa wapi


Hapo ndipo unakuja ugumu wakushikamana
tupe hoja yako
 
Mr mama Tanzania[emoji2]

Ashirikiana na nani!?[emoji15]

Huyu aliitwaga na magu pale magogoni akanywa juice ya magogoni akapelembwa na maneno mazuri kama demu

Akatoka pale akaende mbeya akapolewa na mkuu wa mkoa hadi ofisi na escort juu kwa kazi maalumu aliyotumwa kuwashughulikia chadema kule mbeya

Inshort he was magu-ass-wiper!!

Chadema kuweni makini na watu wanaotaka umaarufu kwa mgongo wenu wengi wameishiwa kisiasa .

Na nyie mbaki relevant na mnachokiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…