Here we go again - manufacturing Mickey Mouse stories, hivi katika awamu ya utawala wa Mh.Kikwete kapiga picha na wafanya biashara wangapi, Why pick on Rugemalira???
Mikataba mibovu
1. Bill 320 Za capacity charges zilizokuwa BOT zimelipwa Kwa hawa wanaume wawili Ruge na Seth wa PAP Kwa umeme ambao megawat 100 hazikuzaliswa ipasavyo. Kumbukq 1995 mpaka 2013 nilikuwa na shida Sana ya umeme hasa wakat wa Jk na tulilipishwa Capacity Charges bila kuzingatia Umeme umepata au la..
Mabilion haya 320 ndiyo kiasi cha fedha kinqchojenga Mawizarq yote 26 tena maghorofa hapa Dodoma
2. Kule kwenye Mabenk ya nje wanadai pesa zao USD 200Million kama Bill 400 na wameshinda kesi UK na Malaysia ( Standard Charted Bank) huyu Seth allikopq huko kwao Kwa kuweka mapato ya kutoka Serikali/TAnEsCo kuzalisha hizo Megawat 100..qmbazo pia walishindwa kupata kipato cha kulipa hayo madeni mpaka Leo hii..
Serikali inatakiwa ilipe na riba juu yake
Aisee too tough..
Walipata pesa za kutosha sana
Huu Mzozo wa IPTL
Hawa jamaa baada ya kuingia makubaliano na TAnEsCo ya kuzalisha umeme megawati 100..mwaka 1995...walikaa muda kdg bila kuzalisha lqkini walilambq capacity charges
Baaadae hiv waliendqa benk kupata Mkopo.
Kwa kuwa walikuwa na Mkataba na TAnEsCo waliomba mapato Yao ya umeme yawe ni Guarantee Kwa mkopeshaji...
Standard Chartered Hong Kong I think walipewa hiyo Government Guarantee (international)...Benk ikatoa fedha Kwa IPTL ya kutosha..
Sasa hiyo Government Bank Guarantee ilisumbua Sana...
Kwa nini..
IPTL Walidefault bank loan. Kwa hiyo benk ukawa inapambana na serikali walipwe Kwa kuwa Wana Govt guarantee..ila hawa walifungua kesi kudai pesa zao na wakalipwa through Court decree Bill 306 has gone..Judge Utamwa
it was a very interested court case..
Hapo Kati Kati mara kadhaa serikali ilijitahidi kukana makubaliano lqkini ilishindikana.
All that I know...