James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

Haki imeshinda. Mara baada ya kuachiliwa huru, ameenda kanisani kusali na kumshukuru Mungu. Alimwachia kila kitu Mungu, akabaki na rozari yake shingoni and he would say it daily. Hata sasa Mungu amemsaidia.
Unafiki!
 
Acheni FITINA si kila kifo Mungu anahusika, sikuwa upande wa late Pombe ila hizi mambo mnazoendeleza siyo sahihi.
Mungu ndo anaruhusu. Hata kama kilikuwa kifo cha fitina.
 
Mchongo ulifanywa na Kikwete so lazimi wamuachie tu

IMG-20210917-WA0030.jpg
 

Attachments

  • VID-20210917-WA0025.mp4
    8.6 MB
Yaani wewe akili yako imejaa kamasi huyo ni group la kikwete ni mwizi, fidia ya nini!? Kauze mashamba ya babu yako uje umlipe!
Kamwibia nani - labda tuanzie hapo? Sina shaka na wewe ni mmoja wa watanzania wachache ambao wanakuwa driven na wivu na roho za kutu na za kwa nini?

Hivi mara hii umesahau jinsi Rugemalira alivyo nusuru Taifa letu lisitetereke kiuchumi alipo agiza na kuingiza nchini mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme wa kuendesha machine za viwanda vyetu thereby saving our economy from total collapse at the eleventh hour!! Hilo hamlisemi kazi yenu kumkandia Rugemalira 24X7 kwamba ni mwizi/tapeli na fisadi - mnampakazia tu wala hamjui undani wa project nzima - kwamba mitambo ya kuzalisha umeme iliingizwa nchini na Rugemalira akishirikiana na business partner wake kutoka Malaysia baada ya Serikali kukosa fedha za kutosha kuagiza mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme wa dhalula baada ya kina cha maji ya Kidatu na Mtera kupungua kwa kiwango cha kutisha - wangapi wanakumbuka crisis hiyo ya Kitaifa - badala yake baadhi yenu mko overly obsessed kumu - crucify Rugemalira by manufacturing made up stories - hawakutaka hata kusikiliza maelezo yake kwanza, badala yake walitaka kumu-black mail eti "rudisha fedha zako zote kwanza" maelewano baadae - binafsi sijawahi kusikia kitu kama hicho popote Duniani!!!
 
Kamwibia nani - labda tuanzie hapo? Sina shaka na wewe ni mmoja wa watanzania wachache ambao wanakuwa driven na wivu na roho za kutu na za kwa nini?

Hivi mara hii umesahau jinsi Rugemalira alivyo nusuru Taifa letu lisitetereke kiuchumi alipo agiza na kuingiza nchini mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme wa kuendesha machine za viwanda vyetu thereby saving our economy from total collapse at the eleventh hour!! Hilo hamlisemi kazi yenu kumkandia Rugemalira 24X7 kwamba ni mwizi/tapeli na fisadi - mnampakazia tu wala hamjui undani wa project nzima - kwamba mitambo ya kuzalisha umeme iliingizwa nchini na Rugemalira akishirikiana na business partner wake kutoka Malaysia baada ya Serikali kukosa fedha za kutosha kuagiza mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme wa dhalula baada ya kina cha maji ya Kidatu na Mtera kupungua kwa kiwango cha kutisha - wangapi wanakumbuka crisis hiyo ya Kitaifa - badala yake baadhi yenu mko overly obsessed kumu - crucify Rugemalira by manufacturing made up stories - hawakutaka hata kusikiliza maelezo yake kwanza, badala yake walitaka kumu-black mail eti "rudisha fedha zako zote kwanza" maelewano baadae - binafsi sijawahi kusikia kitu kama hicho popote Duniani!!!
Ndugu hizo ☝🏾ni propaganda za kisiasa juu ya kuficha kombe ili mwanaharamu apite.

Hiyo issue ya malaysian na lile li_fake project wanaambiwa watu walio nje ya mfumo ambao they never catch the real truth, upigaji mkubwa nchi hii umekuwa unafanyika kwa makamisaa kuchukua their best friends na kuwapa maelekezo wafanye nini kutekeleza na kufanikisha hizo mambo.

Fikilia kwa akili ya ugali kwa tembele, kwa nini Lowassa ali_fail na lile li_project lake la mvua ya kutengeneza!.
 
Huyu jamaa anastahili kuwa tajili, ana roho ngumu na kauzu kisawasawa.

Yule marehemu dhulumati kamchimba mikwara yote mzee kakaza bora afie jela kuliko kutishwa na mwehu.
alikudhurumu nini mkuu??
 
Habari mbaya kwa genge la waporaji sukuma gang, huyu mzee aliwakazia sitoi hata mia kudadeki.

Na wanarudi kuanzia pale walipoishia, January Makamba ndio in charge, nchi tamu sana hii.
tembo zikipigana ziumiazo ni nyasi.


wewe mkuu ukijua nafasi uliyopo ila umeamua kuwa mshangiliaji,ama kweli umasikini ni laana.
 
Here we go again - manufacturing Mickey Mouse stories, hivi katika awamu ya utawala wa Mh.Kikwete kapiga picha na wafanya biashara wangapi, Why pick on Rugemalira???
Mikataba mibovu

1. Bill 320 Za capacity charges zilizokuwa BOT zimelipwa Kwa hawa wanaume wawili Ruge na Seth wa PAP Kwa umeme ambao megawat 100 hazikuzaliswa ipasavyo. Kumbukq 1995 mpaka 2013 nilikuwa na shida Sana ya umeme hasa wakat wa Jk na tulilipishwa Capacity Charges bila kuzingatia Umeme umepata au la..

Mabilion haya 320 ndiyo kiasi cha fedha kinqchojenga Mawizarq yote 26 tena maghorofa hapa Dodoma


2. Kule kwenye Mabenk ya nje wanadai pesa zao USD 200Million kama Bill 400 na wameshinda kesi UK na Malaysia ( Standard Charted Bank) huyu Seth allikopq huko kwao Kwa kuweka mapato ya kutoka Serikali/TAnEsCo kuzalisha hizo Megawat 100..qmbazo pia walishindwa kupata kipato cha kulipa hayo madeni mpaka Leo hii..

Serikali inatakiwa ilipe na riba juu yake

Aisee too tough..

Walipata pesa za kutosha sana
Huu Mzozo wa IPTL

Hawa jamaa baada ya kuingia makubaliano na TAnEsCo ya kuzalisha umeme megawati 100..mwaka 1995...walikaa muda kdg bila kuzalisha lqkini walilambq capacity charges

Baaadae hiv waliendqa benk kupata Mkopo.

Kwa kuwa walikuwa na Mkataba na TAnEsCo waliomba mapato Yao ya umeme yawe ni Guarantee Kwa mkopeshaji...

Standard Chartered Hong Kong I think walipewa hiyo Government Guarantee (international)...Benk ikatoa fedha Kwa IPTL ya kutosha..

Sasa hiyo Government Bank Guarantee ilisumbua Sana...

Kwa nini..

IPTL Walidefault bank loan. Kwa hiyo benk ukawa inapambana na serikali walipwe Kwa kuwa Wana Govt guarantee..ila hawa walifungua kesi kudai pesa zao na wakalipwa through Court decree Bill 306 has gone..Judge Utamwa

it was a very interested court case..

Hapo Kati Kati mara kadhaa serikali ilijitahidi kukana makubaliano lqkini ilishindikana.

All that I know...
 
Dua.



_MG_0435.JPG
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani miaka 4 iliyopita

17 September 2021

DPP AMTOA MZEE JAMES RUGEMARILA KWA NOLLE PROSEQUI.


Wakili Anafafanua Mamlaka Ya DPP Na Kuutoa Tafsiri Iwapo Nolle Prosequi Inamaliza Kesi.
Source: Channel1TV
 
Kama kesi imefutwa walipwe kwa gharama zote walizotumia, familia zao kupata shida na kwa kufugwa bila kuwa na kesi

Uko sawasawa kweli....tozo zimekuzunguka kila kona sasa hv mtanzania wakawaida mkate ni anasa kwake sababu bei ya unga wa ngano imepanda sana...bado serikali imlipe fisadi..hv tunalaana
 
Halafu kuna watanzania wanashangilia...
Ila ccm wote mafisadi tu sema viwango vinatofautiana… Hata Mayanga construction alikua anapiga vile vile.!Dawa ni kuondoa mfumo mzima wa unyonyaji kupitia katiba mpya
 
Kwaiyo akina Lissu na Mbowe,Zitto walivyokuwa wanatema mate bungeni, Mpaka kuweka maazimio walikuwa walikuwa wameongwa kumchafua Lugemarila na serikali ya Kikwete? Mambo haya yalianzishwa na akina Lissu,tena na ushaidi wa nyaraka,tena nakumbuka Lissu alivyopewa nafasi bungeni,alitoa hata history ya IPTL ilivyoanzishwa.wakulaumiwa ni akina Lissu na wabunge waliotoa maazimio kwa serikali Magufuri anangushiwa jumba bovu tu,yeye alitimiza maazimio ya akina Lissu
Nakuhakikishia mpaka leo akina Lissu, Mbowe na Zitto wangetaka kesi ya Tegeta Escrow iendeshwe hadi mwisho. Mafisadi wote wajulikane, jinsi walivyoshiriki na mgao waliopata. Manake ufisadi wa akili kubwa sana ulifanyika.

LAKINI, amin nakuambia, serikali ya CCM haikuwa tayari, haiko tayari na haiwezi kuthubutu kabisa kuona kesi hiyo ikiendeshwa. Tena enzi zile sauti nzito ilisikika toka juu ikidai “hizo ni pesa halali za wafanyabiashara”.

Magufuli alijua hawezi kuendesha kesi hiyo. Lakini kwa jeuri tu ya kutaka kuwakomoa kina Rugemalira na kupata ujiko kisiasa (na pengine kutaka kuwatoa mshiko kirahisi rahisi) kawaweka ndani miaka minne bila sababu za kisheria. Hata pale Rugemalira alipoomba idhini ya mahakama ataje wote waliochukua hela ya Escrow alikataliwa.

Akina Lissu, bila shaka, sasa hivi hawatapenda kuonyesha roho mbaya baada ya Rugemalira kuachiwa baada ya tabu kubwa aliyopitia. Hivyo watapuuza tu.
 
Nakuhakikishia mpaka leo akina Lissu, Mbowe na Zitto wangetaka kesi ya Tegeta Escrow iendeshwe hadi mwisho. Mafisadi wote wajulikane, jinsi walivyoshiriki na mgao waliopata. Manake ufisadi wa akili kubwa sana ulifanyika.

LAKINI, amin nakuambia, serikali ya CCM haikuwa tayari, haiko tayari na haiwezi kuthubutu kabisa kuona kesi hiyo ikiendeshwa. Tena enzi zile sauti nzito ilisikika toka juu ikidai “hizo ni pesa halali za wafanyabiashara”.

Magufuli alijua hawezi kuendesha kesi hiyo. Lakini kwa jeuri tu ya kutaka kuwakomoa kina Rugemalira na kupata ujiko kisiasa (na pengine kutaka kuwatoa mshiko kirahisi rahisi) kawaweka ndani miaka minne bila sababu za kisheria. Hata pale Rugemalira alipoomba idhini ya mahakama ataje wote waliochukua hela ya Escrow alikataliwa.

Akina Lissu, bila shaka, sasa hivi hawatapenda kuonyesha roho mbaya baada ya Rugemalira kuachiwa baada ya tabu kubwa aliyopitia. Hivyo watapuuza tu.
Mbona atukuona wakishinikiza serikali ya Magufuri kwamba washitakiwe?wakapeleka na ushaidi wa nyaraka kama walivyokuwa wakidai,baada yake wakaanza kumshambulia Magufuri kuwa anawaonea matajiri gele,akina Lissu Mpaka akaanza vitisho kwa serikali kuwa itashitakiwa na kulipishwa hela nyingi.
 
Back
Top Bottom