Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Duh! Mwhehu tena. Hapo upipo uko chini ya ulinzi!!!Huyu jamaa anastahili kuwa tajili, ana roho ngumu na kauzu kisawasawa.
Yule marehemu dhulumati kamchimba mikwara yote mzee kakaza bora afie jela kuliko kutishwa na mwehu.
Shida ilikuja pale tulipotaka waliohusika wawajibishwe, nadhani unakumbuka mkutano ule wa bunge ulienda hadi saa 4 usiku, huku mbowe akitahadharisha kuwa tutaenda kuwa failed state.Mtu kauza kampuni yake, kalipa na Kodi kwa Kayafa, hapo kosa lake nini?
"it takes talent to make money,but it takes brain to keep it"Mimi nimemkubali, mzee ameona potelea Kwa mbali afie gerezani watoto wabaki na utajiri, hiyo ndio Tafsiri ya Kufa kiume
vijana tijifunze kupata hela ni jambo moja na kuilinda ni jambo jingine linahitaji uwe kauzu na roho ngumu
Ndio alikuwa mlengwa ...Hii kesi alie loose ni singa singa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee alikuwa anapiga novena gerezaniAmshukuru Mungu kwa kumuondoa Magufuli. Karibu uraiani.
Kwenye hela aliyopiga ya kwako ni Tsh ngapi?Ndio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.
Yeah sure kabisaIla jela imemjenga sana huyu mzee
Mentally na physically
Ova
Kwa nchi hii ilivyo hasa wakati ule wa awamu ya 4, ni vigumu kwangu kuamini kuwa hawa majamaa walibambikiwa kesi. Kapuku kama mimi nawewe kushangilia kuachiwa kwao ni mapema sana, ngoja Lissu aje atupe za ndani ndani. Tumezoea kupigwa na tuendelee kupigwa. Upinzani una ajenda nzuri za kampeni 2025. Na kwa speed hii mgombea yeyote wa CCM akipata 50% aende kwa mganga!Kama kweli Mungu amsimamie na wadhalimu wooote waendelee kupatwa na yale ambayo yalimpata mwendazake. Huwezi kuonea watu ukaishi Mungu sio binadamu. Mungu amtetee huyu mzee aendelee kuona watesi wake wanavyopakatika
Poleh kwa na kwa familia kwa mpito wa kipindi kigumu
Hongera Mrs.Rugemalira
Nchi ya hovyo snPoleh kwa na kwa familia kwa mpito wa kipindi kigumu
Hongera Mrs.Rugemalira
Mawazo finyu snAcha wapige.
Mtu yeyote mwenye nafasi kama hatapiga hela atakuwa ni mpumbavu wa hali ya juu sana.
Namshangaa sana Mbowe ana kila kitu sasa anapata tabu yote kisa kumpigania mtz? Mtz yupi?
Ukirejea hoja za wanachadema enzi za Jk juu ya Rugamalila na sasa aisee..
Narudi! Mtu mwenye nafasi hapa nchini kama hatapiga hela atakuwa mpumbavu sana.
Akifungwa wew utapata nn!?Kwa nchi hii ilivyo hasa wakati ule wa awamu ya 4, ni vigumu kwangu kuamini kuwa hawa majamaa walibambikiwa kesi. Kapuku kama mimi nawewe kushangilia kuachiwa kwao ni mapema sana, ngoja Lissu aje atupe za ndani ndani. Tumezoea kupigwa na tuendelee kupigwa. Upinzani una ajenda nzuri za kampeni 2025. Na kwa speed hii mgombea yeyote wa CCM akipata 50% aende kwa mganga!
DPP mpya kasimikwa, mwanasheria mkuu mpya kasimikwa leo kesi iliyokuwa ngumu kama chuma inalainishwa kama keki...Mmmmmmmm. Watanzania ndio waliwao.
Huyu ndio mwanaume... Unakufa na siri gerezani. Ukitoka unakula nchiii.... Nimempenda kiukweli.View attachment 1940085
Salaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
View attachment 1940204
View attachment 1940227
Hana kosa yuleIla DPP bana.
Anasemaga tu
SINA NIA YA KUENDELEA NA KESI HII.
yani kama vile kaagiza shati dukani af aamue kuacha kulinunua.
Simple yan.
Magufuli ndio aliyemfunga!??Amshukuru Mungu kwa kumuondoa Magufuli. Karibu uraiani.