James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

Acha wapige.

Mtu yeyote mwenye nafasi kama hatapiga hela atakuwa ni mpumbavu wa hali ya juu sana.

Namshangaa sana Mbowe ana kila kitu sasa anapata tabu yote kisa kumpigania mtz? Mtz yupi?

Ukirejea hoja za wanachadema enzi za Jk juu ya Rugamalila na sasa aisee..

Narudi! Mtu mwenye nafasi hapa nchini kama hatapiga hela atakuwa mpumbavu sana.

Mi naomba nikupige basi
 
Mateso aliyoyapata miaka yote kumbe ilikuwa kesi ambayo haina mashiko na nguvu za kisheria,hii ni mbaya sana.sheria zetu,zinasemaje anaweza kudai fidia,kwa maana Serikali imeshindwa kudhibitisha mashitaka Yao.
 
Habari mbaya kwa genge la waporaji sukuma gang, huyu mzee aliwakazia sitoi hata mia kudadeki.

Na wanarudi kuanzia pale walipoishia, January Makamba ndio in charge, nchi tamu sana hii.
Bora angekaa huko huko gerezani huku nje corona atampitia mpaka atashangaa!!
 
Acha wapige.

Mtu yeyote mwenye nafasi kama hatapiga hela atakuwa ni mpumbavu wa hali ya juu sana.

Namshangaa sana Mbowe ana kila kitu sasa anapata tabu yote kisa kumpigania mtz? Mtz yupi?

Ukirejea hoja za wanachadema enzi za Jk juu ya Rugamalila na sasa aisee..

Narudi! Mtu mwenye nafasi hapa nchini kama hatapiga hela atakuwa mpumbavu sana.
Sisi tunachotaka kwa mzee atushushie bei za Heineken tu mpaka 2500 basi.

Wengine wala hatuhitaji maendeleo sisi ni bia tamu asikwambie mtu bana.
 
Huyo mzee kichwa, anajua kucheza na sheria.
Spon ata issue serikali imlipe fidia kwa kumpotezea muda.
Safi sana.
Inawezekana anajua kucheza na hizo sheria au pia anajua kutoa rushwa.
Msisahau kuwa rushwa bado ipo sana
 
View attachment 1940085
Salaam Wakuu,

Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.

_MG_0435.JPG

James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.

Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.

Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.

Zaidi Soma:

1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

UPDATE:

Rugemalila yupo huru!

Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai

View attachment 1940204

View attachment 1940227
Hata akiachiwa,hawezi kurudia mchezo wake wa kuchora madili ya kuibia serikali.
 
Mungu mkubwa, hashindwi na utawala wa mabavu. Poleni sana familia ya mzee Rugemalira na marafiki zake wa kweli ambao mlishinda mkimuombea uhuru wake na Leo amefanikiwa kuikata minyororo ya watesi wake sasa yupo huru na nje ya milango ya magereza. .
 
There is no that evidence . The man is innocent
I am not saying that he was/he is guilty, what I mean is, as long as magufuli was not giving regard to the due process of the law, let him be free even if it might be he committed those offences
 
hakuna kifungu cha sheria za kuidai jamhuri fidia kupitia kwa DPP ? maana miaka yote hiyo unamshikilia mtu then unasema huna nia ya kuendelea na kesi .. ni nini hiki.
 
242024015_4207729819337960_588196995109426720_n.jpg

Muda huu kesi mahakamani, James Rugemalira ameachiwa huru kutokana na kuonekana kesi ina milolongo isiyoeleweka.

Mkurugenzi wa mashtaka DPP amefuta mashtaka ya uhujumu uchumi yaliyokuwa yanamkabili mfanyabiashara James Rugemalila na hivyo kusababisha mahakama kufuta kesi hiyo na kumuachia huru James Rugemalila-ITV
Hela yote ilienda kufanya kampeni zaccm kikwete anajua nawala hawajataka aende kutoa ushahidi mzee aliwahi sema ushahidi anao


Ccm hawa hovyo sana uwepo pia wakatiba mpya nimuhimu kuliko chochote

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 1940085
Salaam Wakuu,

Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.

_MG_0435.JPG

James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.

Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.

Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.

Zaidi Soma:

1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

UPDATE:

Rugemalila yupo huru!

Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai

View attachment 1940204

View attachment 1940227
Ameshangaa kusikia magufuli alishakufa
 
Ndio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.
Wapiga deal wako serikalini .... Hao ndiyo walitakiwa wawe gerezani. Siyo huyu mzee ....!!
 
Back
Top Bottom