balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
DPP katia nolle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa siku kaenda yeyeHuyu jamaa anastahili kuwa tajili, ana roho ngumu na kauzu kisawasawa.
Yule marehemu dhulumati kamchimba mikwara yote mzee kakaza bora afie jela kuliko kutishwa na mwehu.
Uyu mzee alionewa Sana [emoji3525]
Mzee alivumilia sana, kudra za Muumba zikafanya jambo, hatimaye karudi mtaaniJambo la kheri, yeye aligoma kabisa kukiri kosa na kulipa fidia?
Mfanyabiashara James Rugemalira ameachiwa huru leo.
There is no that evidence . The man is innocentwhatever, as long as the Magufuli regime was full of human rights violations, let him be free even if he is guilty of some offences.....
Mungu ni Mkubwa.View attachment 1940085
Salaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
![]()
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
View attachment 1940204
View attachment 1940227
Lile sikteta uaji la Chato lilikuwa katili sana..Mchongo ulifanywa na Kikwete so lazimi wamuachie tu