Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,456
- 1,005
Kwani aliyekuwa anatuhadaha kazuia uwizi wa serikali yupo chato kupumzikaHata akiachiwa,hawezi kurudia mchezo wake wa kuchora madili ya kuibia serikali.
Moja ya vichwa ambavyo Tanzania imebarikiwa kuwa navyo. Tatizo ni serikali kutotumia vichwa hivyo kwa manufaa ya taifa.Huyo mzee kichwa, anajua kucheza na sheria.
Spon ata issue serikali imlipe fidia kwa kumpotezea muda.
Safi sana.
We jamaa bhana,kama aliiba kweli toka 2017 mpaka march 2021 kabla ya magufuli kufariki alishakaa ndani karibia miaka 4 mbona akukutwa na kosa?huyu katoka kisheria unamtwisha zigo rais SSH,je kuna wale waliokua waloikiri kipindi cha magu then wakalipa hela waachie utasemaje!Mafisadi wanazidi kujikusanya na kufufua team yao chini ya mama samia the killer one
Miaka mitano mahakama imeshindwa kudhibitisha makosa yake. Nchi inaendeshwa kwa sheria na ndio imeamua hivyo.Watanzania hatuna jema
Yule aliyepinga wizi leo majizi yanaachiwa tu.
Hakuna anayejali.
Tz ni kichwa cha mwenda wazimu, maendeleo tutabaki kuyasikia tu.
Wana CHADEMA wanachopinga ni Rugemalira kufungwa hku upande wa serikali hakuna mshtakiwa hta mmoja. Tulitegemea tuone kina Muhongo, Werema, Ndulu n.k na wao wanabananishwa sio tu private sector. Walioiba pesa stanbic mbona hawakukamatwa? Vp waliokula mgao??Acha wapige.
Mtu yeyote mwenye nafasi kama hatapiga hela atakuwa ni mpumbavu wa hali ya juu sana.
Namshangaa sana Mbowe ana kila kitu sasa anapata tabu yote kisa kumpigania mtz? Mtz yupi?
Ukirejea hoja za wanachadema enzi za Jk juu ya Rugamalila na sasa aisee..
Narudi! Mtu mwenye nafasi hapa nchini kama hatapiga hela atakuwa mpumbavu sana.
4 yearsIla DPP bana.
Anasemaga tu
SINA NIA YA KUENDELEA NA KESI HII.
yani kama vile kaagiza shati dukani af aamue kuacha kulinunua.
Simple yan.
GoodSalaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
Fikiri sana mzee, fikiri zaidiIle ni biashara kama zingine haina tofauti na mchimba madini ya vito akafanikiwa kupata mawe ya matrilioni akaamua 'kula' na watu wake wa karibu pia kusaidia jamii kwa kujenga madarasa, hospitali, kufadhili Simba, Yanga n.k.
Wapi nimeandika mwenda zake!.Mwendawazimu alikufa tarehe 17/ 03/ 21 na kuzikwa kule Chato. Kama unamaindi, Go to hell as well
Alimwambia zulumati kwamba bora nice jela kuliko kukupa pesa.Huyu jamaa anastahili kuwa tajili, ana roho ngumu na kauzu kisawasawa.
Yule marehemu dhulumati kamchimba mikwara yote mzee kakaza bora afie jela kuliko kutishwa na mwehu.
Mahakamani ndio sehemu ya kuthibitisha wizi wa mtu, miaka mitano mmeshindwa kuthibitisha, nyinyi kama siyo mashetani tuwaite vipi?
Usimweke mtu ndani kama huna ushahidi, unatesa watu bure.
AiseeSalaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
Marehemu wenu alionea watuNdio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.
Una uhakika gani kuwa uhuru wake si kutokana na kutoa siri hiyo?Huyu ndio mwanaume... Unakufa na siri gerezani. Ukitoka unakula nchiii.... Nimempenda kiukweli.