James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

Kamwibia nani - labda tuanzie hapo? Sina shaka na wewe ni mmoja wa watanzania wachache ambao wanakuwa driven na wivu na roho za kutu na za kwa nini?

Hivi mara hii umesahau jinsi Rugemalira alivyo nusuru Taifa letu lisitetereke kiuchumi alipo agiza na kuingiza nchini mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme wa kuendesha machine za viwanda vyetu thereby saving our economy from total collapse at the eleventh hour!! Hilo hamlisemi kazi yenu kumkandia Rugemalira 24X7 kwamba ni mwizi/tapeli na fisadi - mnampakazia tu wala hamjui undani wa project nzima - kwamba mitambo ya kuzalisha umeme iliingizwa nchini na Rugemalira akishirikiana na business partner wake kutoka Malaysia baada ya Serikali kukosa fedha za kutosha kuagiza mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme wa dhalula baada ya kina cha maji ya Kidatu na Mtera kupungua kwa kiwango cha kutisha - wangapi wanakumbuka crisis hiyo ya Kitaifa - badala yake baadhi yenu mko overly obsessed kumu - crucify Rugemalira by manufacturing made up stories - hawakutaka hata kusikiliza maelezo yake kwanza, badala yake walitaka kumu-black mail eti "rudisha fedha zako zote kwanza" maelewano baadae - binafsi sijawahi kusikia kitu kama hicho popote Duniani!!!
Mitambo iliyoletwa ilipigwa vilevile wamalaysia wakaondoka na matako yao tu baada ya kuiweka tu walifukuzwa.
 
Habari mbaya kwa genge la waporaji sukuma gang, huyu mzee aliwakazia sitoi hata mia kudadeki.

Na wanarudi kuanzia pale walipoishia, January Makamba ndio in charge, nchi tamu sana hii.
Kwahiyo wewe unashabikia genge la mafisadi tuendelee kupigwa. Tunachoshukuru ni kwamba JPM alishayanyoosha na kwasasa wamejichokea hakuna wa kupiga labda waibuke mafisadi wapya. Miradi mikubwa yote yenye pesa nyingi imeshaanza kutekelezwa na mikataba ilishaingiwa hakuna pa kupiga.

Wasubiri miradi mipya 2030 kama wakiwa hai.
 
Kumekucha
Screenshot_20210917-190441.jpg

View attachment 1942234
 
Mafisadi wanasamehewa kwa sababu za ubinadamu mnaanza kuleta nyokonyoko.
Hakuna aliyesamehewa kwa sababu za ubinadamu otherwise lingewekwa wazi, wameshindwa wenyewe(ofisi ya DPP) either kwa kuogopa watakaounganishwa(vigogo wa serikali) kama kesi ikiendeshwa inayostahili au kwa kuona hawapaswi tena kufuata mfumo wa kubambikia watu kesi, ule mfumo wa Jiwe ambaye alikuwa anasweka watu then anawapa pressure wakiri ili awatoe mpunga halafu awaachie.
 
Ni kweli kabisa. Kikubwa ni kunywa maji na kulala. Hapo Rugemalila anaendelea kula bata kitaa na maisha yanaendelea. Mwendazake alishajilalia mauti
Ale bata wapi mzee amekongoroka amebaki mifupa tu,nadhani awezi chezea serikali tena, sasahivi awezi rudia dili zake za kuibia serikali tena,amekomeshwa
 
Hakuna aliyesamehewa kwa sababu za ubinadamu otherwise lingewekwa wazi, wameshindwa wenyewe(ofisi ya DPP) either kwa kuogopa watakao unganishwa(vigogo wa serikali) kama kesi ikiendeshwa inayostahili au kwa kuona hawapaswi tena tufuata mfumo wa kubambikia watu kesi, ule mfumo wa Jiwe ambaye alikuwa anasweka watu then anawapa pressure wakiri ili awatoe mpunga halafu awaachie.
Yaani yeyote aliyehusika ameonewa huruma.
 
Kupata 50%???,hata 300% aweza pata,hii nchi kila kitu kinawezekana bhana
Kwa nchi hii ilivyo hasa wakati ule wa awamu ya 4, ni vigumu kwangu kuamini kuwa hawa majamaa walibambikiwa kesi. Kapuku kama mimi nawewe kushangilia kuachiwa kwao ni mapema sana, ngoja Lissu aje atupe za ndani ndani. Tumezoea kupigwa na tuendelee kupigwa. Upinzani una ajenda nzuri za kampeni 2025. Na kwa speed hii mgombea yeyote wa CCM akipata 50% aende kwa mganga!

DPP mpya kasimikwa, mwanasheria mkuu mpya kasimikwa leo kesi iliyokuwa ngumu kama chuma inalainishwa kama keki...Mmmmmmmm. Watanzania ndio waliwao.
 
Hahaaa!!!!bwashee tisha sana
Ikumbukwe akiwa mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila ndiye aliyepeleka bungeni hoja ya escrow iliyomuhusisha mzee Rugemalira.

AG wa wakati ule Jaji Werema alimpinga sana Kafulila na kumfananisha na yule kiumbe anayedandia miti hovyo kwa kutafuta sifa mbele ya nyani aitwaye Tumbili.

Jumaa kareem!
 
Asante kwa ufafanuzi ila una ushahidi juu ya hili uliloandika?
Pesa yote aligawa hakubaki na iliyotosha kulipa fidia na wale waliogawiwa ndio wameshinikiza DPP aondoe mashtaka
 
Eti jamhuri haina nia ya kuendelea na kesi kama haina nia waliwakamatia nini sasa.
Kwann singa ye alipe pesa Ili kununua uhuru wake na ruge ye kaachiwa bure
 
Kamwibia nani - labda tuanzie hapo? Sina shaka na wewe ni mmoja wa watanzania wachache ambao wanakuwa driven na wivu na roho za kutu na za kwa nini?

Hivi mara hii umesahau jinsi Rugemalira alivyo nusuru Taifa letu lisitetereke kiuchumi alipo agiza na kuingiza nchini mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme wa kuendesha machine za viwanda vyetu thereby saving our economy from total collapse at the eleventh hour!! Hilo hamlisemi kazi yenu kumkandia Rugemalira 24X7 kwamba ni mwizi/tapeli na fisadi - mnampakazia tu wala hamjui undani wa project nzima - kwamba mitambo ya kuzalisha umeme iliingizwa nchini na Rugemalira akishirikiana na business partner wake kutoka Malaysia baada ya Serikali kukosa fedha za kutosha kuagiza mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme wa dhalula baada ya kina cha maji ya Kidatu na Mtera kupungua kwa kiwango cha kutisha - wangapi wanakumbuka crisis hiyo ya Kitaifa - badala yake baadhi yenu mko overly obsessed kumu - crucify Rugemalira by manufacturing made up stories - hawakutaka hata kusikiliza maelezo yake kwanza, badala yake walitaka kumu-black mail eti "rudisha fedha zako zote kwanza" maelewano baadae - binafsi sijawahi kusikia kitu kama hicho popote Duniani!!!
Yaani Rugemalira anaweza kuagiza mitambo na nchi yenye walipakodi zaidi ya 40 milioni wanashindwa kuagiza mitambo.

Kama hapo unaamini ndipo tulipofikia, kweli kudai uhuru ilikuwa makosa makubwa sana. Na kama inawezekana ni heri tuwaite waingereza waendelee kuitawala nchi hii. Kwa maana hiyo nitaungana mkono na wote wanaosema Afrika hatuwezi kujitawala.. Full stop!
 
Yaani Rugemalira anaweza kuagiza mitambo na nchi yenye walipakodi zaidi ya 40 milioni wanashindwa kuagiza mitambo.

Kama hapo unaamini ndipo tulipofikia, kweli kudai uhuru ilikuwa makosa makubwa sana. Na kama inawezekana ni heri tuwaite waingereza waendelee kuitawala nchi hii. Kwa maana hiyo nitaungana mkono na wote wanaosema Afrika hatuwezi kujitawala.. Full stop!
Na ndiyo maana sisi tuliobahatika kuwepo kweye awamu zote hatutaacha kupaza sauti kuwa adui adui mkuu wa taifa hili ni CCM na kwamba bila kuiondoa CCM madarakani maendeleo tunayoyalilia yatabaki kuwa ndoto tu. CCM imezeeka, imechoka na haina uwezo wala sifa ya kuendelea kuliongoza hili taifa lililojaaliwa na kila aina ya rasilimali na mali asili.

CCM inatumia ujinga na woga wetu kama mtaji wa kubaki madarakani kwa hila na matumizi ya nguvu na ulaghai na kila anayesukumiziwa madaraka ni wa hovyo kuliko aliyemtangulia. Fikiria mtu aliyekuwa kiongozi na waziri kwa miaka zaidi ya ishirini kudai hajui tulifikaje hapa tulipo na sisi kama mataahira tunamsukumizia uongozi kwa fijo na vigelegele.

Mtaji wa CCM ni ujinga wetu na woga wetu.
 
Na ndiyo maana sisi tuliobahatika kuwepo kweye awamu zote hatutaacha kupaza sauti kuwa adui adui mkuu wa taifa hili ni CCM na kwamba bila kuiondoa CCM madarakani maendeleo tunayoyalilia yatabaki kuwa ndoto tu. CCM imezeeka, imechoka na haina uwezo wala sifa ya kuendelea kuliongoza hili taifa lililojaaliwa na kila aina ya rasilimali na mali asili.

CCM inatumia ujinga na woga wetu kama mtaji wa kubaki madarakani kwa hila na matumizi ya nguvu na ulaghai na kila anayesukumiziwa madaraka ni wa hovyo kuliko aliyemtangulia. Fikiria mtu aliyekuwa kiongozi na waziri kwa miaka zaidi ya ishirini kudai hajui tulifikaje hapa tulipo na sisi kama mataahira tunamsukumizia uongozi kwa fijo na vigelegele.

Mtaji wa CCM ni ujinga wetu na woga wetu.

Mkuu kwa kweli na mimi nimeanza kuwaza the same..naipenda sana CCM lakini naona kuna haja ya kukipumzisha ili tupishe nguvu na mitazamo mipya..CCM imeshakuwa business as usual washajimilikisha hii nchi nakuifanya km kiosk chao, wanafanya wanavyotaka wao....tatizo hatuna chama cha upinzani chenye candidate imara mwenye uzalendo na upendo kwa watu mwenye hulka ya kidikteta hv na powerful km Nyerere na JPM...hawa jamaaa wawili mimi binafsi nawakubali personality zao na maneno yao yalikuwa yanawapa matumaini watanzania WENGI sio wachache wachumia tumbo....tulijiona tuko salama tuna watetezi kwa maadui wa ndani na nje...walipambana kufuta ujinga,maradhi na njaa kwa nguvu zao zote...mbegu walioipanda haitakufa kamwe...naamini Nyerere aliamini kuna siku mtu km JPM atakuja kuamsha amsha na imekuwa...sasa tunasubiri nguvu ingine naamini hii mwenyezi Mungu akitutunuku tutasogea parefu zaidi...

Hatuna ujinga mkuu wala uoga watanzania tupo imara sema viongozi hawajajipanga vizuri....wakisambaratishe chama hicho uone cinema nzuri mkuu....wananchi watachagua kilicho bora bila uoga...like taking a candy from a baby...hakuna rocket science hapo...inasemekana upinzani wa kweli utatoka CCM sijui watapasuka lini...time will tell
 
Back
Top Bottom