James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

JWST imebebwa na rocket iitwayo THE ARIANE 5
Chombo hiki kinasafiri kwa speed ya maili 22000 kwa lisaa. Chombo hiki kinatarajiwa kufika eneo ambalo ndo JWST itafanya shughuli zake panapoitwa L2 BAADA YA SIKU 29.
Hiyo rocket sio kampuni ya space x elon musk?
 
Watu wa dini mtuambie mapema huko nje ya dunia kilipotumwa hicho kifaa kuna kitu gani kwa mujibubwa vitabu vyenu

Msisubiri wanasayansi wahangaike halafu baadae mje na drama zenu kua "hi mbona imeelezwa kwenye kitabu chetu, hiki ni kitabu chenye habari nyingi za kisayansi"

Maana kuna watu wanasema vitabu vyao vya dini vimeandika habari za bing bang na swala la ulimwengu ku expand na ndio hoja ya kuvifanya vionekane vimeandikwa na Mungu.

Sasa je hicho kifaa kilichotumwa anga za mbali kikirudi na majibu tofauti kua sio kweli kwamba ulimwengu unatanuka mtakubali kua vitabu vyenu vilivyoandika habari za ulimwengu kutanuka vimepotosha pia?
 
Hii ndio anatomy ya Ariane 5 rocket ikiwa na James webb space telescope
ariane3.jpg
ariane4.jpg
ariane2.jpg
 
Na mimi kila siku najiuliza mijitu duniani inashindana kuzaa na wakati tunajua wote tutakufa, sasa huu muundelezo wa kuuzaana una maana gani...
Maana wengine wanazaa na kuleta duniani viumbe ambavyo vitahangaika maisha yao yote mpaka kufa....
Aisee Darwin Theory was never appreciated ndio maana mnaletewa kila njia ya depopulation na waliojuwa haya.....
 
What if JWST meets aliens (assumed creatures) ?

Motivation kubwa ya NASA kuinvest kwenye huu mradi wa zaidi ya trillion 22.3 ni kwa sababu wanaamini hatupo wenyewe katika ulimwengu wetu.

  1. Astronaut wanarudi kwenye ancient History wanakuja kukugundua kuwa ancients civilization walikuwa na uhusiano na viumbe kutoka anga za nje.
  2. Maya civilization ukiachilia mbali maendeleo ya technology katika dunia yao lakini walikuwa wame develov sana katika masuala ya space exploration. Thats why hatujui Maya people's waliendaga wapi wali disappear ghafla tu wakaacha kila kitu. How Does Ancient Mayan Astronomy Portray the Sun, Moon and Planets?
  3. Egypt civilization nao pia hawakuwa nyuma katika space exploration. Baadhi ya archeologist wanaamini ujenzi wa pyramid ulikuwa na uhusiano na aliens.
  4. Motivation ya 4 ni uwepo wa hii Galactic habitable zone. Eneo hili katika galaxy yetu ndo lenye characteristics zinazo support uhai hapa ndo earth ilipo. Ndani ya hili eneo kuna sayari million 300 zenye sifa kama dunia. Hii JWST inaenda kuchunguza hili eneo kutafuta uwepo wa aliens au kama kuna vitu vinavyoruhusu uhai kama maji,oxygen etc.
  5. Hii ndo muhimu kuliko zote. Astronaut na wataalamu wa anga waamini kuwa Earth 🌍 siyo salama kwa asilimia 100.So kuwa na access ya kuweza kwenda sayari nyingine ni jambo jema kwa human kind. Elon Musk aliulizwa katika podcast why amewekeza zaidi katika mars colonization akajibu ni kwa sababu anatoka interplanetary travel iwe real. Yaani kuishi sayari nyingine liwe jambo la kawaida kwa jamii ya binadamu. Pichani ni sayari ya mars imepigwa na Perseverance rover shows the rim of Jezero Crater on the surface of Mars.

merlin_184213293_7eb3abd6-7c11-4bb6-8dad-9f74c6f0badf-mobileMasterAt3x.jpg
 
Motivation kubwa ya NASA kuinvest kwenye huu mradi wa zaidi ya trillion 22.3 ni kwa sababu wanaamini hatupo wenyewe katika dunia yetu.

Astronaut wanarudi kwenye ancient History wanakuja kukugundua kuwa ancients civilization walikuwa na uhusiano na viumbe kutoka anga za nje.

Maya civilization ukiachilia mbali maendeleo ya technology katika dunia yao lakini walikuwa wame develov sana katika masuala ya space exploration. Thats why hatujui Maya people's waliendaga wapi wali disappear ghafla tu wakaacha kila kitu.

Motivational ya pili ni uwepo wa hii Galactic habitable zone. Eneo hili katika galaxy yetu ndo lenye characteristics zinazo support uhai hapa ndo earth ilipo. Ndani ya hili eneo kuna sayari million 300 zenye sifa kama dunia. Hii JWST inaenda kuchunguza hili eneo kutafuta uwepo wa aliens au kama kuna vitu vinavyoruhusu uhai kama maji,oxygen etc
....." katika ulimwengu wetu" na sio " dunia yetu " naomba nikurekebishe hapo kidogo paragraph ya kwanza mwishoni, isilete mkanganyiko kwa wasomaji wengine.

Naomba wafanikiwe katika hilo, hio ni moja ya sababu nzuri ya kuishi kwao astronauts na NASA kwa ujumla. They are living their entire life doing big big things.

JWST ina collects vipi data ? moja kwa moja inatuma duniani au mpaka mission iwe completed ndio inaleta data ?. In case ikikutana na viumbe wengine anga za mbali na wakaji'defend kwa kuki'attack JWST si tutakuwa tumepata hasara ?
 
Kama kuna serengeti lite huko walahi usiniache boss [emoji1787]
😆😆😆😆😆😆😆 Mkuu kuna filamu kutoka marvel cinemati. Universe inaonyesha huko space kulivyo na raia wake ungeiangalia ingekupa picha ya fasihi huko kulivyo...
Inaitwa guardian of the Galaxy ni filamu nzuri na nna uhakika itakupa muonekano wa huko angani ulivyo.
 
Watu wa dini mtuambie mapema huko nje ya dunia kilipotumwa hicho kifaa kuna kitu gani kwa mujibubwa vitabu vyenu

Msisubiri wanasayansi wahangaike halafu baadae mje na drama zenu kua "hi mbona imeelezwa kwenye kitabu chetu, hiki ni kitabu chenye habari nyingi za kisayansi"

Maana kuna watu wanasema vitabu vyao vya dini vimeandika habari za bing bang na swala la ulimwengu ku expand na ndio hoja ya kuvifanya vionekane vimeandikwa na Mungu.

Sasa je hicho kifaa kilichotumwa anga za mbali kikirudi na majibu tofauti kua sio kweli kwamba ulimwengu unatanuka mtakubali kua vitabu vyenu vilivyoandika habari za ulimwengu kutanuka vimepotosha pia?
Asante mkuu kwa hoja nzuri.
Hii sayansi ya anga za mbali hakuna mtu wa dini anaigusa kwa sababu ina uelekeo tofauti na hadithi za biblia.
 
Sema mpunga waliomwaga kwenye hiyo telescope sio wa mchezomchezo kabisa 10billions USD, dah kweli sio poa kabisa yani jamaa mpunga wote huo wameutumia kwenye project moja tu kweli kuna watu hawanaga utani kabisa kwenye mambo yao
Mkuu huo mpunga umetolewa na taasisi 3 za space exploration.
NASA (USA)
CANADA
EUROPEAN SPACE AGENCY

Ni mradi mkubwa na wa gharama zaidi kuwahi kufanywa katika space exploration.

Umechukua gharama kubwa kwa sababu ya muda wa kuitengeneza more than 10 years.

Pia engineering process yake ni complex kwa sababu inaenda sehemu ambayo haitaweza kufanyiwa repair umbali wa maili milion 1 na nusu kutoka duniani.

images (51).jpeg
 
Hio Hubble space telescope ya kwanza ilikuwa huko huko juu au chini?
Hubble iko kama 150km kama sikosei. Iko karibu sana na dunia wakati James Webb inaenda zaidi ya kilomita milioni kuzidi hata mwezi ulio umbali wa 300,000+ km. Hubble haijastaafu na hawajasema inaacha lini kazi ila Webb itapiga kazi kwa miaka 24
 
Back
Top Bottom