James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

....." katika ulimwengu wetu" na sio " dunia yetu " naomba nikurekebishe hapo kidogo paragraph ya kwanza mwishoni, isilete mkanganyiko kwa wasomaji wengine.

Naomba wafanikiwe katika hilo, hio ni moja ya sababu nzuri ya kuishi kwao astronauts na NASA kwa ujumla. They are living their entire life doing big big things.

JWST ina collects vipi data ? moja kwa moja inatuma duniani au mpaka mission iwe completed ndio inaleta data ?. In case ikikutana na viumbe wengine anga za mbali na wakaji'defend kwa kuki'attack JWST si tutakuwa tumepata hasara ?
Nashukuru mkuu nimefanya marekebisho na nimeongeza na details pia.
 
Hubble iko kama 150km kama sikosei. Iko karibu sana na dunia wakati James Webb inaenda zaidi ya kilomita milioni kuzidi hata mwezi ulio umbali wa 300,000+ km. Hubble haijastaafu na hawajasema inaacha lini kazi ila Webb itapiga kazi kwa miaka 24
Aisee,kumbe inaenda mbali hivyo
 
Inatarajiwa kufika lini kwenye destination yake mkuu
Hata sijajua lakini process ya kujikunjua ilianza jana na itamalizika baada ya mwezi, hii inaitwa 30 days of terror. Ndio ngumu na ya hatari kuharibu telescope kuliko hata ile ya kufyatua ardhini na kupita ozone layer. Muda wa uchunguzi ni miaka 10 kama niliwaelewa vizuri (wanasayansi wengi huandika na kuongea ilimradi). Telescope itadumu kama miaka 24.

Webb ina vifaa vingi vidogo vidogo vinavyokunjwa wala sio kubwa. Inatumia infrared spectrum badala ya visible light inayotumia Hubble. Visible light ni kama tunavyoona kwa macho ila infrared ni kama nyoka anavyoona kwa kutumia joto. Picha za kwanza za Webb zitapatikana katikati uko 2022 kwa sasa bado haiko kwenye layer inayoweza kufanya kazi. Kwanza iko very delicate inastahili kufanya kazi chini zaidi ya -200 °C plus za joto ambapo inafika hapa kwa kufunikwa na layer tano zinazozuia joto la jua na dunia.

Hubble inabadilika joto kila dakika 90 kutokana kwamba iko 150km kutoka duniani. Ikiwa kwenye kifuri cha dunia inashuka ikiwa direct na jua inapanda. Sasa Webb haiwezi hivi maana haitaki joto ndo maana inaenda panakoitwa L2 kilomita milioni 1.5 kutoka duniani ambako joto na kani ya mvutani ni ileile siku zote.

Kirahisi unaweza sema Webb imeenda kuchungulia nyuma kulikuwaje. Yani kabla ya dunia nini kilitokea
 
Hata sijajua lakini process ya kujikunjua ilianza jana na itamalizika baada ya mwezi, hii inaitwa 30 days of terror. Ndio ngumu na ya hatari kuharibu telescope kuliko hata ile ya kufyatua ardhini na kupita ozone layer. Muda wa uchunguzi ni miaka 10 kama niliwaelewa vizuri (wanasayansi wengi huandika na kuongea ilimradi). Telescope itadumu kama miaka 24.

Webb ina vifaa vingi vidogo vidogo vinavyokunjwa wala sio kubwa. Inatumia infrared spectrum badala ya visible light inayotumia Hubble. Visible light ni kama tunavyoona kwa macho ila infrared ni kama nyoka anavyoona kwa kutumia joto. Picha za kwanza za Webb zitapatikana katikati uko 2022 kwa sasa bado haiko kwenye layer inayoweza kufanya kazi. Kwanza iko very delicate inastahili kufanya kazi chini zaidi ya -200 °C plus za joto ambapo inafika hapa kwa kufunikwa na layer tano zinazozuia joto la jua na dunia.

Hubble inabadilika joto kila dakika 90 kutokana kwamba iko 150km kutoka duniani. Ikiwa kwenye kifuri cha dunia inashuka ikiwa direct na jua inapanda. Sasa Webb haiwezi hivi maana haitaki joto ndo maana inaenda panakoitwa L2 kilomita milioni 1.5 kutoka duniani ambako joto na kani ya mvutani ni ileile siku zote.

Kirahisi unaweza sema Webb imeenda kuchungulia nyuma kulikuwaje. Yani kabla ya dunia nini kilitokea
30 days of terror [emoji23][emoji23]
 
Hata sijajua lakini process ya kujikunjua ilianza jana na itamalizika baada ya mwezi, hii inaitwa 30 days of terror. Ndio ngumu na ya hatari kuharibu telescope kuliko hata ile ya kufyatua ardhini na kupita ozone layer. Muda wa uchunguzi ni miaka 10 kama niliwaelewa vizuri (wanasayansi wengi huandika na kuongea ilimradi). Telescope itadumu kama miaka 24.

Webb ina vifaa vingi vidogo vidogo vinavyokunjwa wala sio kubwa. Inatumia infrared spectrum badala ya visible light inayotumia Hubble. Visible light ni kama tunavyoona kwa macho ila infrared ni kama nyoka anavyoona kwa kutumia joto. Picha za kwanza za Webb zitapatikana katikati uko 2022 kwa sasa bado haiko kwenye layer inayoweza kufanya kazi. Kwanza iko very delicate inastahili kufanya kazi chini zaidi ya -200 °C plus za joto ambapo inafika hapa kwa kufunikwa na layer tano zinazozuia joto la jua na dunia.

Hubble inabadilika joto kila dakika 90 kutokana kwamba iko 150km kutoka duniani. Ikiwa kwenye kifuri cha dunia inashuka ikiwa direct na jua inapanda. Sasa Webb haiwezi hivi maana haitaki joto ndo maana inaenda panakoitwa L2 kilomita milioni 1.5 kutoka duniani ambako joto na kani ya mvutani ni ileile siku zote.

Kirahisi unaweza sema Webb imeenda kuchungulia nyuma kulikuwaje. Yani kabla ya dunia nini kilitokea
Safi sana mkuu,Ni muda sijakutana na madini km haya JF
 
Hii dunia itafika wakati vizazi vya karne kumi zijazo watakuwa wanatushangaa sisi ni vp tuliamini Mungu ni muumba wa ulimwengu kama sisi tunavovishangaa vizazi vya karne 10 nyuma ni vipi waliamini kuwa mawe, miti na milima ndio miungu iliyowatatulia shida zao.
Hawatatushangaa kwamba tuna amini kuna creator. Watatushangaa kuhusu uelewa mdogo tulionao kuhusu creator.
Kupanua matawi yetu throughout the galaxy hakuwezi kuprove kwamba Mungu hayupo. Hata hii telescope haiendi kupiga picha za kuonesha kwamba creator hayupo.
 
😆😆😆😆😆😆😆 Mkuu kuna filamu kutoka marvel cinemati. Universe inaonyesha huko space kulivyo na raia wake ungeiangalia ingekupa picha ya fasihi huko kulivyo...
Inaitwa guardian of the Galaxy ni filamu nzuri na nna uhakika itakupa muonekano wa huko angani ulivyo.
Unasema kwamba Guardians of the Galaxy ni non fiction?
 
Back
Top Bottom