James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Ebu Soma hyo Aya ya 30.
Sayansi zamani ilikua inaitwa philosophy of nature kazi yake ilikua unaelezea mambo ya ulimwengu kutumia njia za kisayansi, then kuna technolojia hii ilikuwepo kabla hata ya binadamu kuanza kuwaza mambo ya mungu. Mfano baada ya kugundua moto ndio mambo mengi yakaanza tokea kuhusu mungu
Screenshot_20220103-092451.jpg
 
Kama Mungu ndo aliyemuumba binadamu na binadamu ndo aliyegundua Sayansi.
HAPO WA KWANZA NI MUNGU AU SAYANSI AU BINADAMU?
Sayansi zamani ilikua inaitwa philosophy of nature kazi yake ilikua unaelezea mambo ya ulimwengu kutumia njia za kisayansi, then kuna technolojia hii ilikuwepo kabla hata ya binadamu kuanza kuwaza mambo ya mungu. Mfano baada ya kugundua moto ndio mambo mengi yakaanza tokea kuhusu mungu
 
Kabla ya the big bang mass zote zilikuwa Collapsed into SINGULARITY katika Black hole, katika hali hiyo huwezi kusema kulikuwepo na Heaven na earth etc wakati all the masses and Energies of all forms were pressed into Black hole to form "Singularity", ni hiyo singularity ndiyo iliyolipuka (big banged) na kuzaliwa the all heavenly bodies (Heavens and the earth in particular), ni kutokana na huo mlipuko ndio maana Heavens and the earth (to be precise the all heavenly bodies) are moving away from the centre of the explosion (the centre of the big bang).

Ninaposema mass zote na all forms of energies were Collapsed into singularity mtu anaweza kuuliza je hiyo singularity ilikuwa katika hali gani?? --- Katika Liquid, Solid, gases, plasma au in some form of energies etc???---labda science iendelee kutafiti na kutuambia ilikuwa katika form ipi kwani Qur'an mara nyingi huweka msingi wa somo kwa ajili yetu kwani kama Qur'an ingaliandika kila kitu in detail basi ingehitajika gari la kuibeba na hata kuisoma ingalikuwa shida na sijui kama angepatikana mtu aliyeihifadhi yote.

Juu ya yote Qur'an bado inatuhabarisha kwamba hii universe inayo expand itarudishwa nyuma (recoil) na kuingia ndani ya black hole na kuripuka tena (big banged) na hali hiyo itakuwa recurring hadi pale Allah atakapo penda vinginevyo, hebu soma aya hii;

"Remember the day We shall roll up the heavens like the rolling up of Scrolls, As we began the first creation, so shall We repeat it; a promise binding on us; We shall certainly fulfil."

Qur'an (21:105).

Ile Singularity katika black hole hapa Allah ameiita: "the first creation ".
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bwana we kama allah angejua yote haya kwanini wakaja kugundua mambo haya wazungu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bwana we kama allah angejua yote haya kwanini wakaja kugundua mambo haya wazungu


Wazungu walisoma Qur'an ndipo wakajifanya wao ndio wamegundua kitu ambacho tayari kiliandikwa 1400 ago.
 
Ni sahihi mkuu... Hii darubini itatupa nafasi ya kusafiri planet moja kwenda nyingine pia.
Kawoli nitakupitia tuendelee tukale bata kwenye sayari ya Kepler−442b.
Itawachukua miaka 1,115 kufika huko kama rocket itaenda sawa na mwendokasi wa mwangaza 😁😁 au 25million years Kwa mwendokasi wa new Horizons probe.
 
Mkuu ukituita wajinga upo sahihi kupitia ujinga wetu ndo umetusaidia kuweza kujifunza zaidi na kutofautiana na viumbe wengine.

Ukiwa mvivu wa ku research information utaona ajabu sana look back to time.

Astronomy and cosmology ni branch of science ambazo katika mfumo wako wa elimu hazipo katika curriculum kwa hiyo sisi ni wajinga katika hiyo field ya elimu ya anga za mbali na chanzo cha ulimwengu huu (cosmology).

Lakini kwa vile ni wajinga na bahati nzuri tumezaliwa kipindi ambacho ni rahisi ku access information so imekuwa rahisi kuweza kutoa ujinga tulioko nao kupitia ICT era.

Umekuja kwa mhemko ukaanza ku comment before uja review hizo pages zilizopita 6. Humo tumeeleza ki unagaunaga namna JWST inavyofanya kazi. Bahati nzuri wadau wa hapa Jamii intelligence ni watu wenye shauku ya kujifunza so before hii thread tayari walikuwa na taarifa nyingi kuliko hata mleta thread.
Naomba unijibu maswali niliyo uliza.
 
Kwa hiyo makadian na mashia sio waislamu?

Kuna haja gani ya kurejea vitabu vya tafsiri wakati kilichoandikwa kipo katika lugha ambayo ni familiar wote tunaweza tukaelewa kilichoandikwa?

Kwamba wewe ukiona neno earth and heaven utahitaji kufungua makrabrasha ya vitabu vingine vya tafsiri ili uelewe heaven and earth maana yake nini?
Naam siyo Waislamu hizo ni dini zinazo jinasibisha na Uislamu.

Sababu za kurejea Tafsiri ili usichukue au kuelewa ndivyo sivyo,ndiyo maana Mtume ameishi maisha yake yote akiifasiri Qur'aan. Na kila alichokisema kimenukuliwa.

Swadaktaa lazima nirejee kwenye marejeo,ili kuepuka kukosea katika maana na kufanyia kazi tamko husika.
 
Nimeuliza hiyo hoja ya kusema bing bang haielezei chanzo cha ulimwengu umeipatia wapi?
Hivi huwa unasoma ninachokoandika ?

Haya ndiyo matatizo ya kukwepa maswali ninayo kuuliza,Big Bang yenyeww inaonyesha hilo. Kaisome tena.
Bing bang ndio formation ya universe sio dunia, ukisema bing bang ni mwanzo wa dunia utajikuta baadae unashindwa kuelezea galaxy zingine na nyota zimetokeaje
Ndiyo maana nataka uthibitishe ukweli wa hiyo nadharia unarukaruka na kupoteza muda.
Kwani wazo la mtu haliwezi kuwa kweli?
Hili swali lingine sasa,onyesha ukweli wa Big Bang Theory.
We mbona umenielekeza kwenye vitabu vya tafsiri ili kupata maana ya kweli iliyo zungumziwa kwenye Quran? Hivyo vitabu vineandikwa na nani?
Kijama inakiwaje unakimbia maswali na kupoteza muda ?
 
Hiyo sio hoja, na hiyo inatokana na namna ambavyo wewe umeamua kulitafsiri neno uislam
Mimi sina uwezo wa kulitafsiri tamko Uislamu zaidi ya kuchukua nukuu toka vitabuni. Hapa ndipo ilipo hoja yangu.
Ni sawa na mimi niseme neno "mtu nwenye akili" liwe na maana ni yeyote anayekubaliana na mawazo yangu, kwa maana hiyo utakubali tafsiri hiyo?
Ukijifunza lugha,utakutana na namna zinazokubaliwa zakufasiri maneno,zipo maana za neno kilugha na kiistilahi na kuna maana ya maneno kulingana na munasaba. Sasa hi hoja huwezi kuikwepa kielimu lakini,ila kama ni kiubishi ni rahisi sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo adam aliyekuwepo miaka 6000 iliyopita[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu walianza kulima miaka 10000 iliyopita
Unao ushahidi kama Adamu alikuwepo miaka 6000 iliyopita na huo wa watu walianza kulima miaka 10000 iliyo pita ?
 
Kama Mungu ndo aliyemuumba binadamu na binadamu ndo aliyegundua Sayansi.
HAPO WA KWANZA NI MUNGU AU SAYANSI AU BINADAMU?
Binadamu hajaumbwa na mungu .. binadamu amezaliwa binadamu ni ametokana na evolution na natural selection.
 
Wazungu walisoma Qur'an ndipo wakajifanya wao ndio wamegundua kitu ambacho tayari kiliandikwa 1400 ago.
allah ni mtu anayependa biashara za utumwa kama yehova .. mimi siwezi amini wanachosema maana hawajui ukweli wowote
 
Sema mpunga waliomwaga kwenye hiyo telescope sio wa mchezomchezo kabisa 10billions USD, dah kweli sio poa kabisa yani jamaa mpunga wote huo wameutumia kwenye project moja tu kweli kuna watu hawanaga utani kabisa kwenye mambo yao
Yeap hata kwenye biblia kuna mahali pameandikwa ya kwamba mwanadamu atakusudia jambo nalo litatimia...I forgotten the verse... Hivyo usishangae... They're just trying to push their dreams beyond the limit
 
Unao ushahidi kama Adamu alikuwepo miaka 6000 iliyopita na huo wa watu walianza kulima miaka 10000 iliyo pita ?
Ushahidi wa adam kuishi miaka 6000 ni hesabu zimepugwa zinaweza zisiwe na ukweli ila ushahidi wa kilimo kuanza miaka 10000 iliyopita ushahidi upo . Mimi sijatokana na adam mimi nimetokana na wazee wangu walioevolve miaka 200000 iliyopita huko rift valley
 
Back
Top Bottom