Hiki hapa kitabu cha Cosmos kutoka kwa Carl.Asante mkuu huyu Carl Sagan tutampitia pia tujifunze kutoka kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki hapa kitabu cha Cosmos kutoka kwa Carl.Asante mkuu huyu Carl Sagan tutampitia pia tujifunze kutoka kwake.
Angekuwa yatima
Summerian holy text haijatoka kwa Allah, imetoka kwa Miungu zaidi ya watatu hiyo statement ya kuhusu bing bang ilitokana na God of heaven anaitwa Enlil.Ukweli wote unatoka kwa Allah na uongo wote unatoka kwa shetani, kwakuwa "Sumerian holy text" kwa maoni yako kimeandika Ukweli wa the big bang basi elimu hiyo imetoka kwa Allah na ni huyo huyo Allah baadayae liyeshushaa Qur'an na akaurejea huo ukweli wa the big bang hivyo huwezi kupinga ninaposema ukweli huu umetoka ndani ya Qur'an ukizingatia muda iliposhuka Qur'an na muda hao wanasayansi walipo theorise the big bang upo karibu mno kuliko muda wa hiyo "Sumerian text", juu ya yote Qur'an ndio the widest recited holy book in the world ever since it was first revealed to the holy prophet (saw), ndio maana ninasema possibility kubwa ni kwamba theory ya the big bang is derived from the Holy Qur'an.
Sasa ulianzaje kuuliza kuhusu baba na mama yake kama hajazaliwa?Angekuwa vipi yatima wakati bado hajazaliwa
Sio vema sana kuweka mambo ya udini kwenye suala hili lakini kumsaidia ni kwamba Uislamu ulikuja Karne ya saba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo adam aliyekuwepo miaka 6000 iliyopita[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu walianza kulima miaka 10000 iliyopita
Ajabu hapo iko wapi?Soma hyo Aya.hicho ndicho Cha ajabuView attachment 2066909
Ajabu hapo iko wapi?
Uhai hauletwi na Mungu na wala huwezi kuthibitisha kwa namna yeyote kwamba Allah alibeba uhai kwenye take away na kuwakabidhi wazazi wa mdau hapoNamaanisha Mungu aliwapa wazazi wako uhai ambao ni Pumzi wakafanya mapenzi ukatoka wewe.bila Mungu kuwapa uhai wazazi wako wangekuwa maiti na Wala wewe usingetoka
Uhai hauletwi na Mungu na wala huwezi kuthibitisha kwa namna yeyote kwamba Allah alibeba uhai kwenye take away na kuwakabidhi wazazi wa mdau hapo
mungu hajamuumba binadamu tumekwambia sisi ni matokeo ya evolution na natural selectionKuna swali naona unakwepa kwepa.
Mungu aliyemuumba binadamu na binadamu aliyegundua Sayansi NANI WA KWANZA?
Uhai hauletwi na Mungu na wala huwezi kuthibitisha kwa namna yeyote kwamba Allah alibeba uhai kwenye take away na kuwakabidhi wazazi wa mdau hapo
Uhai hauletwi na Mungu na wala huwezi kuthibitisha kwa namna yeyote kwamba Allah alibeba uhai kwenye take away na kuwakabidhi wazazi wa mdau hapo
mungu hajamuumba binadamu tumekwambia sisi ni matokeo ya evolution na natural selection
Unaposema Mungu aliumba binadamu na kuendelea na maelezo mengine unakua unakosea, hapo inaonesha ni kama mimi na wewe tayari tulishakubaliana na inafahamika universal binadamu aliumbwa na MunguKuna swali naona unakwepa kwepa.
Mungu aliyemuumba binadamu na binadamu aliyegundua Sayansi NANI WA KWANZA?
Nimesoma, niambie kuna kitu gani cha maana hapo?Soma hizo Aya.
Umeelewa nini?View attachment 2066936
Nimesoma, niambie kuna kitu gani cha maana hapo?
Unaonekana upo interested na aya, vipi nikupe aya za kutoka kwa dini zingine usome?
Nimekielewa ndio, ila sijajua target yako ni niniSuala sio kusoma.
Je ukichokisoma umekielewa?
Summerian holy text haijatoka kwa Allah, imetoka kwa Miungu zaidi ya watatu hiyo statement ya kuhusu bing bang ilitokana na God of heaven anaitwa Enlil.
Kwa hiyo hapa ukiangalia ni kwamba hii ni dini ya kipagani kwa mafundisho yenu, kwasababu haiamini katika Mungu mmoja na wala katika list hiyo hakuna Allah
Sasa hii ndio inaonyesha yeye kaleta uhai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hii ndio inaonyesha yeye kaleta uhai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]