James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Ukweli wote unatoka kwa Allah na uongo wote unatoka kwa shetani, kwakuwa "Sumerian holy text" kwa maoni yako kimeandika Ukweli wa the big bang basi elimu hiyo imetoka kwa Allah na ni huyo huyo Allah baadayae liyeshushaa Qur'an na akaurejea huo ukweli wa the big bang hivyo huwezi kupinga ninaposema ukweli huu umetoka ndani ya Qur'an ukizingatia muda iliposhuka Qur'an na muda hao wanasayansi walipo theorise the big bang upo karibu mno kuliko muda wa hiyo "Sumerian text", juu ya yote Qur'an ndio the widest recited holy book in the world ever since it was first revealed to the holy prophet (saw), ndio maana ninasema possibility kubwa ni kwamba theory ya the big bang is derived from the Holy Qur'an.
Summerian holy text haijatoka kwa Allah, imetoka kwa Miungu zaidi ya watatu hiyo statement ya kuhusu bing bang ilitokana na God of heaven anaitwa Enlil.

Kwa hiyo hapa ukiangalia ni kwamba hii ni dini ya kipagani kwa mafundisho yenu, kwasababu haiamini katika Mungu mmoja na wala katika list hiyo hakuna Allah
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo adam aliyekuwepo miaka 6000 iliyopita[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu walianza kulima miaka 10000 iliyopita
Sio vema sana kuweka mambo ya udini kwenye suala hili lakini kumsaidia ni kwamba Uislamu ulikuja Karne ya saba
 
Namaanisha Mungu aliwapa wazazi wako uhai ambao ni Pumzi wakafanya mapenzi ukatoka wewe.bila Mungu kuwapa uhai wazazi wako wangekuwa maiti na Wala wewe usingetoka
Uhai hauletwi na Mungu na wala huwezi kuthibitisha kwa namna yeyote kwamba Allah alibeba uhai kwenye take away na kuwakabidhi wazazi wa mdau hapo
 
1
Uhai hauletwi na Mungu na wala huwezi kuthibitisha kwa namna yeyote kwamba Allah alibeba uhai kwenye take away na kuwakabidhi wazazi wa mdau hapo
Screenshot_20220103-111915.jpg
 
Kuna swali naona unakwepa kwepa.
Mungu aliyemuumba binadamu na binadamu aliyegundua Sayansi NANI WA KWANZA?
mungu hajamuumba binadamu tumekwambia sisi ni matokeo ya evolution na natural selection
 
Soma hizo Aya.
Umeelewa nini?
Uhai hauletwi na Mungu na wala huwezi kuthibitisha kwa namna yeyote kwamba Allah alibeba uhai kwenye take away na kuwakabidhi wazazi wa mdau hapo
Screenshot_20220103-111936.jpg
 
Kuna swali naona unakwepa kwepa.
Mungu aliyemuumba binadamu na binadamu aliyegundua Sayansi NANI WA KWANZA?
Unaposema Mungu aliumba binadamu na kuendelea na maelezo mengine unakua unakosea, hapo inaonesha ni kama mimi na wewe tayari tulishakubaliana na inafahamika universal binadamu aliumbwa na Mungu

Kwa mantiki hiyo, hoja hii inawafaa wale wote ambao wanaamini binadamu waliumbwa na Mungu.

Ukileta mada kama hii kwa mtu ambaye haamini hizo habari unatakiwa kuweka uthibiyisho wa kum convice ili aweze kuendelea kukusikiliza kwenye hayo maelezo yako mengine

Sasa hujafanha hivyo

Hujathibitisha Mungu aliumba binadamu sasa kivipi niendelee kukuzingatia kwenye hoja zako zingine ambazo zenye msingi potofu ambao umeanza nao?
 
Suala sio kusoma.
Je ukichokisoma umekielewa?
Nimesoma, niambie kuna kitu gani cha maana hapo?

Unaonekana upo interested na aya, vipi nikupe aya za kutoka kwa dini zingine usome?
 
Suala sio kusoma.
Je ukichokisoma umekielewa?
Nimekielewa ndio, ila sijajua target yako ni nini

Au pengine tumetofautiana namna nilivyoelewa mimi inaweza ikawa ni tofauti na wewe

Wewe umeelewaje hapo?
 
Summerian holy text haijatoka kwa Allah, imetoka kwa Miungu zaidi ya watatu hiyo statement ya kuhusu bing bang ilitokana na God of heaven anaitwa Enlil.

Kwa hiyo hapa ukiangalia ni kwamba hii ni dini ya kipagani kwa mafundisho yenu, kwasababu haiamini katika Mungu mmoja na wala katika list hiyo hakuna Allah


Iwe vyovyote lakini ukweli ni ukweli tu japo utoke kwa watu au source usiyoipenda kwani kama nilivyosema ukweli hutoka kwa Mungu na uongo hutoka kwa shetani basi hata hao Sumerians-- wapagani wakisema ukweli tuwapinge kwasababu tu wao ni wapagani??!!, au kwakuwa kwao wapagani basi hakuna jambo jema LOLOTE WALILOWAHI KUSEMA AU KUTENDA?!! na kama waliwahi kufanya jambo jema na ikathibitika kuwa ni jambo jema nasi tukilifanya itakuwa ni dhambi??!.

Basi Qur'an imeeleza baadhi ya mambo waliofanya manabii na mitume wa hapo kabla ili tupate kujifunza kama Allah atakuwa ameshusha UKWELI waliouamini hao Sumerians--wapagani je kuna kosa gani??! au unataka angekaa kimya??, au wewe unapenda UONGO??!🤣. Mungu hapangiwi mkuu.
 
Nimekuuliza swali hapo naona waruka ruka tu.
Hyo evolution na natural selection.
Ni Sayansi au sio Sayansi?
Sasa hii ndio inaonyesha yeye kaleta uhai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom