Jamhuri ya Bolivia ya Venezuela | República Bolivariana de Venezuela

Jamhuri ya Bolivia ya Venezuela | República Bolivariana de Venezuela

Ni nchi mbili tofauti labda mtoa mada amekosea
Jina rasmi na linalotambulika kimataifa sio Tanzania hakuna taifa linaitwa Tanzania bali "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"

Vivyo hivyo Venezuela ni initial jina rasmi ni "Jamhuri ya Bolivia ya Venezuela" hii imetokana na mataifa ya ukanda huu kuipatia heshima iliyokuwa Bolivia iliyowaunganisha.

Bolivia unayoisema wewe ni "Plurinational State of Bolivia" au "Estado Plurinacional de Bolivia" ndivyo inavyotambuliwa kimataifa.

Unaposema Manchester bila kumalizia Football Club, kama sio mpenzi wa mpira nitafahamu unaeleza Manchester mji uliopo Uingereza.
 
N
Jina rasmi na linalotambulika kimataifa sio Tanzania hakuna taifa linaitwa Tanzania bali "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"

Vivyo hivyo Venezuela ni initial jina rasmi ni "Jamhuri ya Bolivia ya Venezuela" hii imetokana na mataifa ya ukanda huu kuipatia heshima iliyokuwa Bolivia iliyowaunganisha.

Bolivia unayoisema wewe ni "Plurinational State of Bolivia" au "Estado Plurinacional de Bolivia" ndivyo inavyotambuliwa kimataifa.

Unaposema Manchester bila kumalizia Football Club, kama sio mpenzi wa mpira nitafahamu unaeleza Manchester mji uliopo Uingereza.
Nimekupata mkuu hiyo Bolivia iliwaunganisha kvp apo ndo cjakusoma
 
Ni nchi mbili tofauti labda mtoa mada amekosea
N
Nimekupata mkuu hiyo Bolivia iliwaunganisha kvp apo ndo cjakusoma
Me nilijua Bilivia na Venizuala ni nchi 2 tofauti
Ni Bolivarian siyo Bolivia, hiyo Bolivarian ni falsafa na mfumo (kama ilivyokuwa ujamaa) iliyoanzishwa na Chaves 1999.
Nimewahi kufikia Physically and I've got sister there zamu hii nafika Virtually. Usihofu nitachelewa bado nipo Latin x Amerika. 😊
Niliwahi kusikia mahali kuwa bongo wanampango wa kuanzisha mahusiano ya kibalozi huko.
 
Nimekupata mkuu hiyo Bolivia iliwaunganisha kvp apo ndo cjakusoma
Hii ni kutokana mVenezuela, Simón José Antonio de la Santísima Trinidad Bolívar y Palacios Ponte-Andrade y Branco simply Simón Bolívar kuzipambania Venezuela, Bolivia, Colombia, Panama na Peru kutoka katika ukoloni wa Uhispania.

Bolívar alikuwa akisuka vikosi na mapambano akitokea Bolivia ambayo haikuwa imebanwa sana hadi kupelekea Uhuru wa mataifa hayo.

Case study ni sawa leo hii Afrika ya Kusini ijiite Jamhuri ya Tanzania ya Afrika Kusini au Jamhuri ya Tanzania ya Zimbabwe.
 
Hivi nauli ya kwenda huko ni kiasi gani nikajilipue kwa totoz za kilatinoz?
 
Ni Bolivarian siyo Bolivia, hiyo Bolivarian ni falsafa na mfumo (kama ilivyokuwa ujamaa) iliyoanzishwa na Chaves 1999.

Niliwahi kusikia mahali kuwa bongo wanampango wa kuanzisha mahusiano ya kibalozi huko.
Kwa KiSwahili Bolivarian ni nini?
-
Mahusiano ya kibalozi yanatokea Cuba, US na Brasil. Tanzania inapitia Nairobi au Pretoria.
 
Kwa KiSwahili Bolivarian ni nini?
Jina hilo limetoholewa kutoka kwa Simón Bolívar, mwanamapinduzi wa nchi hiyo wa karne ya 19. Bolivarian ni mfumo unaowajali masikini.
Mahusiano ya kibalozi yanatokea Cuba, US na Brasil. Tanzania inapitia Nairobi au Pretoria.
Ndivyo ilivyo sasa ila nilimsikia Dr. Mahiga (RIP) akiliongelea hilo wakati akiwa waziri wa mambo ya nje.
 
Hivi nauli ya kwenda huko ni kiasi gani nikajilipue kwa totoz za kilatinoz?
Zanzibar to Caracas - $505 - $1,706
Dar es Salaam to Caracas - $467 - $1,508
Kilimanjaro to Caracas - $718 - $2,421
Nairobi to Caracas - $705 - $1,660

Route zimeunganishwa!
 
Jina hilo limetoholewa kutoka kwa Simón Bolívar, mwanamapinduzi wa nchi hiyo wa karne ya 19. Bolivarian ni mfumo unaowajali masikini.
Ndivyo ilivyo sasa ila nilimsikia Dr. Mahiga (RIP) akiliongelea hilo wakati akiwa waziri wa mambo ya nje.
Pitia juu nilieleza hilo la Simón Bolívar.

Umejiuliza kwa nini Boliva (Halisi) inajiita "Plurinational State of Bolivia"?
 
Zanzibar to Caracas - $505 - $1,706
Dar es Salaam to Caracas - $467 - $1,508
Kilimanjaro to Caracas - $718 - $2,421
Nairobi to Caracas - $705 - $1,660

Route zimeunganishwa!

Bongo kuna ubalozi wa venezeula mkuu?
 
Back
Top Bottom