isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
- #61
Hapana, ubalozi inapatikana Nairobi unashughulikia Afrika Mashariki, japo Cuba na Brasil wanatoa msaada wa kuunganisha.Bongo kuna ubalozi wa venezeula mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, ubalozi inapatikana Nairobi unashughulikia Afrika Mashariki, japo Cuba na Brasil wanatoa msaada wa kuunganisha.Bongo kuna ubalozi wa venezeula mkuu?
Hapana, ubalozi inapatikana Nairobi unashughulikia Afrika Mashariki, japo Cuba na Brasil wanatoa msaada wa kuunganisha.
Basi ndio chanzo kikuu cha mataifa hayo kuwa Bolivarian kutokana na uwanda wa eneo hilo kuitwa Bolivia.Kujumuisha watu wenye asili mbalimbali.
Nimekusoma mkuuHii ni kutokana mVenezuela, Simón José Antonio de la Santísima Trinidad Bolívar y Palacios Ponte-Andrade y Blanco simply Simón Bolívar kuzipambania Venezuela, Bolivia, Colombia, Panama na Peru kutoka katika ukoloni wa Uhispania.
Bolívar alikuwa akisuka vikosi na mapambano akitokea Bolivia ambayo haikuwa imebanwa sana hadi kupelekea Uhuru wa mataifa hayo.
Case study ni sawa leo hii Afrika ya Kusini ijiite Jamhuri ya Tanzania ya Afrika Kusini au Jamhuri ya Tanzania ya Zimbabwe.
Samahani boss nje ya mada kidogo,Wewe ndo chamoto wa kule Skyscrapercity?Kujumuisha watu wenye asili mbalimbali.
Nje ya mada, Skyscraper City ni wapi?Samahani boss nje ya mada kidogo,Wewe ndo chamoto wa kule Skyscrapercity?
SkyscraperCityNje ya mada, Skyscraper City ni wapi?
Hivi hawana visa on arrival?Hapana, ubalozi inapatikana Nairobi unashughulikia Afrika Mashariki, japo Cuba na Brasil wanatoa msaada wa kuunganisha.
Thanks,SkyscraperCity
Ni hapo juu boss.Platform fulani hivi ya kimataifa ya kudiscuss mambo mbalimbali.
Mimi napendelea kuingia upande wa ongoing projects kwa Tz..Au pia miji mingine duniani...Mambo mengine yaliyobaki nawaachia wenyewe.
É assim meu irmao eu gosto de falar essa lingua¡Agradable! Puedo sentir eso debido a la interacción del español y el portugués.
Tuko pamoja mkuuNimewahi kufikia Physically and I've got sister there zamu hii nafika Virtually. Usihofu nitachelewa bado nipo Latin x Amerika. 😊
Yeah boss..,platform nzur sana.Thanks,
Nimepitia aisee 😊
shukran ila tutarajie kuondoka madarakani serikali ya Maduro ama tutarajie kushindwa mbinu na hila za US dhidi yataifa hilo linalo ongozwa namrengo wakushoto ?!Shukrani Mkuu,
Kwa sasa Venezuela hali inayo afadhari, biashara taratibu zinafanyika na Wavenezuela wanarudi kuwekeza.
Huduma muhimu zinaanza kurejea taratibu.
Ndiyo! Hawana, lazima upate VISA kwanza.Hivi hawana visa on arrival?
Hay una pequeña diferencia entre estos dos idiomas.É assim meu irmao eu gosto de falar essa lingua
Nalog off
Hatma ya waVenezuela itamalizwa na waVenezuela. Maduro ukifuatilia raia tunamkubali.shukran ila tutarajie kuondoka madarakani serikali ya Maduro ama tutarajie kushindwa mbinu na hila za US dhidi yataifa hilo linalo ongozwa namrengo wakushoto ?!
shukran MKUU ila tunamkubali kweli kweli kabisa [emoji4][emoji4][emoji4]Hatma ya waVenezuela itamalizwa na waVenezuela. Maduro ukifuatilia raia tunamkubali.
Huyu ni mwamba wa miamba ☺shukran MKUU ila tunamkubali kweli kweli kabisa [emoji4][emoji4][emoji4]
hakika naona anakaribia kumfunga paka kengele[emoji4]Huyu ni mwamba wa miamba [emoji5]