Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Ushauri ndio huo apo nduguSawa umeeleweka ndugu, ushauri wako ni upi ndugu kwa jamii kuhusu aina ya mitazamo inayo zalisha changamoto nilizo uliza hapo juu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri ndio huo apo nduguSawa umeeleweka ndugu, ushauri wako ni upi ndugu kwa jamii kuhusu aina ya mitazamo inayo zalisha changamoto nilizo uliza hapo juu ?
Hii ilikwenda mbali zaidi mpaka kwa baadhi ya viongozi wa kisiasa waliambiwa watafute wanawake ili kulinda heshima zao wakiwa kwenye nafasi wanazogombeaNingependa kuwakaribisha wadau wote wa Jamii Forums mtakaopendezwa kushiriki katika huu mjadala wenye maswali/changamoto kadhaa zenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu.
Awali ya yote ningependa kufahamu haya kuhusu mtazamo wa jamii kuhusu kuoa au kuolewa kwa vijana wa kuanzia miaka 30 mpaka 40 na kuendelea:
1. Kwanini jamii inajenga tafsiri mbaya kwa vijana wa kiume na wa kike wenye umri kuanzia miaka 30 mpaka 40 na kuendelea ambao hawajaoa ua kuolewa, mfano wa tafasiri hizo ni malaya, mzinzi, mhuni n.k?
2. Kwanini jamii huamini kijana mwenye umri huo lazima awe ameoa au kuolewa?
3. Kwanini jamii za hutafsiri ndoa kama kasumba na siyo maamuzi binafsi?
4. Kwanini jamii haijawa tayari kupokea mabadiliko katika jamii inayotambua uwepo wa useja na maseja?
5. Kwanini jamii hutoa shinikizo kubwa kwa vijana wa rika hilo kuwaridhisha wao kuhusu swala zima la kuoa au kuolewa?
6. Kwanini jamii/familia hutafsiri kutokuolewa au kuoa ni kama laana, mkosi au aibu kwa familia?
7. Kwanini jamii hutafsiri vijana wa rika hilo ambao hawaja oa au kuolewa ni kuwa wana chembechembe za kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja [ ushoga au usagaji ] au wana mapungufu katika mfumo wao mzima wa uzazi?
Mwisho: Ningependa kufahamu zaidi je, suala zima la kuoa au kuolewa ni suala la maamuzi binafsi ya mwanaume/mwanamke au ni maamuzi ya jamii?
Karibuni nyote kushiriki.
nalazimika kuwa hivi kwasababu, nikichukua watu kumi walio ndani ya ndoa zaid ya nusu yao wanajuta kuwa ndani ya ndoa hizo, robo wanaamua kuficha hisia zao na kuamua kunitia moyo, waliobaki ndio wenye furaha. Hii inanitia mashaka sana. HII NI KUTOKA MAENEO NINAYOISHI NA KUFANYA KAZI.Asante kwa mchango wako, kwa nini unahitaji upembuvi akinifu kuhusu hilo swala ?
Kwa hiyo jamii zinajenga mtazamo huo kwa kuwa zina amini maisha yanatafutwa pekee kwa mtu kuoa au kuolewa si ndivyo ? Vipi kwa wale vijana wa hilo rika wenye maisha bora lakini hawa chukua uamuzi wa kufunga pingu za maisha na mtu yoyote maana yake wana tafasiriwa tofauti na jamii ?Tafiti zangu kulingana na mtazamo wa jamii pamoja na familia kiujumla.
Ni hivi inategemea na Maisha yako mi nimeona kwa sana japo Kuna watu wanaonekane wahuni..kwa mfano ukiwa na pesa na msaada mkubwa kwenu watu wa nje wanaweza kukushauri suala la kuoa haraka ila familia mara nyingi hawaga haziwezi kukushinikiza labda wakutafutie mchumba kutoka kwenu jamii zao hii ni ishu ya kimaslahi usije ukawaacha solemba na wakakosa msaada.
Njoo sasa kwa kajamba nane unaweza kufosiwa maana upo upo tu home pesa huna wala hauna msaada umetoka ndevu mpaka za masikio kama paka shume ila Maisha chenga almost umegonga 30 hauna dira wala kazi ya kuelewa...Wanaweza kuforce uoe ila akili ikawe sawa upambane na Maisha hii kitu ndo jamii nyingi zinaaamini ukioa lazima upambane kweli kupata pesa
Vipi kwa wale walio chukua uamuzi wa maisha ya kiseja ni kuwa wanatafsiriwa na jamii katika njia isiyo sahihi si ndivyo ?Kipind icho kama Kijana wa kiume au wakike lazima uwe na ashki za kufanya mapenzi kama haujao ni basi utakuwa unafanya uzinifu au kujichukuliw sheria mikononi(punyeto)...ila ni ile hali ya kujua ni umri upi sahihi ila ukigonga above 30 ni hatar sana kama haujaoa
Maana yake ni kuwa nao viongozi wanapata shinikizo la jamii kuoa/kuolewa ili kuiridhisha jamii ?Hii ilikwenda mbali zaidi mpaka kwa baadhi ya viongozi wa kisiasa waliambiwa watafute wanawake ili kulinda heshima zao wakiwa kwenye nafasi wanazogombea
Ila kuna mmoja alionekana na taulo anapiga mswaki ofisini asubuhi sijui status yake
Nimekuelewa ndugu.nalazimika kuwa hivi kwasababu, nikichukua watu kumi walio ndani ya ndoa zaid ya nusu yao wanajuta kuwa ndani ya ndoa hizo, robo wanaamua kuficha hisia zao na kuamua kunitia moyo, waliobaki ndio wenye furaha. Hii inanitia mashaka sana. HII NI KUTOKA MAENEO NINAYOISHI NA KUFANYA KAZI.
Ndio wanatafsiriwa tofauti ,ila mbaya ni ile uko age labda ya 30 kama mwanamke ameshazalishwa ni single mother na mwanaume nae kazlisha bila ya kuoa ni balaa.Vipi kwa wale walio chukua uamuzi wa maisha ya kiseja ni kuwa wanatafsiriwa na jamii katika njia isiyo sahihi si ndivyo ?
Ndio wanatafsiriwa tofauti ,ila mbaya ni ile uko age labda ya 30 kama mwanamke ameshazalishwa ni single mother na mwanaume nae kazlisha bila ya kuoa ni balaa.Vipi kwa wale walio chukua uamuzi wa maisha ya kiseja ni kuwa wanatafsiriwa na jamii katika njia isiyo sahihi si ndivyo ?
Kwanini mtu aamue kuishi maisha ya kiseja? 🥴Vipi kwa wale walio chukua uamuzi wa maisha ya kiseja ni kuwa wanatafsiriwa na jamii katika njia isiyo sahihi si ndivyo ?
Wenda kuna matatizo mbalimbali yamewakumba hawa vijana wa hilo rika kupelekea wao kuchukua huo uamuzi tofauti na jamii inavyo wa tafasiri.Ndio wanatafsiriwa tofauti ,ila mbaya ni ile uko age labda ya 30 kama mwanamke ameshazalishwa ni single mother na mwanaume nae kazlisha bila ya kuoa ni balaa.
Kama matatizo gani ukiachana na matatizo ya uzazi, na kama sababu gani? 🥴Wenda kuna matatizo mbalimbali yamewakumba hawa vijana wa hilo rika kupelekea wao kuchukua huo uamuzi tofauti na jamii inavyo tafasiri
Ni kutokana na sababu mbalimbali binafsi za msingi alizo nazo kutekelezeka hilo swala.
Swali lilo pale pale, sababu gani hupelekea mtu kuchagua useja mbali na matatizo ya uzazi? 🥴Hiyo Quoting ya kwa ili kuwa ya mdau mwengine, ningependa uzingatie ya pili. Samahani kwa hilo
Useja ni hali ya mtu kuto kuoa au kuolewa, maisha haya watawa huya ishi na baadhi ya watu ndani ya jamii wasio fungamana na maswala ya kidini tofauti na watawa.Swali lilo pale pale, sababu gani hupelekea mtu kuchagua useja mbali na matatizo ya uzazi? 🥴
Coca hivi una mpango wa kuoa?Unaishi kwa kuiridhisha jamii? Poleeeee sanaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia ilishatoka huko. Lol