AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,406
- 4,899
Hawa sio vijana tena, hawa ni watu wazima.kuoa au kuolewa kwa vijana wa kuanzia miaka 30 mpaka 40 na kuendelea:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa sio vijana tena, hawa ni watu wazima.kuoa au kuolewa kwa vijana wa kuanzia miaka 30 mpaka 40 na kuendelea:
Sawa lakini hujajibu swali 🥴Useja ni hali ya mtu kuto kuoa au kuolewa, maisha haya watawa huya ishi na baadhi ya watu ndani ya jamii wasio fungamana na maswala ya kidini tofauti na watawa.
Sio kweli kuwa matatizo ya uzazi ndio shinikizo kuu la mtu kuwa mseja, kwa kuwa wapo pia wenye matatizo ya uzazi wake kwa waume walio walio chukua uamuzi wa kufunga pingu za maisha.
Ni hayo tu ninaweza kusema ndugu kuhusu swali lako ndugu.
Sure yaanHeri yako ulishaonja tamu na chungu ya ndoa, so unaweza kuchagua kuingia tena au kuzeeka peke yako...
Sababu gani hupelekea mtu kuchagua useja? 🥴 Umetoa sababu moja, mtu kuchagua utawa 🥴Ki vipi sijajibu swali lako ? ningependa kufahamu ndugu
Sababu nyingine inaweza kuwa ni mrengwa kuhitaji utulivu zaidi wa kuwa pekee maishani utakao mfanya kukamilisha mipango yake kwa ustadi zaidi tofauti akiwa na mke au mme mfano mwana sayansi na mwana fizikia Nikola Tesla.Sababu gani hupelekea mtu kuchagua useja? 🥴 Umetoa sababu moja, mtu kuchagua utawa 🥴
Didiiiiiii hapa umetishaaaa mnoooo. Unataka zawadi gan?Nadhani ni vema kila mtu afanye lile linalompendeza yeye na nafsi yake bila kujali jamii itasemaje mradi hauvunji sheria za nchi.
Juice ya miwa didi ake maana si kwa joto hiliDidiiiiiii hapa umetishaaaa mnoooo. Unataka zawadi gan?
Pita chukua nakuja kulipaa.Juice ya miwa didi ake maana si kwa joto hili
Nini faida ya ndoa?Tumekubaliana hakuna kuoa, kauli ya kipumbavu sana. Mtu anakwambia hivyo wakati yeye ana mke na familia yake.
Muhimu za kuambiwa changanya na zako.
Kwann kuoa na kuolewa iwe bahati na siyo kinyume chake?Kuoa na kuolewa ni bahati.
Bora umewastukia watu wa Jf. Wengi ni changamsha genge. Wanakuja hapa na mada za ubabe kumbe majumbani wanachofanywa na wake zao utawahurumia na kwenye ndoa wanasugua gaga mwaka wa 10 na zaidi ila humu ni wababe na wanawashauri wenzao wasioe😅Tumekubaliana hakuna kuoa, kauli ya kipumbavu sana. Mtu anakwambia hivyo wakati yeye ana mke na familia yake.
Muhimu za kuambiwa changanya na zako.
Wewe ulizaliwa kwa surrogate? Kwa IVF au kwa namna gani. Ili tujue kwanza tunakujibujeNini faida ya ndoa?
Kwani kuzaa lazima uoe ama uolewe?Wewe ulizaliwa kwa surrogate? Kwa IVF au kwa namna gani. Ili tujue kwanza tunakujibuje
Kwahiyo hawa ma single mom mnaowatukana humu jf ni changamsha genge?Kwani kuzaa lazima uoe ama uolewe?
Useja na maseja ni nini daah kitu mpya kwanguNingependa kuwakaribisha wadau wote wa Jamii Forums mtakaopendezwa kushiriki katika huu mjadala wenye maswali/changamoto kadhaa zenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu.
Awali ya yote ningependa kufahamu haya kuhusu mtazamo wa jamii kuhusu kuoa au kuolewa kwa vijana wa kuanzia miaka 30 mpaka 40 na kuendelea:
1. Kwanini jamii inajenga tafsiri mbaya kwa vijana wa kiume na wa kike wenye umri kuanzia miaka 30 mpaka 40 na kuendelea ambao hawajaoa ua kuolewa, mfano wa tafasiri hizo ni malaya, mzinzi, mhuni n.k?
2. Kwanini jamii huamini kijana mwenye umri huo lazima awe ameoa au kuolewa?
3. Kwanini jamii za hutafsiri ndoa kama kasumba na siyo maamuzi binafsi?
4. Kwanini jamii haijawa tayari kupokea mabadiliko katika jamii inayotambua uwepo wa useja na maseja?
5. Kwanini jamii hutoa shinikizo kubwa kwa vijana wa rika hilo kuwaridhisha wao kuhusu swala zima la kuoa au kuolewa?
6. Kwanini jamii/familia hutafsiri kutokuolewa au kuoa ni kama laana, mkosi au aibu kwa familia?
7. Kwanini jamii hutafsiri vijana wa rika hilo ambao hawaja oa au kuolewa ni kuwa wana chembechembe za kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja [ ushoga au usagaji ] au wana mapungufu katika mfumo wao mzima wa uzazi?
Mwisho: Ningependa kufahamu zaidi je, suala zima la kuoa au kuolewa ni suala la maamuzi binafsi ya mwanaume/mwanamke au ni maamuzi ya jamii?
Karibuni nyote kushiriki, pia ningeomba tujikite kwenye maswali tajwa.