Jamii na mtazamo hasi kuhusu kuoa/kuolewa

Sawa umeeleweka ndugu, ushauri wako ni upi ndugu kwa jamii kuhusu aina ya mitazamo inayo zalisha changamoto nilizo uliza hapo juu ?
Ushauri ndio huo apo ndugu
 
Hii ilikwenda mbali zaidi mpaka kwa baadhi ya viongozi wa kisiasa waliambiwa watafute wanawake ili kulinda heshima zao wakiwa kwenye nafasi wanazogombea

Ila kuna mmoja alionekana na taulo anapiga mswaki ofisini asubuhi sijui status yake
 
Asante kwa mchango wako, kwa nini unahitaji upembuvi akinifu kuhusu hilo swala ?
nalazimika kuwa hivi kwasababu, nikichukua watu kumi walio ndani ya ndoa zaid ya nusu yao wanajuta kuwa ndani ya ndoa hizo, robo wanaamua kuficha hisia zao na kuamua kunitia moyo, waliobaki ndio wenye furaha. Hii inanitia mashaka sana. HII NI KUTOKA MAENEO NINAYOISHI NA KUFANYA KAZI.
 
Kwa hiyo jamii zinajenga mtazamo huo kwa kuwa zina amini maisha yanatafutwa pekee kwa mtu kuoa au kuolewa si ndivyo ? Vipi kwa wale vijana wa hilo rika wenye maisha bora lakini hawa chukua uamuzi wa kufunga pingu za maisha na mtu yoyote maana yake wana tafasiriwa tofauti na jamii ?
 
Vipi kwa wale walio chukua uamuzi wa maisha ya kiseja ni kuwa wanatafsiriwa na jamii katika njia isiyo sahihi si ndivyo ?
 
Hii ilikwenda mbali zaidi mpaka kwa baadhi ya viongozi wa kisiasa waliambiwa watafute wanawake ili kulinda heshima zao wakiwa kwenye nafasi wanazogombea

Ila kuna mmoja alionekana na taulo anapiga mswaki ofisini asubuhi sijui status yake
Maana yake ni kuwa nao viongozi wanapata shinikizo la jamii kuoa/kuolewa ili kuiridhisha jamii ?
 
Nimekuelewa ndugu.
 
Vipi kwa wale walio chukua uamuzi wa maisha ya kiseja ni kuwa wanatafsiriwa na jamii katika njia isiyo sahihi si ndivyo ?
Ndio wanatafsiriwa tofauti ,ila mbaya ni ile uko age labda ya 30 kama mwanamke ameshazalishwa ni single mother na mwanaume nae kazlisha bila ya kuoa ni balaa.
 
Vipi kwa wale walio chukua uamuzi wa maisha ya kiseja ni kuwa wanatafsiriwa na jamii katika njia isiyo sahihi si ndivyo ?
Ndio wanatafsiriwa tofauti ,ila mbaya ni ile uko age labda ya 30 kama mwanamke ameshazalishwa ni single mother na mwanaume nae kazlisha bila ya kuoa ni balaa.
 
Ndio wanatafsiriwa tofauti ,ila mbaya ni ile uko age labda ya 30 kama mwanamke ameshazalishwa ni single mother na mwanaume nae kazlisha bila ya kuoa ni balaa.
Wenda kuna matatizo mbalimbali yamewakumba hawa vijana wa hilo rika kupelekea wao kuchukua huo uamuzi tofauti na jamii inavyo wa tafasiri.
 
Wenda kuna matatizo mbalimbali yamewakumba hawa vijana wa hilo rika kupelekea wao kuchukua huo uamuzi tofauti na jamii inavyo tafasiri

Ni kutokana na sababu mbalimbali binafsi za msingi alizo nazo kutekelezeka hilo swala.
Kama matatizo gani ukiachana na matatizo ya uzazi, na kama sababu gani? 🥴
 
Kama matatizo gani ukiachana na matatizo ya uzazi, na kama sababu gani? 🥴
Hiyo Quoting ya kwanza ili kuwa ya mdau mwengine, ningependa uzingatie ya pili. Samahani kwa hilo
 
Hiyo Quoting ya kwa ili kuwa ya mdau mwengine, ningependa uzingatie ya pili. Samahani kwa hilo
Swali lilo pale pale, sababu gani hupelekea mtu kuchagua useja mbali na matatizo ya uzazi? 🥴
 
Swali lilo pale pale, sababu gani hupelekea mtu kuchagua useja mbali na matatizo ya uzazi? 🥴
Useja ni hali ya mtu kuto kuoa au kuolewa, maisha haya watawa huya ishi na baadhi ya watu ndani ya jamii wasio fungamana na maswala ya kidini tofauti na watawa.

Sio kweli kuwa matatizo ya uzazi ndio shinikizo kuu la mtu kuwa mseja, kwa kuwa wapo pia wenye matatizo ya uzazi wake kwa waume walio walio chukua uamuzi wa kufunga pingu za maisha.

Ni hayo tu ninaweza kusema ndugu kuhusu swali lako ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…