Jamii na mtazamo hasi kuhusu kuoa/kuolewa

Sawa lakini hujajibu swali 🥴
 
Hawa sio vijana tena, hawa ni watu wazima.
Kwani umri wa kijana kwa mujibu wa WHO ni miaka mingapi mpaka mingapi ? Na umri wa mtu mzima ni kuanzia miaka mingapi mpaka mingapi ?
 
Sababu gani hupelekea mtu kuchagua useja? 🥴 Umetoa sababu moja, mtu kuchagua utawa 🥴
Sababu nyingine inaweza kuwa ni mrengwa kuhitaji utulivu zaidi wa kuwa pekee maishani utakao mfanya kukamilisha mipango yake kwa ustadi zaidi tofauti akiwa na mke au mme mfano mwana sayansi na mwana fizikia Nikola Tesla.
 
Wenye miaka 30s na hatujaoa njooni tuongee hapa
 
Nadhani ni vema kila mtu afanye lile linalompendeza yeye na nafsi yake bila kujali jamii itasemaje mradi hauvunji sheria za nchi.
Didiiiiiii hapa umetishaaaa mnoooo. Unataka zawadi gan?
 
Jamii ina paswa kubadili mtazamo wake.
 
Tumekubaliana hakuna kuoa, kauli ya kipumbavu sana. Mtu anakwambia hivyo wakati yeye ana mke na familia yake.

Muhimu za kuambiwa changanya na zako.
Bora umewastukia watu wa Jf. Wengi ni changamsha genge. Wanakuja hapa na mada za ubabe kumbe majumbani wanachofanywa na wake zao utawahurumia na kwenye ndoa wanasugua gaga mwaka wa 10 na zaidi ila humu ni wababe na wanawashauri wenzao wasioe😅

Akili kumkichwa
 
Useja na maseja ni nini daah kitu mpya kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…