Jamii na mtazamo hasi kuhusu kuoa/kuolewa

Kutokuolewa au kutokuoa husanabishwa na jamii, hivyo nashauri jamii ilitazamie hili na ijisahihishe, mlengwa hausiki na lawama zotezote jamii ijitafakari tu
 
Kitendo cha wao kuwa single mom halafu bado wanatafuta ndoa ndiyo chanzo cha wao kutukanwa
Kisa cha mtu kutukanwa ni nini kwa kutafuta ndoa? Wengine wanatukanwa hata bila kuitafuta hiyo ndoa wanaonekana ni kama kundi la walemavu. Na unakuta hata hao wanaowatukana wamelelewa na wanawake wa design hiyo tena waliokua na tabia mbovu kuliko za hawa wanaotukanwa.

Sidhani kama wao kutafuta ndoa ndo sababu ya kutukanwa unless kama mada huwa huzielewi
 
Kutokuolewa au kutokuoa husanabishwa na jamii, hivyo nashauri jamii ilitazamie hili na ijisahihishe, mlengwa hausiki na lawama zotezote jamii ijitafakari tu
Hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…