Jamii ya wahadzabe ilindwe, baada ya miaka 8 hawatokuwepo tena

Wahadzabe wakisema kwamba wao kuishi vile ni haki yao, utawakatalia?
Unajua unachokiongea? Wahazabe wote wasem wnataka kuishi vile

Kwamba hawatak wajemgew hospital wapate hudum wakiwa wanaumwa

Au kuwa unataka walale maporini mvua za kwao joto la kwao

Hutaki wapate huduma za maji safi na salama

Hata wewe unaweza kuamua ukaishi porini uache kitumia Jamiiforum, unaweza amua ukiumwa usiende hospital ukatafute mizizi. Unaweza acha kutumia maji Dawasco ukatumia maji mqchafu yaliotuama ya mvua, vile vile unaweza hata kuacha ku reply humu, kwa nini uandike jifunze kuishi kama wahazabe. .
 
Unajua maana ya savages, wahazabe hakuna hata sheria. Leo hii unaweza kuuliwa na mwenzako na mkono wa sheria usikuhusu

Unaweza kunyangany mali mwanamke au ubabe tu hata chakula kwa sababu wewe una nguvu zaidi

Civilizations is the best thing that haplened to human kind

Mjinga ndio atakeyesema turudi tulipotoka. Leo we have best housing, best medical care, we travel, best education.....Hazabe deserve Civilizations ❤️
 
Punde watahamishiwa KIEMBE SAMAKI kama wale jirani waliotolewa Ngorongoro na kupelekwa Handeni.
 
Kama wao wameamua kuishi hivyo, kwa nini wewe unataka kuingilia uhuru wao wa kuishi hivyo wanavyoishi?
 
W

We uko tayari ukaishi nao maisha hayo? kwa vile ni mazuri hamna magonjwa!
Tayari nishaadapt mazingira tofauti nikibadili mazingira itakuwa changamoto kwangu
 
Iii kam' a atii, Monte laa I Dudukwee Apii okoo.
 
Hapo umejumuisha fikra zako kuamini wahadzabe hawana Sheria, una ushahidi? Kama jamii yako "civilized" ina Sheria ni kipi kiwafanye wahadzabe wakose. Sheria?
Speaking of housing, Do all civilized people live in affordable housing?
Medical care, do you have any report concerning their consequences of their medical care? Do you all people in civilization get well equipped medical care?
Travel, where do want them to travel?
Education, which education?
 
Dudukwe ana mbwembwe pale anapoonja supu🤣🤣🤣🤣😂😂😂kile kichwa anavyokipeleka upande daah hadi unaona supu zao tamu kuliko zetu
Supu ya kichwa cha nyani ni supu bora kuliko zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…