Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Unajua unachokiongea? Wahazabe wote wasem wnataka kuishi vileWahadzabe wakisema kwamba wao kuishi vile ni haki yao, utawakatalia?
Kwamba hawatak wajemgew hospital wapate hudum wakiwa wanaumwa
Au kuwa unataka walale maporini mvua za kwao joto la kwao
Hutaki wapate huduma za maji safi na salama
Hata wewe unaweza kuamua ukaishi porini uache kitumia Jamiiforum, unaweza amua ukiumwa usiende hospital ukatafute mizizi. Unaweza acha kutumia maji Dawasco ukatumia maji mqchafu yaliotuama ya mvua, vile vile unaweza hata kuacha ku reply humu, kwa nini uandike jifunze kuishi kama wahazabe. .