Jamii za wafugaji wapewe elimu maalumu kuhusu usafi, mapenzi na kuvaa nguo za ndani

Jamii za wafugaji wapewe elimu maalumu kuhusu usafi, mapenzi na kuvaa nguo za ndani

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Jamii za wafugaji zinajulikana Sukuma, Maasai, Mang'ati na wengine wengi. Ni muda sasa Serikali itoe elimu kwa hizi jamii kuhusu Afya, Usafi na Kuvaa nguo za ndani.

Wengi wanaishi kama Wanyama hawaogi, hawafui, hawavai nguo za ndani naogopa wasije kuharibika sehemu za siri. Najiuliza, wanawake wa hizi jamii wanaishi vipi wakiwa hedhi?

Jamii za wafugaji wamegeuka wanyama wanaishi maisha ambayo ukiambiwa au ukiyaona utaishia kuhuzunika na kulia. Hawana ustaarabu kwenye kula, kuongea.

Hakika Serikali isiangalie bandari tu iwatupie jicho na hawa watu binafsi mimi naona ni Kundi lililopo hatarini.

adumu-safaris-maasai-cultural-tour-maasailand-scaled.jpg
 
Aiseeeeeee, sio kweli. Hao masaibu, wasukuma n.k ni wa wapi? Mbona ninao wafahamu akina Lowasa, Marehemu JPM n.k hawakuwa na hizo tabia au wao sio Wamasai au wasukuma. Acha kudhalilisha watu.
 
Jamii za wafugaji zinajulikana Sukuma, Maasai, Mang'ati na wengine wengi. Ni muda sasa Serikali itoe elimu kwa hizi jamii kuhusu Afya, Usafi na Kuvaa nguo za ndani.

Wengi wanaishi kama Wanyama hawaogi, hawafui, hawavai nguo za ndani naogopa wasije kuharibika sehemu za siri. Najiuliza, wanawake wa hizi jamii wanaishi vipi wakiwa hedhi?

Jamii za wafugaji wamegeuka wanyama wanaishi maisha ambayo ukiambiwa au ukiyaona utaishia kuhuzunika na kulia. Hawana ustaarabu kwenye kula, kuongea.

Hakika Serikali isiangalie bandari tu iwatupie jicho na hawa watu binafsi mimi naona ni Kundi lililopo hatarini.

View attachment 2715064
Mfugaji hana muda wa kusubiri chupi ikauke, akisubiri ng'ombe wake watamshangaa.
 
Kuna demu mmoja alikuwa ananiletea maziwa ninunue, nikamwimbisha mashairi, ghafla akanikubulia ilia sikuwa tayari kula mzigo. Baada ya siku mbili alinijia tena, nikaona nile mzigo, nikamuambia ingia chumbani akaingia bila upinzani. Ile najiandaa kuvua nguo naye avue nikapigwa na harufu kali kama ya mzoga. Kumbe ni bleeding, imetapakaa mpaka mapajani ikabidi niache kula mzigo na kuanza kumshutumu kwa nini anijie na hali hiyo. Chumba kizima kilinuka uozo. Demu hajui kama kuna kitu kinaitwa pedi za kujisitiri, nilishangaa sana na kuona nimefanyiwa makusudi
 
Jamii za wafugaji zinajulikana Sukuma, Maasai, Mang'ati na wengine wengi. Ni muda sasa Serikali itoe elimu kwa hizi jamii kuhusu Afya, Usafi na Kuvaa nguo za ndani.

Wengi wanaishi kama Wanyama hawaogi, hawafui, hawavai nguo za ndani naogopa wasije kuharibika sehemu za siri. Najiuliza, wanawake wa hizi jamii wanaishi vipi wakiwa hedhi?

Jamii za wafugaji wamegeuka wanyama wanaishi maisha ambayo ukiambiwa au ukiyaona utaishia kuhuzunika na kulia. Hawana ustaarabu kwenye kula, kuongea.

Hakika Serikali isiangalie bandari tu iwatupie jicho na hawa watu binafsi mimi naona ni Kundi lililopo hatarini.

View attachment 2715064
Wewe chupi imekusaidia nini mpaka sasa?
 
Ukipanda nao gari kwenye kibini kule mbele kwa dereva gari ikiyumba kwenye mashimo barabarani, nguo zao huacha mwili sehemu za kiunoni na mapajani na kuacha kabati wazi vyombo vinaonekana, chupi hakuna. Wanaume wenyewe wanadai kuvaa chupi mtulinga utabanwa na kuwa mdogo. Wale wengine wanadai joto kali litaumiza nyumba
 
Ukipanda nao gari kwenye kibini kule mbele kwa dereva gari ikiyumba kwenye mashimo barabarani, nguo zao huacha mwili sehemu za kiunoni na mapajani na kuacha kabati wazi vyombo vinaonekana, chupi hakuna. Wanaume wenyewe wanadai kuvaa chupi mtulinga utabanwa na kuwa mdogo. Wale wengine wanadai joto kali litaumiza nyumba
Kutokuvaa nguo za ndani kunasababisha gari ikitikisika wananuka wengi wananuka
 
Siku ukitekwa ukavulishwa nguo utajua huwa inakazi gani!
Tukio la kutokea mala moja kwa maisha ndo likupe adhabu ya maisha. Ni sawa na mkulima umfundishe kuvaa life jakert eti ipo siku anaenda kumtembelea ndugu yake mvuvi kisiwani chombo kitazama ajiokoe
 
Back
Top Bottom