Jamii za wafugaji wapewe elimu maalumu kuhusu usafi, mapenzi na kuvaa nguo za ndani

Jamii za wafugaji wapewe elimu maalumu kuhusu usafi, mapenzi na kuvaa nguo za ndani

Jamii za wafugaji zinajulikana Sukuma, Maasai, Mang'ati na wengine wengi. Ni muda sasa Serikali itoe elimu kwa hizi jamii kuhusu Afya, Usafi na Kuvaa nguo za ndani.

Wengi wanaishi kama Wanyama hawaogi, hawafui, hawavai nguo za ndani naogopa wasije kuharibika sehemu za siri. Najiuliza, wanawake wa hizi jamii wanaishi vipi wakiwa hedhi?

Jamii za wafugaji wamegeuka wanyama wanaishi maisha ambayo ukiambiwa au ukiyaona utaishia kuhuzunika na kulia. Hawana ustaarabu kwenye kula, kuongea.

Hakika Serikali isiangalie bandari tu iwatupie jicho na hawa watu binafsi mimi naona ni Kundi lililopo hatarini.

View attachment 2715064
Jamii ya wafugaji, ambao Mjini ni wasusi na walinzi (jina kapuni) wengi wananunua makahaba (no strings attached). Hawana muda na hayo mapenzi ya Isidingo
 
Tulivokua wadogo tulikua tunavaa zile chupi zenye zinafanana na rangi ya bendera ya Kenya sema tukienda kunywesha ng'ombe tunaanza kuogelea mda wa kuondoka tunasahau kuvaaa hapo kupata nyngn tegemea rotation ya mnada ipite kijijini kwenu
 
Jamii za wafugaji zinajulikana Sukuma, Maasai, Mang'ati na wengine wengi. Ni muda sasa Serikali itoe elimu kwa hizi jamii kuhusu Afya, Usafi na Kuvaa nguo za ndani.

Wengi wanaishi kama Wanyama hawaogi, hawafui, hawavai nguo za ndani naogopa wasije kuharibika sehemu za siri. Najiuliza, wanawake wa hizi jamii wanaishi vipi wakiwa hedhi?

Jamii za wafugaji wamegeuka wanyama wanaishi maisha ambayo ukiambiwa au ukiyaona utaishia kuhuzunika na kulia. Hawana ustaarabu kwenye kula, kuongea.

Hakika Serikali isiangalie bandari tu iwatupie jicho na hawa watu binafsi mimi naona ni Kundi lililopo hatarini.

View attachment 2715064
HIZI NI FURASA KAMA FURSA NYINGINE UKIANZISHA KA NGO CHAKO UKAWA UNATOA ELIMU YA KUJITAMBUA KWA HIZI JAMII SI UNATOBOA..
 
Kuna demu mmoja alikuwa ananiletea maziwa ninunue, nikamwimbisha mashairi, ghafla akanikubulia ilia sikuwa tayari kula mzigo. Baada ya siku mbili alinijia tena, nikaona nile mzigo, nikamuambia ingia chumbani akaingia bila upinzani. Ile najiandaa kuvua nguo naye avue nikapigwa na harufu kali kama ya mzoga. Kumbe ni bleeding, imetapakaa mpaka mapajani ikabidi niache kula mzigo na kuanza kumshutumu kwa nini anijie na hali hiyo. Chumba kizima kilinuka uozo. Demu hajui kama kuna kitu kinaitwa pedi za kujisitiri, nilishangaa sana na kuona nimefanyiwa makusudi
Wao wamezoea kula nyama yenye damu, ungekula tu.
 
Back
Top Bottom