Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Hapa anahimiza serikali kuliangalia upya suala la katiba mpya
Hapa anaomba dua. Tuitikieni Amen
sishangai, si unajua tafsiri za maeneo yetu yale zipo kinyumenyume...
Mfano, your majesty, I pray thee to....(mtu anaweza fikiri yupo nyumba ya Ibada, kumbe mahakamani).
Mambo ya Legal Language Barchelor (LLB), tehe tehe