Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Hapa anahimiza serikali kuliangalia upya suala la katiba mpya
Hapa anaomba dua. Tuitikieni Amen
sishangai, si unajua tafsiri za maeneo yetu yale zipo kinyumenyume...
Mfano, your majesty, I pray thee to....(mtu anaweza fikiri yupo nyumba ya Ibada, kumbe mahakamani).
Mambo ya Legal Language Barchelor (LLB), tehe tehe
Yupo naile ID yake nyngine!!mpaka dk hii mwita haonekani
Yupo naile ID yake nyngine!!
Yupo naile ID yake nyngine!!
Unamaanishi anamshukuru Mungu kwa kuwa na ID nyingine?
Yupo naile ID yake nyngine!!
Pundit,Blueray,kiranga hawa wanafanana sana,wako deep kwenye Quantum Physics,Mama na Kuhani pia wako deep.Kuna uzi mmoja ulikuwa unahusu Electrons aisee Pundit,mama na kuhani walimwaga shule hadi basiKiranga anatakiwa Kupambanishwa na watu kama Blueray au Kuhani. Mwita ni kumuonea tu
nimecheka na kufurahi sana kwa comment yako!! Thanks kwa kunianzishia siku kwa tabasamu na kuniongezea sababu ya kuwepo hapa jfnimewapelekea hayo maneno kwenye intaneshno suli kadhaa, nao wamesema hawafundishi hayo maneno.
Nikamtafuta professor mmoja mtaalam wa kiinglishi yeye akaenda mbali zaiidi na kuonya matumizi ya hayo maneno kwenye madarasa yetu yanaweza sababisha nyufa kwenye kuta.
Upande wake yule mtaalam mwenye tender ya kuandika taarifa za habari viingereza kwenye runingaz, yeye akadai maneno hayo huweza kuongelewa na watu ambao wapo kwenye aina fulani ya dayati toka katikati ya misitu ya amazon.
Mwita25 vp?
Wewe si kila siku unajianzishiaga misledi ya promo? Focus ya promo ni either kukubalika au vise verser, ila promo zako zinaonyesha ku come out with something positive, sasa kwa nini kuwageuka watu wanaokukubali? Kosa lao ni lipi hapo?
Come on, just puta, vuka mstari ulipe ng'ombe zetu kumi na mbili, Kranga ameshaanza kupasha
Mwita njoo bhana, huyu Kiranga kiinglishi chake sio fasaha, leta mavitu ya pale kusini mwashariki mwa londoni, Kiranga anaongea hapa nje ya mada, njoo umrudishe mstarini
khaa!.......hii lugha ni ya dunia hii hii au.........
lugha hapa ndio tatizo...labda tuufanye huo mdahalo kwa njia ya PM...but kumwaga ngeli hapa noooooo!!!Duh, nimesikitika sana upupu kama huu kunipita kwa kiwango hiki
Hivi kweli Consigliere na Rejao mmeshindwa kuniPM nijiunge hapa
Afu mie ningewapambanisha nyie Consi(Village) vs Rejao (born town)
lugha hapa ndio tatizo...labda tuufanye huo mdahalo kwa njia ya PM...but kumwaga ngeli hapa noooooo!!!
ugha hapa ndio tatizo...labda tuufanye huo mdahalo kwa njia ya PM...but kumwaga ngeli hapa noooooo!!!