JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

hehehe hiyo ngoma ya kiranga nimeiiingiza gooogle translate masaa mawili yalopita na bado page inaniambia searching. Mzembe anaweza akamtongoza waifu wako mbele yako wee ukabaki unacheka tu ukazani anahadisia mechi ya Asanali. Kulaleki!

uwanja wenu Tablets...nikiwasoma nacheka tu!!!:lol::lol::lol::lol:
 
dah hii thread nimesoma post zote za humu ndani ...where is mwita25?.....
 
Hahahahah.... khaa! Ntamshtaki kwa Mizengo Pinda..... haiwezekani nipoteze muda kwenye dikshenari kutafuta translation ya majina ya kilatini ya taifa stars ya Vietnam.....tena timu ya wanawake.

heheeh nimejarib kupiga simu ubalozi wa msumbiji na kuongea hiyo post kama ilivoandikwa, balozi kakata simu bila majibu. Dah! inawezekana tumeuziwa siyo kweli acha tuendelee na upelelezi
 
Afu sheria mama za Chi Chat zinatoa adhabu gani kwa mtu anayechafua lugha kwa kiinglish cha namna hii? Yaani mpaka mamodereta wa Chit Chat wameingia mitini....


hehehe uskute ile post wamekandiwa ma mods
 
i remember blueray...sijui huyu jamaa yuko wapi..alikuwa noma kama kiranga
 
Jamani hivi anayoandika Kiranga ni kingreza kweli?

NN naona wewe alhamdulillah...uwe unatupa tafasiri basi. Kuna mahali nimeambulia neno 'individual'
ahahaaaaaaaa mkuu umeniacha hoi?
 
dah hii thread nimesoma post zote za humu ndani ...where is mwita25?.....​


Mbaya zaidi na Kiranga naye hajaandika tena...katuachia Homework.
 
Afu sheria mama za Chi Chat zinatoa adhabu gani kwa mtu anayechafua lugha kwa kiinglish cha namna hii? Yaani mpaka mamodereta wa Chit Chat wameingia mitini....

hahahha......hapa jamaa unaweza kukuta kamwaga maneno ambayo hayatakiwi JF ...mods chali....PAW wapiiiiiiiii njooo huku
 

Mimi nawahi sehem kuna ubwabwa wa bure, nikilejea naunga tela. Akikuja Keren Happuch mpatie salam zangu, mwambie wiki nzima hii sjapiga mswaki kwa kummiss yeye
 

Mkapa mwenyewe akisoma hapa atapata shida kujishauri kama amekuelewa vizuri. Mmmhhh naskia kizunguzungu hadi dakika hii.
 
Permit me to gladly grab my sootless sticks out of the hazily hued humidor and evade eerie effable ephemeral enchantments with enviable equanimity while embarking from this putrid pungent pugilists pantomime, to a somber soliloquy of solitary sanity.

Baada ya kutafuta maana kwenye google translate imenipa tafsiri hii..ambayo bado kuna vocu..zingine ..google imechemsha...ama kweli Kiranga ameacha kiranga cha Homework...cjui iko sahihi..haya..bana Kiranga..hii kwangu ni zawadi tosha ya X mass

"Niruhusu furaha kunyakua yangu vijiti sootless nje ya humidor hazily hued na evade eerieeffable uganga ephemeral na equanimity enviable wakati kujiingiza kutoka pantomime hiiputrid pungent pugilists, kwa soliloquy somber ya sanity faragha."
 
Shame indeed it is. What is there to prove? Even ..... could speak English but failed in leadership.

Fill the gap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…